Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Bw. Benjamin Mkapa, akiwasili eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, ili kutoa ushahidi ya kesi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania, nchini Italia, Profesa Victor Mahalu na aliyekuwa Ofisa Utawala wa Ubalozi huo, Bi. Grace Martin, wanaokabiliwa na mashitaka ya kuhujumu uchumi na kuisababishia Serikali, hasara ya zaidi ya Euro Mil 2. (Picha na Prona Mumwi)
No comments:
Post a Comment