07 November 2011


Wasanii wa kikundi cha ngoma za asili cha Egumba, kilichoko Wilaya ya Musoma Vijijini, wakicheza ngoma ya Rhitungu, wakati wa mkusanyiko wa kusherehekea miaka 50 ya Uhuru mjini Musoma hivi karibuni. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment