23 July 2013

POLISI WAOMBA MSAADA KUDHIBITI MAJAMBAZI



Na Eliasa Ally, Mufindi

MKUUwaPolisi WilayayaMufin di, OCDAmbwe ne Mwanya siamewataka wagangawa jadi kuachamaramo jakuwapa tiamajamb azi dawa iliwa siwezekuk amatwanapolisi.Ambwene alisema waganga hao badalayak ufanya hivyo wa natakiwa kuwap ati adawap olisiy akuwaonanakufani kiwakuwa kamata ma jambaziwana ofanyauhalifukila mara.

Akizungumza na waganga wa jadina tibaasi liakutokaMufin di katik aU kum biwa Halmas hauriyaMufin di, OCDMwanyasialisemakuwakumezuk a tabia ya baadhi yawagangawajadik uw apatia ma jambazi daw a il i baad ayakufanyama tukio yakiuhalifuwasionekane nawalawas ikamatwe .Alise makuwa, umefika wak ati uhalifuuch ukiwena kilamtunakuwatakaw agangasas awageukenakuwapatia polisi da waw awakama te majambazi kiurahi si.
Alisemakuwa,Jeshi la Polisi limejiki takatikam amboma kubwamatatua mbayo aliyat ajakuwa nipo lisi jamii, haliya w eledi na ha liyausasaamb apoalisemakuw aku tokana namambohayoipoha jakubwak wa sasa wa ganga wa jadi kugeuk aupand ewapili nakuuchukiau halifua mb apoaliwataka wasaidiane na Jeshi la Polisi.

"N yinyi waga ngaw ajadi natibaasiliakaziyen uku bwani kutib umagon jwa yan ayowas ibuwatun a siyokutibumbinuza majambaziili wasiwewana kamatwawanapofany auhalifu, hapotutakuwa hatusa idiani, badalay awa ganga kuwawachonganish isa sawawewa unganishaji wa wananchi, polisi najamii.

"Ba dalayak utoadawayasisi polisitusiw aon ewala tusiwa kam atemaja mbaz is asanyinyiw aganga, mtoedaway akutu wezesh akuwaonanakuwakama takiurah isimaja mbaziwa naofanyauh alifuka tikajamii yetu huo ndiyo ushirikiano na polisi jamii tunayoizungumzia," alisema OCD Mwanyasi.

Aidha, aliwataka waganga hao kuhakikisha kuwa wanafanya kazi kwa umakini na kuwataka kuwa shughuli zao zisiwe chanzo cha kutokea kwa maovu, kufumbia macho maovu na kusababisha jamii iwachukie waganga na polisi kutokana na kukosekana kwa ushirikiano.

No comments:

Post a Comment