Na David Magesa
KAMPUNI
yaBia Tanzania (TBL) ina jian daakuchuanananchinyinginez aAfrikaMa shari ki
baada y ak uibuka mshin diwatuzoyaRasilim aliya Taifaya Uf anisi na Usafikat
ikaUzalishaji(RECP) ndani ya Bonde la Ziwa Vi ctoria.
Akiz ungum
zanawaand ishi wa habaribaadaya ku pokeatuzoyakifahari ki taifa, Menej aKiwanda
Mwanza,RichmondR aymondalisemak wambaina onesha kwambajuhudi z atimu ya
kekatikam atumizi borayar asi limali naulinziwa mazi ngir aniisharaya mwele
keosahihi katika kulind amazingira .
Alisemakuwak
utokanana ukuaji wakiwanda h icho, iliilazi mukampuni kuwekamikakatiya utumiaji
bora wa rasilimali na ufanisi wa kuhakikisha kwamba hawatokomezi rasilimali hii
adimu na muhimu kwa ajili yao
na jamii kwa ujumla.
Bw.Richmond alisema kuwa kampuni hiyo
imewekeza katika matibabu ya maji taka, ambapo mabwawa na mfumo wa usafishaji
unatumika ili kuhakikisha kuwa maji taka yanayorejea kwenye ziwa yako katika
hali ya usafi na salama kwa mazingira.
" K a m p u n i i n a j i t a h i
d i kuhakikisha kuwa hakuna hata tone moja la maji linapotea. Na pia
tumehakikisha kuwa wafanyakazi wetu wanatambua kuwa maji ni tunu ambayo
imewekwa kwa ajili ya maisha yetu. Kufunga mita imekuwa mwelekeo wetu muhimu na
kuendesha uwajibikaji wa idara kwa ajili ya matumizi ya maji," alisema.
Alisema kwasababu matumizi ya nishati
na maji yana uhusiano wa karibu, kampuni imeweka mikakati na mpango wa
uboreshaji kuletwa pamoja na kutekeleza programu ya maji.
“Kampuni ya TBL ambayo iko kwenye
mwambao wa Ziwa Victoria ilianza na uzalishaji na usambazaji wa chini ya lita
milioni 10 za bia na imekuwa na kufikia zaidi ya lita milioni 75 lita za bia
mwaka jana. Hii ni zaidi ya mara mbili ya ukuaji kwa mwaka tangu miaka 18
iliyopita, “alisema Raymond.
Tuzo
hiyo ambayo ilikabidhiwa kwa TBL na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais
(Mazingira), Tereza Luoga Hovisa, ina maana kwamba TBL Mwanza inajiweka tayari
kwa ajili ya tuzo ya kikanda ambayo itashirikisha washindi kutoka Kenya, Uganda,
Rwanda na Burundi.
No comments:
Post a Comment