23 January 2012

Mama huyu ni mfano wa kuigwa na wengine, alikutwa na kamera yetu, kando ya Barabara ya Kigogo, Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam jana, akiwa amebeba beseni lililojazwa maembe, wakati akitafuta wateja pamoja na mwanae mchanga.

No comments:

Post a Comment