14 May 2012

FUNDI BAJAJ


Fundi wa kutengeneza pikipiki za gurudumu tatu (Bajaj) jina (halikufahamika) akining'inia kwenye chombo hicho wakati akikifanyia majaribio bila kujali usalama wake, kama alivyokutwa Magomeni Mikumi, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment