31 January 2013

Wajasiriamali mnapaswa kungeza nguvu-TIC



Na Mwandishi wetu, Mbeya

KITUO  cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema wajasiriamali nchini wanatakiwa kuongeza nguvu zaidi katika kuendelea biashara kwa kuwa biashara zao ni nguzo ya uchumi wa nchi.

Serikali yashangazwa wageni kufavamia mbunga


Na Mwandishi Wetu

SERIKALI imeshangazwa na hatua ya wageni kuvamia mbuga mbalimbali na misitu nchini kiasi cha kufanya kuongezeka vitendo vya ujangili na kuahidi kuchukua hatua kali ili kutokomeza ujangili huo.

KESI YA PONDA KUENDELEA LEO

Na Rehema Mohamed

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo inatarajiwa kuendelea na kesi ya wizi na uchochezi inayomkabili Katibu  wa Jumuiya na Taasisi za  Kiislam  Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake kutokana na upande wa mashtaka kukosa mashahidi.

PINGAMIZI

wenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akiwa ameketi kulia tayari kuingia kwenye chumba cha kusikilizia pingamizi, kusikiliza pingamizi lake alilowekewa n Daniel Tumini Kamna kushoto

Wabunifu 25 kushiriki Lady in Red



Na Mwali Ibrahim

WABUNIFU 25 nchini, wanatarajia kuonesha mavazi katika mashindano ya Lady in Red 2013, yanayotarajia kufanyika Februari 9 mwaka huu katika Ukumbi wa Serena Hoteli, Dar es Salaam.

Vijana FC yapenya nusu fainali



Na Omary Mngindo, Kibaha

VIJANA FC ya Kongowe Kibaha mkoani Pwani, juzi imeingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya Mikoba Cup,
inayoendelea katika Kata ya Misugusugu wilayani hapa.

ONESHO


Mwimbaji wa bendi ya Twanga Pepeta Luhiza Mbutu katikati akicheza sambamba na wanenguaji wa bendi hiyo wakati wa onesho lao lililofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki. (Picha na Rajabu Mhamila)

Msanii Bluestar kuachia Tunachafua


Na Queen lema, Arusha

MSANII wa jijini Arusha anayekuja kwa kasi katika muziki wa kizazi kipya,
Hamisi Omari (20) 'Bluestar' anatarajia kuachia singo yake ya tatu inayokwenda kwa jina la Tunachafua.

Twende Kanisani kuzinduliwa Febr. 10



Na Mwandishi Wetu

MSANII wa nyimbo za injili anayekuja juu nchini, Kennedy Daudi ameahidi burudani ya nguvu kweli katika uzinduzi wa video ya albamu yake ya ‘Twende Kanisani’ utakaofanyika katika Bwalo la Magereza, Ukonga Dar es Salaam Februari 10, mwaka huu.

Stars yazitosa Rwanda, Congo *Sasa kucheza na Cameroon



Na Zahoro Mlanzi

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema lilipata maombi ya kucheza na nchi nne tofauti katika 'FIFA date', lakini imeamua kuachana nazo kutokana na kushindwa kufikia muafaka na kuamua kuikubalia Cameroon.

29 January 2013

LULU KUTOKA RUMANDE

Msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu'  akiongozwa na askari magereza, wakati akitoka Mahabusu ya Mahakama Kuu, Dar es Salaam jana, baada ya taratibu za dhamana kutokamilika. Msanii huyo anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu, marehemu Steven Kanumba. (Picha na Charles Lucas)

CCM yajitosa sakata la gesi *Kinana adai wananchi Mtwara wana hoja *Nape asisitiza rasilimali kunufaisha wote *53 wafikishwa kortini, Nchimbi atoa agizo


Na Waandishi Wetu, Mtwara na Dar

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Abdulrahman Kinana, amesema wananchi mkoani Mtwara wana hoja ya msingi kupinga ujenzi wa bomba la gesi kwenda Dar es Salaam, hivyo wanahitaji majibu sahihi ya kuwaridhisha.

Mpina alipuka utoroshaji tril. 11.6/- *Aitupia lawama serikali, apeleka hoja bungeni


Na Benedict Kaguo

MBUNGE wa Kisesa, mkoani Simiyu, Bw. Luhaga Mpina (CCM), amefichua mpango wa Serikali kuwalinda viongozi walioficha fedha katika benki zilizopo nje na kusababisha umaskini kwa Watanzania.

CHUPA


Mkazi wa jiji ambaye (hakutaja jina), akiwa amebeba chupa tupu za maji zilizotumika kwa lengo la kuziuza, kama alivyokutwa na mpigapicha wetu.  Pamoja na kujipatia kipato kwa kazi hiyo pia uokotaji wa chupa hizo kunaliweka jiji safi. (Picha na Prona Mumwi)

DC Korogwe ategwa kwa magogo


Na Yusuph Mussa, Korogwe

MSAFARA wa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Bw. Mrisho Gambo, juzi uliwekeza magogo barabarani na kusababisha taharuki kubwa kwa watu waliokuwa katika msarafa huo.

Kisandu amtega Zitto


Na Mwandishi Wetu

KATIBU wa Uhusiano na Uenezi Taifa, Kitendo cha Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bw. Deogratius Kisandu, amesema Tanzania imekosa vijana wazalendo ndio sababu ya kushindwa kutekeleza wanachokisema.

Bulembo amshukia Bujugo



Na Gladness Mboma

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Bw. Abdallah Bulembo, amemtaka Diwani wa Kata ya Magomeni Dar es Salaam, anayeendesha Chuo cha Kilimo cha Kaole, kilichopo Bagamoyo, mkoani Pwani, Bw. Julian Bujugo, kukikabidhi chuo hicho kwa jumuiya hiyo kabla hajachukuliwa hatua za kisheria.

UKAMATAJI


Askari wa Jiji akifungua mnyororo katika gurudumu la gari lenye na za kibalozi T 25 CD 123, kama alivyokutwa Posta Mtaa wa Samora, Dar es Salaam jana. Ukamataji wa magari ya kibalozi unahitaji utaratibu maalumu. (Picha na Asia Mbwana)

Uchumi umekua kwa asilimia 6.7-Mgimwa

Na Eliasa Ally, Iringa

WAZIRI wa Fedha na Uchumi Dkt.william Mgimwa ambaye ni mbunge wa jimbo la Kalenga katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa Vijijini amesema kuwa hali ya uchumi hapa nchini inaendelea kuimarika ambapo kwa sasa uchumi ndani ya nchi umekua hadi kufikia asilimia 6.8 hali ambayo inaleta matumaini makubwa kwa wananchi na serikali yao.

BoT yataka Katiba Mpya iwabane wanasiasa wasiingilie utendaji

Anneth Kagenda na Rehema Maigala

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imependekeza kuwekwa kipengele cha sheria ambacho kitawabana wanasiasa kutoingilia kazi ambazo zimekuwa zikifanywa na benki hiyo.

VITAFUNWA


Baadhi ya wanawake wachuuzi wa vitafunwa wakisubiri wateja kando ya Barabara ya Msimbazi Karikoo, Dar es Salaam jana. Uuzaji wa vyakula katika mazingira yasiyo rasmi kunaweza kuhatarisha afya ya walaji. (Picha na Peter Twite)

Wazee waliopigana Vita ya Dunia wailaumu Serikali



Na Darlin Said

CHAMA cha Wazee Waliopigana Vita vya Pili ya Dunia hapa nchini (TCL) wameilaumu serikali kwa kuwatelekeza na kuwaacha wakihujumiwa mali zao.

Bilioni 8/- zatengwa kwa ajili ya mradi wa UMATA



Na Grace Ndossa

JUMLA ya sh. bilioni nane zimetengwa kwa ajili ya kuendesha mradi wa Usafi wa Mazingira Tanzania (UMATA) ambao utaanzia katika Mkoa wa Dodoma na jumla ya watu milioni moja watafaidika na mradi huo.

Wenyeviti waitaka Serikali kuzitambua kazi zao kikatiba



Na Rose Itono

UMOJA wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Dar es Salaam (UWESEMIDA)umeitaka Serikali kuzitambua kazi zao kikatiba kama viongozi wengine kulingana na majukumu yao kikazi.

MAKABURI


Baadhi ya watoto wakiwa wamepumuzika juu ya kaburi ya Mburahati, Dar es Salaam jana, Siku hizi imekuwa kawaida kwa watoto na watu wazima kufanya vijiwe na kucheza juu ya makaburi  tofauti na zamani walijenga heshima na kuogopa vifo. (Picha na Prona Mumwi)

Polisi Pwani yawashikilia wahamiaji haramu watano



Na John Gagarini, Kibaha

JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia wahamiaji haramu watano wa nchi ya Ethiopia na Somalia kwa kuingia nchini bila kibali.

Wakulima wa kahawa watuhumiana K'njaro



Na Gift Mongi

MRAJISI Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoani Kilimanjaro, Kasya Kasya amedaiwa kukikingia kifua Chama Kikuu cha Ushirika mkoani humo (KNCU) ikiwemo kulihujumu zao la kahawa.

TRA yatakiwa kutafuta mbinu mpya ya ukusanyaji kodi



Na Mariam Mziwanda

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi Bi.Saada Mkuya ameitaka Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kutafuta mbinu mpya za ukusanyaji wa kodi ili kuliongezea taifa mapato.

JK kuzindua mkutano wa TNBC



Na Heri Shaaban

RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuzindua mkutano wa biashara wa Kitaifa Machi mwaka huu, utakaohusu semina elekezi kuhusiana na majadiliano ya ushirikiano kwa wote.

WAKIPONGEZANA

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto), akipongezana na mmoja wa wanachama wa chama hicho katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Bi. Fatma Bakari  wakati wa mkutano wa kumbukumbu ya Miaka 12 ya mauaji ya wanachama wa chama hicho yaliyotokea Zanzibar. (Picha na Peter Twite)

PFT yaitaka jamii kufahamu umuhimu wa VICOBA



Na Rose Itono

SHIRIKA la Kupambana na Umasikini (PFT) limeitaka jamii kufahamu kuwa VICOBA ni silaa kubwa katika kupambana na umasikini.

Haki za binadamu waombwa kuingilia mgogoro wa mirathi



Na Mariamu Mziwanda

FAMILIA ya marehemu Juma Maulid wameiomba wanasheria za haki za binadamu iwasaidie kupata mirathi ya marehemu baba yao pamoja na Serikali kutokana na baadhi ya ndugu wa familia kuzikumbatia mali hizo kwa miaka mitatu na kusababisha watoto kuishi maisha ya shida na kushindwa kwenda shule.

Maktaba sekondari ya Baobab kugharimu mil. 800



Na Rehema Maigala

SHULE ya sekondari ya Baobab iliyopo Bagamoyo Mkoani Pwani inajenga maktaba ya kisasa itakayoghalimu sh.milioni 800 ili kukidhi haja ya wanafunzi wao

28 January 2013

MAKABIDHIANO

Inspekta wa Jeshi la Polisi nchini, Said Mwema akimkabidhi Kamanda wa Kanda Maalumu Mkoa wa Dar es Salaam, Suleiman Kova kwa niaba ya makamanda wote pikipiki 564 kwa ajili ya kuimarisha ulinzi nchini. (Picha kwa hisani ya Mtandao.)

Ushirikiano kwa Jeshi la Polisi unaimarisha usalama nchini-Mwema



Na Stella Aron

MATUKIO ya uhalifu nchini yameonyesha kupungua kutokana na ushirikiano mzuri kati Jeshi la Polisi na wananchi kwa kutoa taarifa za uhalifu.

MAONI YA KATIBA

Utoaji wa maoni Katiba Mpya unaoendelea nchini umesaidia kuleta mwamko kwa wanachi kuona umuhimu wa Katiba mpya baada ya miaka 52 ya Uhuru.

Tusitafute Katiba Mpya Pekee



NENO “Pekee” kwa tafsiri ya lugha ya kigeni yaweza kuwa “Special”.  Kwa kipindi cha miaka 50 iliyopita tumeweza kutawaliwa na katiba yenye sifa za kipekee, nasema katiba ya kipekee kwa vile katiba tunayoitumia hivi sasa ilikuwa haifanani na katiba nyingine yoyote ile duniani.

TBS yajipanga kumaliza tatizo la bidhaa bandia nchini



Na Mwandishi Wetu

PAMOJA na chagamoto mbalimbali zinazolikabili Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limeweza kutimiza wajibu wake wa kuwahudumia Watanzania na wateja wake kwa ujumla na kuahidi kutoa huduma bora mwaka huu.

Kauli ya Mangula iwe kwa vitendo


MAKAMU Mwenyekiti wa CCM,Bw Philip Mangula ameweka msimamo wake dhidi ya wanachama wa chama hicho walioanza kujipitisha kwenye majimbo mbalimbali ya uchaguzi kwa lengo la kujiandaa na uchaguzi ujao.

SHANGWE

Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, dhidi ya Prisons ya Mbeya, mechi ilipigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.Yanga ilishinda 3-1.Picha kwa hisani ya bongostaz.blogspot

Bao la Tegete lamvua nguo mlemavu *Domayo augua gafla, Yanga ikishinda 3-1


Na Zahoro Mlanzi

UKISTAAJABU ya Mussa utayaona ya filauni, ndivyo unavyoweza kusema baada ya shabiki aliyedaiwa kuwa wa timu ya Yanga, kuingia uwanjani huku sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa tupu akishangilia bao la tatu lililofungwa na Jeryson Tegete katika mchezo uliopigwa Uwanja wa taifa, Dar es Salaam.

Nyamlani, Malinzi wawekewa pingamizi TFF



Na Zahoro Mlanzi

WAGOMBEA wote wa nafasi za juu za uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi Kuu Bara, wamewekewa pingamizi wasigombee uongozi kwa sababu mbalimbali.

Stewart avua nguo Chamazi


Na Mwandishi Wetu

KITENDO cha kocha wa Azam FC, Stewart Hall kuonyesha nguo yake ya ndani, kimetafsiriwa tofauti na mashabiki waliohudhuria mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya timu  yake ilipoumana na Kagera Sugar, juzi katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam.

MAZUNGUMZO


Mbunge wa Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro, Bw. Augustine Mrema, akizungumza na baadhi ya wahariri wa Majira, katika chumba cha habari cha gazeti hili Dar es Salaam jana, kuhusu malalamiko ya wakazi wa Himo wilayani Moshi Vijijini, wanaolalamikia kujengwa kwa kiwanda katika kiwanja namba 16 eneo ambalo ni makazi ya watu. Kushoto ni Mhariri wa Habari za Mikoani Bw. Benedict Kaguo na Mhariri wa Majira Jumapili, Bi. Gladness Mboma. (Picha na Charles Lucas)

Serikali yashauriwa kuacha kuwakumbatia wawekezaji



Na Suleiman Abeid,
Maswa

MWANAFUNZI anayesoma kidato cha tatu katika shule ya sekondari Mataba wilayani Maswa mkoani Simiyu Christopher Andrea ameishauri serikali iache mtindo wa kuwakumbatia wawekezaji wa kigeni vinginevyo Tanzania itageuka kuwa nchi ya kibebari.

Vijiji vitatu vyadaiwa kutaka kuanzisha vurugu tena Kilosa


Severin Blasio, Kilosa

BAADA ya kuzuka vurugu katika eneo la Dumila wilayani Kilosa hali si shwari katika vijiji vya Kilangali,Kivungu na Mbamba kata ya Kilangali wilayani humo baada ya shamba la Summer Grow walilokuwa wakilima wananchi wa vijiji hivyo kupewa
wafugaji.

Wanasiasa wanawatia hofu wafanyakazi-TUGHE



Na Daud Magesa,Mwanza

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE), Ali Kiwenge amewashukia viongozi wa kisiasa nchini akisema kuwa kauli zao zinawatia hofu
wafanyakazi na wananchi.

Sera ya utunzaji mazingira iwe endelevu



Na Jovin Mihambi.

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais kitengo cha mazingira imeweka bayana kwamba kila jamii hapa nchini iweze kutunza na kuhifadhi mazingira ili kurudisha mandhari ya mazingira kama yalivyokuwa kabla ya nchi ya Tanganyika kupata uhuru wake miaka 51 iliyopita.

Waushutumu NASA kuficha sayari tishio


Na Danny Matiko

KATIKA toleo lililopita tulishia kuona baadhi ya wananchi wa Marekani wakilishutumu shirika la anga za juu la nchi hiyo, NASA, wakidai kuwa limekuwa na tabia ya kuficha masuala mengi ambayo ni matokeo ya uchunguzi wa anga za juu

"Mbeya msizike walio hai"



Na Danny Matiko
HIVI karibuni vyombo vya habari viliripoti tukio la watu watatu kuzikwa kwenye kaburi moja mkoani Mbeya, ambapo wawili miongoni mwa hao walizikwa huku wakiwa hai na afya zao.

Adhabu mbadala jibu la msongamano magerezani



Na Aziz Msuya

MWENYEKITI wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama, Bw. Edward Lowassa amekaririwa akisema kuwa asilimia 90 ya wafungwa walioko magerezani ni vijana

MAZUNGUMZO


Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Habari, Wamiliki na Wahariri wa Vyombo
vya Habari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, wakati alipozungumza nao kwenye
makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam juzi. (Wa tatu kushoto) ni Meneja Mkuu wa Kampuni ya Business Times Limited, Bw. Aga Mbuguni. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)

Kalonga waikataa taarifa ya tume


Na Suleiman Abeid,
Shinyanga

WAKAZI wa mtaa wa Kalonga manispaa ya Shinyanga wameikataa taarifa ya Tume ya uchunguzi iliyokuwa imeundwa kuchunguza ubadhirifu wa shilingi milioni 26.2 zilizokuwa zimetolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Kila shule iwe na mabweni-TGNP


Na Mariam Mziwanda

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeeleza umuhimu wa kuwa na sera itakayowezesha kila shule nchini kuwa na mabweni ya wasichana ili kuwaandaa wanawake katika kutekeleza mpango wa maendeleo wa dunia.

Wananchi watakiwa kujenga nidhamu Temeke



Na David John

MKUU wa wilaya ya Temeke Sophia Mjema amewataka wananchi wa  wilaya hiyo kujenga nidhamu ya kusimamia vizuri huduma mbalimbali zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya maeneo yao.

MAPAMBANO


Askari Polisi akimdhibiti mgambo wa jiji, katika vurugu baina ya Polisi na mgambo, katika eneo la Shule ya Uhuru,Kariakoo Dar es Salaam jana. Vurugu hizo zilisababisha mgambo wawili kujeruhiwa vibaya.(Picha na Peter Twite)

Ni mapambano tena Dar,Moro *WANANCHI WACHOMA MAGARI,WAPORA,WAVUNJA NYUMBA *RC,DC WADAIWA KUWA CHANZO,MMOJA AFA *DAR,POLISI MACHINGA WAPAMBANA



Na Waandishi Wetu Dar, Kilosa

WANANCHI wenye hasira katika Kijiji cha Dumila, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro walifanya vurugu kubwa zilizoambatana na wizi, uporaji na uharibifu wa mali, ambapo nyumba mbili za kulala wageni zilivunjwa na magari kadhaa kuharibiwa kwa kupigwa mawe na mtu mmoja kufariki dunia kwa mshtuko wa mabomu.

Zitto amtaka Sitta kufikiria upya chama cha kugombea urais


Na Gladness Mboma

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe amesema, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Sumuel Sitta ana haki ya kugombea nafasi ya urais kama ilivyo kwa Mtanzania mwingine, lakini anapaswa kufikiria upya kuhusu chama anachotaka kupeperusha bendera ya urais.

UJENZI



Mfanyakazi wa Kampuni ya STRABAG akisawazisha zege kwa  kutumia ufagio,katika barabara ya morogoro Dar es Salaam jana. Ujenzi huo tangu umeanza una miezi 9 na unategemea kumalizika mwaka 2014. (Picha na Asia Mbwana)

Njama za kumng'oa meya Bukoba zagonga mwamba


Na Livinus Feruzi
Bukoba.

KITENDAWILI cha madiwani kumi wa halmashauri ya manispaa ya Bukoba akiwemo Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Khamis Kagasheki cha kutaka kumg'oa Meya wa manispaa hiyo Dkt. Anatory Amani katika wadhifa wake kimeshindwa kuteguliwa, baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa,Bw.Philip Mangula kuwataka viongozi hao kufuata taratibu za chama kabla ya kumng'oa.

Vurugu,Rufiji,familia 19 za polisi zaishi kituoni *watu 28 mbaroni


 Na Masau Bwire

WATU 28 wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuhusika na uchomaji moto wa nyumba nne za askari wa Jeshi la Polisi na kuteketeza mali zote zilizokuwemo.

Diwani CHADEMA asimamishwa akituhumiwa kuuza chakula cha msaada Kenya


Na Timothy Itembe, Rorya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya Rorya kimemsimamisha uongozi kwa muda mwenyekiti wake ambaye pia ni Diwani kata ya Tai, Bw.Goodfrey Masirori kwa tuhuma za kuuza chakula kilichotolewa na serikali kwa ajili ya kugaiwa katika kata ambazo zimekumbwa na baa la njaa wilayani humo.

SHAMRASHAMRA


Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu, wakiwa juu ya gari namba T 561 BWJ huku wakiwa wamenyanyua bendera zao juu kwa ishara ya kusherehekea Maulid ya Kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (S.A.W),katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana.(Picha na Peter Twite)

Kiwanda cha kutengeneza mafuta ya albino kuzinduliwa Moshi



Rachel Balama na Anneth Kagenda

KIWANDA cha kutengeneza mafuta kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kilichopo mkoani Moshi kilichogharimu sh. milioni 68 kinatarajiwa kuzinduliwa wakati wowote kuanzia sasa.

Waislam watakiwa kujiepusha na vurugu



Na Florah Temba,Moshi.

WAISLAM kote nchini,wametakiwa kujiepusha na vurugu mbalimbali ambazo zinahatarisha amani na utulivu wa nchi, kutokana na kwamba madhara ya uvunjifu wa amani katika Taifa lolote duniani ni makubwa.

UBANI


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt.Ali Mohamed Shein,akitia ubani kama ishara ya ufunguzi wa Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyosomwa juzi katika Viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar,ambapo kila mwaka hufanyika Maulid kama hayo na kuhudhuriwa na maelfu ya Waumini wa Dini ya Kiislamu. (Picha na Ramadhan Othman,Ikulu)

Radi yawajeruhi mama,watoto


Na Cresensia Kapinga,Songea

MWANAMKE mmoja Zainabu Ally (33) na wanawe wawili,Ally Khamisi (5) na Hawa Nigange (4)wote wakazi wa kijiji cha Rwinga nje kidogo ya mji wa Namtumbo mkoani Ruvuma wamejeruhiwa vibaya kwa radi nje ya nyumba yao wakati walipokuwa wakila chakula.

Tanzania kunufaika na miradi mitatu mikubwa kutoka China


Na Anneth Kagenda

TANZANIA inatarajia kuneemeka na miradi mikubwa mitatu kutoka nchini China ambayo itagharimu zaidi ya sh. bilioni 28.2 za kitanzania ukiwamo mradi wa chakula ambapo chakula hicho kitasambazwa katika maeneo yote nchini hasa yale ya vijijini ili kupunguza tatizo kubwa lililopo.

Rais Kikwete kutetea ripoti utawala bora leo


Na Hassan Abbas, Addis Abbas

Rais Jakaya Kikwete leo Jumamosi anatarajiwa kuiwasilisha na kuitetea
Ripori ya hali ya Utawala Bora mbele ya viongozi wenzake wa nchi za Afrika
zinazoshiriki  katika Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).

KARIBISHWA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia, na Mwenyekiti wa Chama cha wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba, wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam jana usiku kwa ajili ya  mkesha wa sherehe za Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhamad (S.A.W). Picha na Muhidin Sufiani-OMR

Albino waomba kupewa huduma bure ya DNA



Na Peter Mwenda, Kisarawe

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino) wilayani hapa wameiomba Serikali kutoa bure huduma ya kupima vinasaba (DNA)kuondoa utata katika ndoa zao hasa wanapozaa watoto ambao hawana ulemavu huo.

Tunataka kutembelea miradi yote ya UKIMWI-Kamati ya Bunge



Na Rose Itono

WAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,sheria na utawala wametaka kupewa umuhimu wa kutembelea mara kwa mara miradi na shughuli mbali mbali zinazohusiana na kampeni dhidi ya UKIMWI nchini ili kujua hasa thamani ya fedha zinazotolewa na serikali pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kupambana na ugonjwa huo.

Kamati Kuu Chadema kukutana leo



Na Stella Aron

KAMATIi Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinatarajia kufanya mkutano maalum wa siku mbili kwa ajili ya kujadili ajenda mbalimbali ikiwemo taarifa ya fedha kwa mwaka 2012.

JIKO


Mkazi wa jijini Bw. Said Jumanne, akitafuta wateja wa kununua jiko katika mtaa wa Samora, Posta Mpya Dar es Salaam jana.Jiko hilo huuzwa sh. 15000 hadi 20000.(Picha na Peter Twite)

Wasanii kupamba Siku ya Ma-Star kesho



Na Elizabeth Mayemba

WASANII wa Bongo flava nchini watashirikiana na wa Bongo muvi katika onesho maalumu la Usiku wa Ma-Star, linalotarajiwa kufanyika kesho katika Ukumbi wa Dar Live Mbagala, Dar es Salaam.

CHANEDA kuandaa michuano maalumu



Na Mwali Ibrahim

CHAMA cha Netiboli Mkoa wa Dar es Salaam (CHANEDA), kukinatarajia kuandaa mashindano maalumu ya netiboli kwa timu za mkoa huo wiki ijayo, ili kuchagua timu ya mkoa.

TASWA kuwapambanisha Malinzi, Nyamlani


Na Mwandishi Wetu

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimepanga kufanyika mdahalo kwa wagombea wa nafasi za juu za uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Februari 15, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

VIFAA


Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, wadhamini wa wakuu wa Simba akimkabidhi Msemaji wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga vifaa vya michezo kwa ajili ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu inayoanza kesho. Picha kwa hisani ya Executive Solutions

Bulembo ataka walimu kusimamia michezo


Na Andrew Ignas

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Abdallah Bulembo amewata walimu kuhakikisha wanasimamia sera ya michezo shuleni, ili kujenga Taifa lenye kuthamini michezo.

Vodacom yataka klabu kutoa ushindani


Na Zahoro Mlanzi

WADHAMINI wa Ligi Kuu Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom imezitaka klabu zinazoshiriki ligi hiyo kuendelea kuonesha ushindani, kama zilivyofanya katika mzunguko wa kwanza.

Kocha wa kikapu akata tamaa



Na Amina Athumani

KOCHA wa timu ya Taifa ya mpira wa kikapu, Evarist Mapunda amesema matumaini ya Tanzania kuingia hatua ya robo fainali ni madogo.

MASHINDANO


Mchezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya Rwabda, Kamana Issa (kulia) akiwania mpira sambamba na mchezaji wa Burundi Henderson Tema, wakati wa mechi ya mashindano ya Kanda Tano ya Afrika iliyofanyika Dar es Salaam jana. Rwanda ilishinda kwa pointi 62-52. Picha na Rajabu Mhamila

Vibonde wa Yanga waitafuna Simba


Na Elizabeth Mayemba

MABINGWA wa Tanzania Bara Simba jana walifungwa bao 1-0 na timu ya Afrika Kusini katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

TBL yamwaga vifaa Simba, Yanga


Na Elizabeth Mayemba

KLABU za Simba na Yanga, jana zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 70 na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Kilimanjaro kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, unaotarajiwa kuanza kesho.

22 January 2013

KIDANI


Mke wa Naibu Spika wa Bunge la la Korea Kusini, Bi. Han Myeong-Hee, akivishwa zawadi ya kidani na Bw. Martin Malim (kushoto), wakati alipotembelea Chuo cha Elimu ya Ufundi Stadi (VETA) cha Kipawa, Dar es Salaam jana. Picha na Prona Mumwi

Makamba afumua menejimenti TTCL



Na Mariam Mziwanda

NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameahidi kufumua uongozi uliopo katika Shirika la Simu Tanzania (TTCL) kutokana na shutuma za ubadhirifu yakiwemo matumizi mabaya ya uongozi.

AJALI


Madereva na abiria wakiyaangalia magari, mara baada ya kugongana eneo la Mtoni Msikitini Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam jana. Uzembe wa baadhi ya madereva unasababisha ajali zinazochangia madhara kwa abiria na uharibifu wa mali. (Picha na Charles Lucas)

21 January 2013

Nape afichua siri za kifo Chadema *Asema hakuna dawa ya kutumia lazima kife *Adai ni laana ya Nyerere, wasitafute mchawi


Na Mwandishi Wetu, Mwanza

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi na Uenezi, Bw. Nape Nnauye amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kisitafute mchawi anayewamaliza nje ya chama chao.

MKUTANO



Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Nyamagana, jijini Mwanza jana ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa
chama chicho Bara, Bw. Philip Mangula. (Na Mpigapicha wetu)


Ajali yaua mmoja, 48 wajeruhiwa


Na Rashid Mkwinda, Mbeya

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 48 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Kampuni ya Nganga Express lenye namba za usajili T 413 AVU, baada ya kupinduka kwenye Mlima wa Imezu, jana asubuhi.

Waandidhi Mbeya watimua viongozi wao kwa ubadhirifu



Na Rashid Mkwinda, Mbeya

UONGOZI wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Mbeya, umelazimishwa kujiuzulu na wanachama kutokana na tuhuma
za ubadhirifu wa fedha za klabu uliofanyika kwa miezi minne.

Katibu wa CHADEMA ahamia NCCR



Na Darlin Said

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Mbeya, Bw. Eddo Makata, ametangaza rasmi kujiunga na chama
cha NCCR-Mageuzi.

SALAMU


Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bw. Philip Mangula (kulia), akiwasalimia mabalozi wa nyumba 10 kutoka kata 21 za Ilemela na Nyamagana, mkoani Mwanza baada ya kuzungumza nao kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini humo jana. Nyuma yake ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Bw. Nape Nnauye. (Picha na Bashir Nkoromo)

Ugonjwa unaomsumbua DCI Manumba kuwekwa hadharani


Na Stella Aron

UONGOZI wa Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam, leo unatarajia kueleza umma ugonjwa unaosumbua Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini, DCI Robert Manumba.

Ridhiwani: Nakerwa na ushabiki wa siasa vyuoni



Na Charles Mwakipesile, Mbeya

MJUMBE wa Halmashauri Kuu CCM Taifa (NEC), Bw. Ridhiwani Kikwete, amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa Vyuo Vikuu mkoani Mbeya kujiingiza katika ushabiki wa kisiasa.

Bulembo atishia ajira za watendaji



Peter Mwenda na Andrew Ignas

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa ya Chama
Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Abdallah Bulembo, ametishia kuwafukuzisha kazi watendaji wa Serikali ambao watabainika kutoa ushirikiano kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Askofu: Mgawanyo wa rasilimali usio wa haki unachangia vurugu



Na Heckton Chuwa, Moshi

BALOZI wa Baba Mtakatifu nchini, Askofu Mkuu Fransisco Padilla, amesema vurugu zinazotokea kwa sasa katika nchi mbalimbali duniani, zinachangiwa na mgawanyo wa rasilimali usio
wa haki katika nchi husika.

DIRISHANI


Mkazi wa jijini akipanda gari kwa kuingilia dirishani, kwenye gari namba T 288 AZB linalo fanya ruti kati ya madafu Kariakoo, kama alivyo kutwa na mpiga picha wetu Dar es Salaam jana.Abiria wamekuwa kero kwa makonda kutokana na uharibifu wa kuvunjwa vioo vya madirisha.Picha na Prona Mumwi

Hukumu ya Mchina mtoa rushwa yazua gumzo


Na Raphael Okello, Bunda

SAKATA la raia wa China aliyeshtakiwa kwa kutaka kumpa
rushwa ya sh. 500,000, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, mkoani Mara Bw. Joshua Mirumbe na kukwepa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kulipa faini ya sh. 700,000, limeibua hisia tofauti
miongoni mwa wananchi juu vita dhidi ya rushwa nchini.

'Wana CCM jibuni mapigo ya wapinzani'


Na Severin Blasio, Morogoro

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UWT), Bi. Sophia Simba, amewataka wana CCM  kufunguka na kujibu mapigo ya wapinzani ili kukijenga chama chao.

CHADEMA yawataka wanawake wasitishike



Na David John

MBUNGE wa Ubungo, Bw. John Mnyika, amelitaka Baraza la Wanawake la chama hicho (BAWACHA), kutoogopa vitisho ambavyo vinaenezwa na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa mwaka huu utakuwa wa vurugu.

SANDUKU


Msukuma mkokoteni akisafirisha sanduku za chuma kwa ajili ya maandalizi ya kuuza kama alivyokutwa mtaa wa msimbazi Dar es Salaam jana. Sanduku hizo hutumika hasa kwa wanafunzi wa shule.Picha na Prona Mumwi

Fenella ataka vijana wapige vita dawa za kulevya


Na Amina Athumani

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Fenella Mkangara amewataka wachezaji wanaocheza wa Kombe la Meya kuwa mabalozi wazuri katika kupiga vita utumiaji wa dawa za kulevya kwa vijana.

WAZIRI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara (kushoto), akipiga mpira kama ishara ya uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Meya katika uzinduzi uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam juzi.Kulia ni Meya wa manispaa hiyo, Yusuph Mwenda.Picha na Peter Twite

Wawili watakiwa kuachia ngazi bodi ya filamu


Na Amina Athumani

KATIBU Mtendaji wa Bodi ya filamu Tanzania aliyechaguliwa na Serikali, Joyce Fisoo na Ofisa wa COSOTA, Yustus Mkinga wametakiwa kuachia nyadhifa zao kwa madai kuwa utendaji wao si mzuri.

Na Zahoro Mlanzi

WAREMBO 40 wanaowania taji la Miss Utalii 2013 kutoka mikoa mbalimbali nchini, wameripoti kambini tayari kwa kambi ya siku 21 kwenye hoteli ya Ikondelelo Lodge, Kibamba Dar es Salaam.

ZAWADI

Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya timu ya Yanga, Abdallah Bin Kleb akimkabidhi bahasha yenye fedha taslimu sh. mil 1 beki wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa (kulia) wakati wa Mkutano Mkuu wa kila mwaka uliofanyika katika Ukumbi wa Bwalo na Polisi, Oysterbay Dar es Salaam jana.Na Mpigapicha Wetu

Wanachama Yanga wampa rungu Manji *Nsajigwa alamba mil. 1 nidhamu bora




Na Zahoro Mlanzi

WANACHAMA zaidi ya 1444 wa Klabu ya Yanga, wameridhia kumpa ridhaa Mwenyekiti wao, Yusuph Manji pamoja na Makamu wake, Clement Sanga kuteua Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wanaowataka wao pamoja na kumfukuza mjumbe yeyote atakayeonekana hafai.

Pinda kufungua kikapu Zone V leo



Na Amina Athumani

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda leo atazindua mashindano ya Kanda ya Tano ya mpira wa kikapu (Zone v)  katika Uwanja wa Ddani Taifa, Dar es Salaam.

Tusikemee rushwa bila wahusika kukamatwa, kuchukuliwa hatua



TATIZO la rushwa nchini, lipo katika sekta mbalimbali lakini hali hiyo haina maana kuwa inakubalika katika jamii.

Ukweli ni kwamba, rushwa haikubaliki kutokana na madhara yake ndio maana Serikali imeweka mikakati mbalimbali ya kuhakikisha vitendo hivyo vinatokomezwa.

KATUNI


Waishitumu NASA kuficha sayari Tishio



Na Danny Matiko

MAKALA yaliyopita tuliwaletea habari za kukanusha madai ya kuwepo sayari tishio kwa dunia, hususan kufuatia uvumi uliosambaa duniani mwishoni mwa mwaka jana 2012, kwamba kulikuwa na sayari kubwa ikija kuigonga dunia na kuisambaratisha.

Tusiwahukumu wananchi wa Mtwara




Na Danny Matiko

ITAKUMBUKWA kuwa kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania wananchi waliandamana mkoani Mtwara Desemba 27, mwaka jana, kupinga gesi-asili inayochimbwa mkoani humo kusafirishwa kwa njia ya bomba mpaka Dar es Salaam.

Tuhoji polisi inapotumia mabomu kudhibiti sisimizi



Na Gladness Mboma

JUZI wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wanaokaa katika makazi ya mtu binafsi Kigamboni waliandamana hadi Makao Makuu ya Polisi, ambako pia ni Makao Makuu ya Mambo ya Ndani kwa lengo la kutoa malalamiko yao juu ya vitendo vya kubakwa, kulawitiwa na kuibiwa mali zao na watu wanaodhaniwa  majambazi mara kwa mara.

Marufuku mifuko ya jamii kujenga bila mikataba-POAC



Anneth Kagenda na
Rachel Balama

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC),imeipiga marufuku Mifuko yote ya Hifadhi ya Jamii kujenga miradi yoyote bila kuwa na mikataba kwani kufanya hivyo kunaweza kuleta madhara siku za usoni.

Ajinyonga hadi kufa kwa madai anakwenda kwa yesu


Na Patrick Mabula,
Kahama,

MWANAUME mmoja mkazi wa mitaa ya Vumilia mjini Kahama, Bw.Mayala Mwagala 58 amejinyonga hadi kufa chumbani kwake kwa madai kuwa anakwenda kwa Yesu.

Kipindi hichi siyo cha msimu wa vyakula


Na Heri Shaaban

MFUMUKO wa bei katika bidhaa za vyakula Dar es Salaam unadaiwa kuwa unatokana na kipindi hichi kutokuwa cha msimu wa vyakula.

Kesi ya Badwell yapigwa kalenda


Na Rehema Mohamed

KESI ya kuomba na kupokea rushwa ya sh.milioni 8 inayomkabili Mbunge wa Bahi (CCM) Bw.Omary Badwell itaendelea kusikilizwa Februari 15 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Viongozi mitaa,watendaji wailalamikia serikali



Na Darlin Said

VIONGOZI wa Serikali za mitaa na Watendaji wameilalamikia serikali kushindwa kuwashirikisha katika kufanya maamuzi mbalimbali ya kimaendeleo hali inayosababisha kutokuwa na uhusiano nzuri baina yao na wananchi.

Nitawachongea watendaji wote wa Halmashauri


Na David John.

MBUNGE wa Kisarawe Seleman Jafu amesema atahakikisha anawachongea kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda watendaji wote  wa halmashauri hiyo  ambao wanachangia kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi wake.

Jiji kuandaa ramani,ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi



Na Heri Shaaban

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inaandaa mchoro wa ramani kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani eneo la Mbezi kwa Ruis.

Mmoja afariki dunia, watano wajeruhiwa Dar


Na Leah Daudi

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Hatibu Halfani (33) amefariki dunia mara baada ya gari alilikuwa akiendesha  kugongana na gari lingine na kumsababishia kifo.

TWB kufungua tawi la pili Kariakoo



Na Amina Athumani

BENKI ya wanawake nchini (TWB) inatarajia kufungua tawi lake la pili maeneo ya Kariakoo mwezi Februari mwaka huu baada ya kufikisha mtaji wa sh. bilioni 6.8 tangu kuanzishwa kwa benki hiyo miaka mitatu iliyopita.

Marufuku korosho kununuliwa kwa vipimo vya kangomba-DC



Na Steven Augustino, Tunduru

MKUU wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma, Bw. Chande Nalicho amepiga marufuku ununuzi wa kutumia Vipimo vya KANGOMBA chenye ujazo wa zaidi ya kilo moja unaoendelea sasa kutokana na kuwanyonya wakulima wa Korosho.

Teknolojia Mbola kusambazwa nchini kuondoa umaskini



Na Moses Mabula, Uyui

WAZIRI wa Fedha Dkt Wlliam Mgimwa amesema Serikali
inaangalia uwezekano wa kusambaza teknolojia na mbinu zilizotumika katika kijiji cha millennia cha Mbola mkoani Tabora, zitumike katika vijiji vingine
hapa nchini.

Watanzania watakiwa kutii mamlaka zilizopo serikali



Na Florah Temba,
Moshi

WATANZANIA wametakiwa kujituma katika kazi ikiwa ni pamoja na kutii mamlaka zilizopo katika serikali na hata kwenye dini, hatua ambayo itasaidia kudumisha amani na mshikamano ulioachwa na hayati mwalimu
Julius Kambarage Nyerere.

DC ataka mazungumzo kuhusu gesi


Na Godwin Msalichuma, Mtwara

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile, amesema upo umuhimu wa kuzungumza na wananchi wa kada mbalimbali  mkoani humo kuhusu suala la gesi ili kuleta utulivu na amani katika halmashauri zote za Mkoa huo.

Serikali kuendelea kushirikiana na Misri kuboresha huduma ya maji




Na Jovin Mihambi, Maswa

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amesema,
serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na serikali ya Jamhuri ya Watu wa Misri katika kuboresha huduma ya maji hususani kwa wananchi waishio kwenye vijiji ambavyo vimekuwa vikikumbwa na janga la ukame ili waweze kupata maji
salama.

Wafanyabiashara wasiotumia mashine za kieletroniki kuchukuliwa hatua

Na Severin Blasio,Morogoro

MALAKA ya mapato Tanzania (TRA) itawachukulia hatua wafanyabiashara  waliosajiliwa
kwenye ongezeko la thaman (VAT) watakaobainika kutotumia  mashine za kielektroniki
zinazotoa risiti  kwenye biashara zao.

ZECO yaaswa kutoa huduma bora



 Na Mwajuma Juma, Zanzibar

UONGOZI wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO)limeaswaa kuwa makini katika taratibu zake za kutoa huduma bora kwa lengo la kupunguza kero na lawama kutoka kwa wateja wa huduma hiyo.

18 January 2013

VIAZI


Mfanyabiashara wa viazi akitafuta wateja katika Barabara ya Msimbazi Kariakoo, Dar es Salaam jana, kukosekana kwa  ajira rasmi kumechangia baadhi ya vijana kujiajiri ili kujipatia kipato. (Picha na Heri Shaaban)

Shibuda achoshwa na vitisho Chadema *Sasa kuanika siri ya mgogoro unaondelea kufukuta *Adai chama hicho hakina mvuto tena Kanda ya Ziwa



Na Benedict Kaguo

MBUNGE wa Maswa Magharibi, mkoani Simiyu, Bw. John Shibuda (CHADEMA), anakusudia kuuweka wazi mgogoro unaondelea ndani ya Chama hicho.

MBOGA


Mchuuzi wa mboga za majani (ambaye hakutaja jina) akichambua mboga hizo kabla ya kuwauzia wateja nje ya Soko Kuu  la Kariakoo, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

Mchina jela miaka 3 akimpa rushwa DC



Na Raphael Okello, Bunda

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, imemuhukumu raia wa China, Bw. Mark Wang Wei (30), kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya sh. 700,000, baada ya kutiwa hatiani na kosa la kutaka kutoa rushwa ya sh.500,000 kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Bw. Bw. Joshua Mirumbe.

JK amtembelea DCI Manumba, bado kalazwa ICU


Na Goodluck Hongo

RAIS Jakaya Kikwete, jana alikwenda kumjulia hali Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi nchini, DCI Robert Manumba, ambaye amelazwa katika chumba cha watu mahututi (ICU), kwenye Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam.

MITUMBA


Dereva wa gari lenye namba T 537 CAQ, akichaguo nguo za mitumba, kama alivyokutwa Manzese Tip Top, Barabnara ya Morogoro, Dar es Salaam jana. Baadhi ya watu wanapenda kununua nguo hizo kutokana na kuuzwa kwa bei nafuu. (Picha na Charles Lucas)

Lema kutoshirika ziara za Kikwete


Na Martha Fataely, Moshi

SAKATA la kukataliwa kwa Meya wa Jiji la Arusha, Bw. Gaudence Lyimo, sasa limekuchukua sura mpya baada ya Mbunge wa Arusha Mjini, Bw. Godbless Lema (CHADEMA), kutangaza nia yake ya kutoshiriki ziara za Rais Jakaya Kikwete, mkoani humo kama
Bw. Lyimo atakuwepo.

TIC 'yakalia kuti kavu' kwa Kamati ya Zitto



Mariam Mziwanda na Rehema Maigala

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imetoa siku moja kwa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),  kuandika barua ya ufafanuzi juu ya uwekezaji katika mkataba wa  Star Media.

Bodi TANAPA sasa kuburuzwa mahakamani


Na Daud Magesa, Mwanza

WANANCHI wa vijijji saba vya kata mbalimbali, katika Wilaya
ya Serengeti, mkoani Mara, wanakusudia kuiburuza Mahakamani
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi 
za Taifa (TANAPA), kwa madai ya kupora maeneo yao.

KERO


Mkazi wa jiji akipita karibu na lundo la matawi ya miti yaliyotelekezwa kwa zaidi Wiki moja katika makutano ya Mtaa wa Mosque na Mshihiri Posta, Dar es Salaam jana. Ukataji wa miti na kuachwa katika barabara pamoja na kuchafua mazingira pia unasababisha kero kwa watumiaji wa barabara hizo. Picha na Peter Twite)

Katibu CCM achunguzwa na TAKUKURU


Na Patrick Mabula, Kahama

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, inamchunguza Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM), wilayani humo, Bw. Masoud Melimeli.

Polisi Kishapu watupiwa tuhuma nzito


Na Suleiman Abeid, Shinyanga

BAADHI ya viongozi katika Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga, wamelitupia lawama Jeshi la Polisi, wilayani humo kutokana na baadhi ya askari wake, kudaiwa kushirikiana na wahalifu pamoja
na kupokea rushwa.

AJALI


Baadhi ya wapitanjia wakiangalia magari teksi namba T 688 AEN na daladala namba T 648 BBK, yaliyogongana makutano ya Barabara za Uhuru na Sikukuu Kariakoo, Dar es Salaam jana. (Picha na Peter Twite)

Uhamiaji yakamata wahamiaji 234



Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

IDARA ya Uhamiaji, mkoani Mwanza, imewakamata wahamiaji haramu 234 kwa nyakati tofauti mwaka 2012 wengi wao wakiwa
raia wa nchi ya Congo (DRC), pamoja na Burundi.

Nchemba ahofia ajira za wabunge CHADEMA


Na Benedict Kaguo

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Bara, Bw. Mwigulu Nchemba, amefichua siri ya kutoyaweka bayana majina ya wabunge saba
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), walioomba kujiunga na chama chao.

TCRA


Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kampuni za mitandao ya simu Tanzania wakisikiliza maoni mbalimbali, Dar es Salaam jana, kuhusu utozaji wa viwango sawa kwa upigaji simu kwa mitandao yote nchini ifikapo Mwezi Machi mwaka huu. (Picha na Charles Lucas)

Katiba Mpya iwabane na kukomesha uzembe kwa watendaji



Taasisi na viongozi mbalimbali waliopo serikalini na wastaafu,
wapo katika mchakato wa kutoa maoni ya Katiba Mpya kwa
Tume anayoratibu mchakato huo jijini Dar es Salaam.

16 January 2013

Bilal: Vifo vya uzazi nchini vimepungua


Na Queen Lema, Arusha

IDADI ya vifo vitokanavyo na uzazi nchini, vimepungua kwa asilimia 50 ukilinganisha na mwaka 2009 ambapo takwimu zinaonesha wajawazito 500 walipoteza maisha ambapo
mwaka 2010, vifo hivyo vilipungua na kufikia 250.

Wananchi Shy wampa ushauri JK


Na Suleiman Abeid, Shinyanga

KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkazi wa Shinyanga, Bw. Deogratias Saimon, amemuomba Rais Jakaya Kikwete, aombe
ushauri kwa Rais wa Marekani, Bw. Barrack Obama, kuhusu
mbinu mbadala za kupambana na ugonjwa wa malaria nchini.

Dkt. Slaa awapa 'rungu' madiwani




Na Martha Fataely, Moshi

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, amewahamasisha madiwani wa chama hicho Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kumfungia nje ya ofisi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Bi. Bernadette Kinabo.

MTARO

Baadhi abiria wakipanda daladala lililoegeshwa kando ya mtaro ulio wazi, kitendo kinachohatarisha usalama wao, kama walivyokutwa kwenye Kituo cha Mabasi yaendayo Mbagala eneo la Shule ya Uhuru Kariakoo, Dar es Salaam jana. (Picha na Peter Twite)  

Mtemvu atoa ushauri kwa Mahakama




Na David John

MBUNGE wa Temeke, Dar es Salaam, Bw. Abbas Mtemvu, amezishauri mahakama nchini kuharakisha usikilizaji wa kesi
za watu waliojenga na kuzuia mifereji ya maji machafu.

Rais Kikwete awahakikishia ulinzi Mabalozi




Na Kassim Mahege

RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania itaendelea kuimarisha ulinzi kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini pamoja
na kuzikabili changamoto zilizojitokeza mwaka 2012.

MANUNUZI


Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Ununuzi na Ugavi (IPS), Dkt. Didas Massaburi, akitoa mada wakati wa warsha ya Wabunge iliyohusu uwawezeshaji wa kujua taratibu za manunuzi katika taasisi za umma iliyofanyika, Dar es Salaam jana. (Picha na PeterTwite)

Wakulima wapewe elimu ya kilimo cha kisasa



KILIMO kwanza ni mpango unaotekelezwa na Serikali ili kuhamasisha wakulima waongeze juhudi kwenye kilimo cha kisasa, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara nchini.

15 January 2013

MAANDAMANO


Mamia ya Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na Chuo cha Mwalimu Nyerere Kivukoni wakiwa katika Kivuko cha Mv Kigamboni, kabla ya kuandamana jijini jana. Wanachuo hao waliandamana kupinga vitendo vya unyanyasaji wa aina mbalimbali ukiwamo wizi unaofanyika vyuoni. (Picha na Heri Shaaban)

JK: Mapinduzi Z’bar yamefungua fursa ya elimu kwa Wazanzibari



Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

RAIS Jakaya Kikwete amesema, miongoni mwa faida ambazo zimetokana na Mapinduzi ya Zanzibar ni kupatikana kwa fursa
ya elimu kwa wazawa pamoja na watoto zao.

Ajali ya basi yaua saba, yajeruhi 28


Robinson Wangaso na Veronica Modest, Mara

WATU saba wamefariki dunia na wengine 48 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso katika Barabara Kuu ya Mwanza, Kijiji cha Nyatwari, wilayani Bunda, mpakani mwa Mkoa wa Mara na Simiyu.

Masaburi: Watendaji wanakula fedha za mapato



Na Anneth Kagenda

FEDHA nyingi zinazokusanywa katika taasisi mbalimbali za umma, asilimia tano ya mapato imekuwa ikichukuliwa na watendaji wa kawaida na wale wakubwa wanachukua mara tisa ya fedha hizo.

Bilali kufungua mkutano wa afya leo


Na Queen Lema, Arusha

MAKAMU wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal, leo anafungua mkutano wa kimataifa wa Afya ya Mama ambao utahusisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 68 wakiwemo wanasiasa.

Wananchi wamshukia DC K'ndoni



Na Gladness Theonest

WAKAZI wa Mbezi Beach, eneo la Salasala, Dar es Salaam, wamemtaka Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Fotnatus Fwema, kutokutumia cheo chake kukandamiza wananchi wanyonge.

USAFI


Mkazi wa jiji akisafisha daladala lililokuwa katika foleni, kama alivyokutwa makutano ya Barabara za Nyerere na Msimbazi (KAMATA), Dar es Salaam jana. Baadhi ya vijana wamebuni njia ya kujipatia kipato kwa kusafisha magari yakiwa barabarani ingawa hufanya hivyo bila makubaliano na mhusika. (Picha na Charles Lucas)

Wahamiaji 21 wakamatwa Kilimanjaro



Na Florah Temba, Moshi

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro, linawashikilia wahamiaji haramu 21 kutoka nchini Ethiopia kwa tuhuma za kuingia
nchini kinyume cha sheria.

Afa kwa kuangukiwa na kifusi mgodini


Na Suleiman Abeid, Shinyanga

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Shinyanga, likiwemo la msimamizi wa machimbo ya madini ya dhahabu, Wilson Mapengo (28), kuangukiwa na kifusi cha udongo akiwa katika shughuli za kukagua mashimo.

Mbaroni akidaiwa kumbaka, kumlawiti mzazi mwenzake


Na Jamillah Daffo, Babati

JESHI la Polisi mkoani Manyara, linamshikiliwa mkazi wa Kijiji cha Gijachameda, Wilaya ya Babati, Bw. John Barandi (35), kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mzazi mwenzake Mwanaisha Iddi
(25), baada ya kumbaka na kumlawiti.

MALALAMIKO


Mwenyekiti wa Umoja wa Waendesha Pikipiki za Kubeba Abiria 'Bodaboda' mkoani Mbeya, Bw. Idd Ramadhan, akizungumza na Wanachama wa umoja huo jana, wakati wa kutoa tamko kuhusu kusudio la kutaka kumpeleka kumshtaki Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kutokana na madai kuwa aliwatuhumu kupewa rushwa, Bw. Joseph Mbilinyi. Kushoto ni  Katibu wa umoja, Bw. Ernest Mwaisango. Picha na Charles Mwakipesile

Diwani CCM afikishwa kortini akihusishwa na mauaji Musoma



Na Raphael Okello, Musoma

WATU wanne akiwemo Diwani wa Kata ya Mugango, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Wandwi Kunju (34), mkazi wa Mugango, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, jana wamefikishwa mahakamani akidaiwa kujihusisha na mauaji ya mtu mmoja.

Adondoka kutoka juu ya Mnazi



Christina Mokimirya na Lead Daudi

MKAZI wa Mkuranga, mkoani Pwani, Mwarami Shamte (32), amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Kitengo cha Mifupa (MOI) baada ya kudondoka kutoka juu ya mnazi na kuumia sehemu mbalimbali za mwili wake.

Mafunzo kwa waendesha pikipiki yatapunguza ongezeko la ajali




HIVI karibuni, usafiri wa pikipiki mijini na vijijini katika mikoa mbalimbali nchini, umeongezeka kwa kasi kubwa.

SAMAKI


Wafanyabiashara katika Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Juma Khamis (kushoto) na Bw. Said Ally, wakiwa wamembeba samaki aina ya Kitoga wakimpeleka katika mnada kwa mauzo, kama walivyokutwa na mpigapicha wetu, Dar es Salaam jana. Kwa maelezo ya wafanyabiashara hao samaki huyo walitarajia kumuuza kwa sh. 60,000. (Picha na Peter Twite) 

Serikali yakiri haijatenga ardhi ya kilimo, ufugaji



Na Peter Mwenda

SERIKALI imekiri kuwa haijatenga ardhi kwa ajili ya kilimo na ufugaji kama ilivyotengwa kwa ajili ya wanyama pori.

Wavamizi pori Mbangara watiwa mbaroni



Na Esther Macha,
Mbeya

WATU watano jamii ya wafugaji wanashikiliwa na Polisi Wilayani Chunya mkoani Mbeya wakituhumiwa kuwashawishi wafugaji wenzao kuwavamia maofisa wa Halmashauri hiyo waliokowa wakiendesha zoezi la kuwaondoa wafugaji waliovamia hifadhi ya misitu katika pori la Mbangara wilayani humo.

14 January 2013

USAFI


Mbunge wa Temeke, DAR ES Salaam, Bw. Abbas Mtemvu (aliyeinama kushoto), akifanya usafi katika mfereji na wanachama wa Kikundi wa Makangarawe Environmental Group, katika uzinduzi wa kampeni ya mazingira kwenye kata hiyo juzi. (Picha na Prona Mumwi)

Walemavu wakiwezeshwa vitendea kazi watajikwamua kiuchumi


Na Lilian Justice

IMANI potofu kuwa mlemavu katika familia ni mkosi ni moja ya chanzo cha kuwatenga na kuwanyima huduma muhimu watu wenye mahitaji maalumu.

MSAADA


Mbunge wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro, Bw. Amos Makalla (katikati) akipeana mkono na muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Matale wilayani humo mwishoni mwa wiki (wa pili kulia), baada ya kukabidhi vitanda viwili na matandiko kwa ajili ya matumizi ya wagonjwa. Wengini ni baadhi ya viongozi wa kijiji hicho. (Na Mpigapicha Wetu)

Mbunge atoa msaada wa shuka za mil. 17.5/-


Na Mwandishi Wetu, Geita

MBUNGE Viti Maalumu, mkoani Geita, Bi. Josephine Chagula (CCM), ametoa msaada wa shuka 400, kwa Hospitali za Wilaya
mkoani humo, zenye thamani ya sh. milioni 17.5, kwa ajili ya
wanawake wajawajito waliolazwa katika hospitalini hizo.

Slaa kuanza ziara ya kichama K'njaro leo


Na Martha Fataely, Moshi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, anatarajiwa kufanya ziara
ya siku mbili mkoani Kilimanjaro kuanzia leo kwa ajili ya
kuelezea mafaniko ya chama na shughuli za mwaka 2013.

RAIS

Rais Jakaya Kikwete (katikati), akiangalia vitabu katika maktaba ya Shule Mpya ya Sekondari Mlimani Matemwe, iliyopo Zanzibar muda mfupi baada ya kuifungua rasmi jana. Kulia ni Ofisa mwandamizi kutoka Ofisi ya Benki ya Dunia nchini anayeshughulikia masuala ya elimu Bw. Nobuyuki Tanaka na kushoto Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw. Mohamed Mzee (Picha na Freddy Maro)

RC aagiza ujenzi wa mabweni ya askari



Na Daud Magesa, Simiyu

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Pascal Mabiti, ameuagizi uongozi wa Jeshi la Polisi mkoani humo, kujengwa kwa mabweni mawili ambayo wataishi askari polisi ambao hawajao.

Serikali yatoa chakula cha msaada Igunga



Na Abdallah Amiri, Igunga

SERIKALI imetoa chakula cha msaada tani 1,790 za mahindi katika Wilaya ya Igunda, mkoani Tabora na fedha sh. milioni 89,700 ili kiweze kusambazwa kwa wananchi wilayani humo.

UZUNDUZI DARAJA


Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mstahiki Yusuf Mwenda, (wa pili kulia) akiongozana na wakazi wa eneo la Mbezi Ndubwi, kwenda eneo la uzinduzi wa ujenzi wa daraja kwenye eneo hilo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni baadhi ya viongozi wa manispaa. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji na Mazingira wa Manispaa hiyo. Diwani wa Kata ya Kigogo, Richard Chengula. (Picha na Charles Lucas)

Katiba Mpya itoe adhabu kwa wanaokataa kuwatambua viongozi wanaochaguliwa


Na Suleiman Abeid

MFUMO wa uongozi nchini unaundwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2005 ambapo viongozi wake hupatikana kwa njia ya kidemokrasia kwa kuchaguliwa na wananchi kupitia sanduku la kura.

Tupinge mauaji ya raia wasio na hatia kulinda amani nchini


Na Daniel Samson

HAKI za binadamu ni moja ya mambo muhimu ambayo sheria na taasisi za kimataifa za haki za binadamu zinasisitiza kuwepo kwa usawa na haki miongoni mwa watu wa jamii mbalimbali.

Suala hili linatekelezwa kwa mitazamo tofauti na watawala katika nchi mbalimbali kutokana na mfumo wa sheria unaoongoza nchi.

Lugha kali za wauguzi kwa wagonjwa zikomeshwe


Na Esther Macha

KAMA nguzo ya familia, mwanamke anatakiwa kuheshimiwa na kuthaminiwa kutokana na majukumu yake ili kufanya vizuri zaidi.

Wanatakiwa kupewa nafasi ya pekee ili kuwapa nguvu zaidi ya kusimamia waliyoanzisha kwa manufaa ya jamii.

Ongezeko la majengo si maendeleo ambayo tunayahitaji


WATAWALA na baadhi ya wananchi, wanatumia nguvu kubwa kufafanua maendeleo kwa kuyahusisha na ongezeko majengo ya kifahari na magari barabarani.

Miaka ya 1980, mashirika ya misaada yalifanya jitihada kubwa za kuhamasisha maendeleo na kuongeza misaada kwa nchi maskini.

MSAADA


Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Star Media Tanzania, Bw. David Kisaka, akimkabidhi mgonjwa Abubakar Ramadhani mkazi wa Manzese Tip Top, king'muzi, Dar es Salaam jana kwa niaba ya wagonjwa wengine wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala. Kampuni hiyo imetoa seti za runinga na ving'amuzi zitakazotumika katika wadi mbalimbali za wagonjwa katika hospitali hiyo. Kulia ni Kaimu Mganga Mkuu, Dkt. Kariamel Wandi na Ofisa Mawasiliano wa kampuni hiyo. Bw. Elic Sprian. (Picha na Charles Lucas)