tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post4322814355763979557..comments2024-03-02T21:58:22.701+03:00Comments on MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: JK KUHUTUBIA BUNGE DODOMA LEOHallhttp://www.blogger.com/profile/10857587611357173970noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post-53599731425987155112013-11-12T11:34:48.385+03:002013-11-12T11:34:48.385+03:00Mh. Kikwete,
Suala la shirikisho AM haliwezekani k...Mh. Kikwete,<br />Suala la shirikisho AM haliwezekani kutokana na sababu nyngi baadhi kama zifuatazo:<br />1. Viongozi wake wanatawala kimabavu labda kuondoa Kenya<br />2. Kukosekana kwa demokrasia, vyama tawala vinatawala kama ndivyo viliundwa kutawala. Juhudi zozote za kuviondoa utaitwa gaidi au mchochezi<br />3. Viongozi kukumbatia rushwa<br />4. Miundo mbinu chakavu<br />5. Elimu duni<br />6. Hali mbaya ya kiuchumi<br />7. Hali ya utegemezi kwa mfano Tanzania hawawezi kuua hata mbu.Matokeo yake wanaomba misaada ya viandarua<br />8. Kutojitambua kwamba wanaAM nao ni binadamu. Kwa mfano utamkuta mkurya anajiita John eti Marwa ni jina a kishenzi, kina mama kujichubua waonekane wazungu, na<br />9. Kadhalika<br /><br /><br /><br />Anonymousnoreply@blogger.com