15 August 2013

TANZANIA YAINGIA FAINALI TENISI



 Na Mosi Mrisho
TANZAN IAimeingiafainali mzungukowa pili wa mas hindanoyatenisi'F irstLad y' yanayoe ndelea Na irobi ,Ken yaambapokeshoyanafikiatamati.Akizun gumza Dar es Salaam jana,RaiswaCham achaTenisi Tanz ania (TT A),M eth useleMbojoalisem a mash ind anohayoyanaen deleavizurinaTan zania mzunguk ow akw anzailishika nafasi yapi lihu kuKenya ikishikanafasiyak wanza
."Ti mu zetuza Tanzania zinatuwak ilishavizur i hukona wanafanyavizuri katikamashind a nohayonatunatege meawatatuleteaubing wa nchinikwe tu,"alisema Mboja.Mboja aliongeza kuwa katika mzungu komw ingine wa wanawake wenyeum richiniyamiaka 12Tanzania ilipeleka washiriki watatu na mshiriki mmoja aliweza kupita na atashiriki na mchezaji mwingine kutoka Kenya.
Al i s ema ms h i r i k i h u y o akifanikiwa kucheza vizuri dhidi ya Mkenya atajiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele

No comments:

Post a Comment