Maneja Biashara wa Kampuni ya TATA African Holdings (Tanzania) Ltd,
Bw. Divyesh Ramanandi (wa pili kulia) akikabidhi mfano wa funguo ya gari wakati
wa hafla fupi iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni. Jumla ya mabasi 30 aina
ya LP 909 yalikabidhiwa kwa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA). Anayepokea funguo
(kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw. Hamidy.
No comments:
Post a Comment