07 May 2012

UCHAFU


Baadhi ya wafanyabiashara ndogondogo wakifanyabiashara huku wateja wakipita karibu na dampo lisilo rasmi nje ya Soko Kuu la Kariakoo, Mtaa wa Mkunguni, Dar es Salaam jana, kama walivyokutwa na kamera yetu. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment