07 May 2012

UJENZI


Mafundi wakijenga nyumba za Jeshi la Polisi zitakazotumiwa na askari kwenye Mji Mpya wa Mabwepande, kama walivyokutwa nje ya Jiji la Dar es Salaam juzi,  ikiwa ni mpango wa kuimarisha ulinzi na usalama kwa wakazi wa eneo hilo. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment