17 January 2012


Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani (aliyevaa nguo nyeusi), akimbana kwa maswali
Mwenyekiti wa Kijiji cha Manga-Mtindiro Sakina Mkomwa kuhusu fedha zake alizotoa kwa
ajili ya wananchi kuvuka katika mto Mkomazi baada ya kivuko cha kuvukia wananchi
hao, kusombwa na maji kufuatia mafuriko yalitoyotokea mwishoni mwa mwaka jana kwenye
milima ya Pare wilayani Same mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment