tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post2363332052090980759..comments2024-03-02T21:58:22.701+03:00Comments on MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: WIZI WA UMEME TANESCO: KWAWAKAHallhttp://www.blogger.com/profile/10857587611357173970noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post-59829221770070723632013-07-17T09:16:45.151+03:002013-07-17T09:16:45.151+03:00mashirika mengi ya umma yanajiendesha kifisadi,mwi...mashirika mengi ya umma yanajiendesha kifisadi,mwisho wa siku yanapata hasara na kufa. kwa TANESCO huwa wanakimbilia kuongeza gharama za umeme BADALA YA KUFA wakisema kwamba wanapata hasara kumbe wanajiibia wenyewe. kuanzia sasa hatutakubali ongezeko lolote la gharama za umeme mpaka hapo mtakapotuthibitishia na pia tutakapojiridhisha kwamba watumishi wa TANESCO wameacha kuiba umeme WANAOZALISHA NA KUUSAMBAZA.Anonymousnoreply@blogger.com