02 October 2012

MAHOJIANO


Mkazi wa Mtaa wa Business Mikocheni B, (kushoto) akificha uso wakati akihojiwa na Ofisa Usalama wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Mkoa wa Kinondoni, Bi. Dunia Shami, Dar es Salaam jana baada ya kujiunganishia huduma ya umeme kwenye nyumba yake bila kibali. Kulia ni Fundi Umeme wa shirika hilo Bi. Grace Ndyetabura. (Picha na Charles Lucas) 

No comments:

Post a Comment