31 July 2013

KESI YA JAYDEE

 Msanii wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ (katikati) akitoka nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam jana baada ya kesi yake kuahirishwa hadi Agosti 2 mwaka huu. Kushoto ni msanii mwenzake Joseph Haule ‘Professa Jay’ na mume wake Gadna G. Habashi (kulia).


No comments:

Post a Comment