17 January 2012

Mkuu wa kitengo cha mauzo ya Vodacom M-pesa, Bw. Franklin Bagala (kulia), akizungumza na Mawakala wa mkoa wa Dares Salaam juzi, wakati wa semina maalumu ya kuwajengea mawakala hao uwezo wa kutoa huduma bora kwa wateja. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment