19 December 2011

Muuguzi Mkuu wa wa Hospitali ya KCMC Moshi, Bi. Redempta Mamseti, akitoa shukrani kwa Benki ya KCB Tanzania, baada ya kukarabati wodi ya wagonjwa mahututi ‘ICU’. Kulia ni Meneja wa Benki hiyo tawi la Moshi Bw Rominyika Saitabau.

No comments:

Post a Comment