tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post1946045165803406201..comments2024-03-02T21:58:22.701+03:00Comments on MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: MAJANGAHallhttp://www.blogger.com/profile/10857587611357173970noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post-58226560940915687152013-08-02T13:48:19.063+03:002013-08-02T13:48:19.063+03:00Tanzania tuna kazi kubwa sana kufikia maendeleo en...Tanzania tuna kazi kubwa sana kufikia maendeleo endelevu,hakuna uwajibikaji kwa wahusika,kila kitu ni vululu vululu tu,sijui hadi wafe wajmba zao wa damu ndo wawajibike, hivi sie aliyeturoga kafa nini ndo maan kila sehemu hakuna kinachowezekana kufanikiwa,Serikali kazi yake ni nini,watendaji nao kazi zao ni nini,mbona majangaa,loh!!Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-1185314680614945258.post-60242064091528575042013-08-02T10:45:57.752+03:002013-08-02T10:45:57.752+03:00Majanga haya yatatuandama daima kama wahusika hawa...Majanga haya yatatuandama daima kama wahusika hawatachukuliwa hatua za kisheria - inaonekana kuwa kuna ulaji mkubwa baina ya NHC, maafisa wa serikali na wale wanaojiita wawekezaji - matokeo yake majengo haya yataporomoka na kuwaua wengi - Ndo maana waziri anatoa amri ya kubomolewa lakini hakuna anayejaliAnonymousnoreply@blogger.com