Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, akizungumza na mkazi wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa, mkoani Dodoma, Bi. Moshi Maleja (kulia) baada ya kukabidhi msaada wa kitanda kwa ajili ya wajawazito na tangi la maji la ujazo wa lita 5000, vilivyotolewa na Mawaziri, Balozi Khamis Kagasheki wa Maliasili na Utalii na Bw. Bernald Membe wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Katikati ni Diwani wa Kata hiyo, Alhaj Omary Kaliati. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment