07 May 2012

Chakula Dawa


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia), akizungumza na Mshauri wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Bw. Octavian Soli, baada ya kuzindua maonesho ya 28 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) ulianza Dar es Salaam jana. Wa tatu kulia ni Ofisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo, Bi. Gaudensia Simwanza. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment