23 January 2012

Meneja wa kitengo cha mikopo benki ya Posta Tanzania Abdallah Mtandika akitoa maelezo kuhusu umuhimu wa wadau mbalimbali kuchangia elimu ya watoto wetu kwenye hafla ya kukabidhi msaada wa shilingi milioni 2 kwa shule ya Msingi Temeke.Kulia ni Meneja Uhusiano wa Benki ya Posta Noves Moses na mwenyekiti wa kamati ya shule Rajab Ndunda,kushoto ni mkuu wa shule hiyo Said Mbolembole.

No comments:

Post a Comment