Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana kuhusu tamasha la wasanii litakalofanyika kuanzia Juni 30 mwaka huu jijini Tanga. Kushoto ni Meneja wa Grand Malt, Consolata Adam na kulia ni Mkurugenzi wa Sofia Records Mussa Kissoky (Picha na Victor Mkumbo).
No comments:
Post a Comment