Na Rehema Mohamed
SERIKALIimeahidi kuendelea kufanyakazikwakari bunasekta
binaf si ilikuz idi kuijenge auwez oil iziwezekusaidiau kuajiw au chumi, kucho
cheamae ndele ona kutoahudu maborak wawananch i.
Kaulihiyo ilitolewa Dar esSalaamj ana naWaziriwa Nc hi
Ofisi yaWa ziri Mk uuUwek ezajin aUwez eshaji, Dkt.Mary N agu,baadayakufung
akonga manolili lo husishase kta zaumma nabinafs ikwalengo la kuc hocheam aend
eleo.
A lisemahiyonimojayahatua z ilizoc huk uliwa naSerikal
ikw aku tambuaum uhimuw ase k tabinafsi kwa taifa. Dkt. Nagu alisema sekta hiyo
imetoa msukumo mkubwa kwa maendeleo ya nchi.
Kwa mujibu wa Dkt. Nagu Serikali itaendelea kutoa
ushirikiano wa kutosha katika kujenga sekta binafsi yenye nguvu itakayoweza
kuleta matokeo mazuri kwa uchumi.
Alisema hatua hiyo itasaidia kufikiwa kwa vipaumbele
vilivyowekwa na Serikali katika nyanja za kilimo, maji, miundombinu, elimu na
afya.
"Sekta binafsi haina budi kushirikishwa kwa kiasi
kikubwa katika utekelezaji wake kufikia malengo yanayokusudiwa," alisema.
Alifafanua kuwa Serikali i t a e n d e l e a k u b o r
e s h a mazingira ya wawekezaji na biashara nchini ambapo t a y a r i ma t u n
d a y a k e yameanza kuonekana ya ujenzi wa miundombinu ya usafiri, nishati ya
umeme, elimu, afya, teknolojia na mawasiliano na huduma nyingine.
Dk t . Na g u a l i s ema ushirikiano wa pande hizo mbili unasaidia
kuleta ushindani wa uzalishaji bidhaa kwa soko la ndani na la nje.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF),
Godfrey Simbeye, alisema kwa kuzingatia matokeo makubwa, taasisi hiyo
itahakikisha inafanya kazi kwa karibu na Serikali ili kuweza kuinua uchumi wa
Taifa na watu hasa katika maeneo ya kipaumbele
No comments:
Post a Comment