20 December 2011

Diwani CCM aliyevamiwa na majambazi

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Bw. Hamisi Mgeja (katikati), Mwenyekiti wa CCM Wilaya hiyo, Bw. Mwenzetu Msabaha (kushoto) na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa, Dkt Fredirck Mlekwa, wakimjulia hali Diwani wa CCM, Kata ya Pandagihiza, BW. Ng'honge Nkwabi, aliyevamiwa na kukatwa mapanga na majambazi juzi.

No comments:

Post a Comment