25 May 2012

MALALE


Kaimu Mkurugenzi wa Idala ya Kinga katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Geoffrey Kiangi, akizungumza wakati akifungua warsha ya siku moja kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam jana, iliyohusu mafunzo ya uelewa wa ugonjwa wa Malale unaoambukizwa na Mbung'o. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment