08 May 2012

SHERIA MSUMENO


Mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya aliyekuwa msanii maarufu wa filamu nchini, Steven Kanumba, Bi. Elizabeth Michael 'Lulu', akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari magereza, wakati akitolewa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, mara baada ya kesi kuahirishwa kwa mara ya tatu. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment