23 January 2012

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bw. James Mbatia, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam jana, wakati akifafanua walichozungumza na Rais Jakaya Kikwete Ikulu, kuhusu muswada wa Katiba mpya.

No comments:

Post a Comment