16 July 2013

WIZI WA MAGARI KWA BARUTI WAWASHTUA POLISI


 Na Anneth Kagenda
KUTOKA NAnakukit hirikwawizi wamag ari kwakutu mia barutiuon gozi waKimaraKing’o ngokwakus hirikiana napolisiumeimarishaulinzi mkali ili kuwab aini wahusika .
Aki zungumz an awana nchi katikamkutanow ah adharajanaDar esSa laammkuuwaK ituo chaPol isiKima ra Kam and aJohnChalealisema kuwa polisi kwakushiri kiana naw ataimarishau linzi ili kupunguza vitendo hivyo vya uhalifu.
Alisema ku wakwakut ambuaumuhimuwauli nzi k ilamkazi KimaraK ing’ ong’oatat akiwakushirik ikwakucha ngiaulinzi shirik ishi na mkazi atakayekiukahatuakalizak isheriazitachukuliwa dhidiyake.

Wa nanchi hao walimlalamikia kamandah uyokuhusiananakuwepokwa wizi maj umbani un ao tumiwa kwa nji ayabaru tinakuiba magari pamojan a m alizin gin e.
“Kuanziasasam wananchi yeyote atakayeshin dwa kushirikikatikaulinzi shir ikishi iwekwakutolipamichangohatuakali itach ukuliwa dhidiyake nianikuimarisha ulinzi,” aliong ezakuw a.
“Miminim eshuhu dia watu wakifany iwamamboyaajabumbeleyamam a mkwe zaonawatoto wa o...jemnatakakuyao na hayo?Hivyoniborat uka shiriki katika ulinzi shi rikish inalisiwelakisiasania nikuhakikishaulinzi na usalam au na kuwepo,”al isemaKamand a Chale.
NayeMwenyekiti wa Kamati ya UlinzinaUsalam aBw.D emetrius Mapes i, a lisemale ngo l amkutanohuo ni kutokana na kukithiri kwa viten dohivyoa mb avyovim ewapa hofuwa nanch iwamaen eohayo.
Bw.Mapesiamba yepiani Mwenyekiti wa MtaaKin g’on g’oalisemamkutanohu oniwakihistoria kutokana nak wam ba kuto wa hikufanyika ka tikaeneohilonaku hudhuriwanawan anchi wengi.
“Mkutano huu ni wa kihistoria kwenyem taawa nguk wa ni kumeibuk amam bomeng inayaajabuambayobaadhi ya watuwame jiingiza kwenyewizi mbali mba liuki wa mowamagari lakinipiasu alalaama ni h alihitajimchezo hivyo ni vyema wezi wakafichuliwa kwa kuwepo kwa vikundi vya ulinzi shirikishi,”alisema Bw. Mapesi.
Alisema kuwa baada ya kuundwa kwa vikundi vya ulinzi watahakikisha wanaviboresha ili kuimarisha ulinzi katika maeneo hayo na kuwepo kwa ratiba maalumu ya baadhi ya michezo.
“Kuanzia leo sitaki kuona watu wanacheza, kahawa na vikundi visivyokuwa na kazi wakati wa masaa ya kazi na hata baa pia zisifunguliwe muda usioruhusiwa, lakini pia hatuhitaji Wamasai kwani wapo baadhi ya wao ni wezi na mtu yeyote atakayeajili mlinzi lazima atoe taarifa kwenye kitengo husika,” alisema.
B a a d h i y a w a n a n c h i waliozungumza na Majira akiwamo Bw.Patrick Binoni na Bw. Allen Moshi, walisema kuwa mkutano huo ulikuja muda mwafaka kutokana na kwamba walichoshwa na vitendo hivyo na kusema kuwa suala la ulinzi shirikishi limekuwa likihusishwa na mambo ya siasa jambo ambalo si zuri.

No comments:

Post a Comment