22 November 2012

MJI MPYA


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyarandu (kushoto) akimsikiliza Mtafiti wa Mambo ya Asili na Utamaduni kutoka Ufaransa, Nicholas Hubert (wa pili kushoto), wakati wa maonesho ya vivutio mbalimbali vya Mji Mpya wa Kilwa, mkoani Pwani, yaliyofanyika kwenye Kituo cha Utamaduni wa Ufaransa, Alliance De Francaise, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Maofisa wa Halmashauri ya mji huo. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment