Na Eliasa Ally, Iringa
KAMANDAw a Umoj awaVijana wa ChamaC ha Ma pinduzi (UVCCM) Wilaya
yaIringaVijijini,HalfuAbri amesem aanatara jiaku jenga kiwanda chaku sindikaasa
likatikaKijijicha Tungamalenga Tarafa ya Idodi.
Aidh a,kujengwa
k wakiwanda hichok unalengaku wainuawa nanchi kiuchumi katikaW
ilayayaIringaVijijjini ambak okuna JimbolaIsimani naKalengaili kuwaw ez esha
wanan chi kufan yashughuliza kufugan yuki na kuuza asali kati kakiwand ahicho.
Abri aliyas
emahayoja naofisinikwakeeneola I pogol owi layani hapawakati akizungumza na
mwan dishi wahabari hizi.
Kam and a huyoa
lisemakuwa, baadayakufanya utafiti katikaeneoku bwalaWilaya yaIringaVijiji
niameb ain i kuwawa nanchi wanawe zakupatautajirimkub wa endapowa taweza kujihu
sishanashugh ulizakilimoambachoni rafikiwa ma zingira kwa kufu ganyuki.
Hatua ambayo
itawasaidia kuuza asalikiwan dani kwake hukuakisi sitizakuendeleakuwapamizin
gayab ureambayo itawawe zeshakuf uga nyuk i.
Alisema kuwa, k
iwanda hicho ambachokitaitwaRuahaFarmambachokitajengw aTungamale ngakitaweza
kununuaas ali kutokakwa wananc hi wenye mizinga ndani ya
wilayayaIringaVijijini.
“Kiwa ndaki
tafanyak azi za kuchujaasa li,kuandaa ntanakuuzakwenyev iwandavidogovidogo
ambavy ovinaten geneza mi shumaa, kutokananamaza ohayoyaasali wananchi wa na
wezak ukua zaidikiuchumi na kukabiliana na umas kini.
“Mimi mwenyew
etay ari nimeweka mizinga5, 000yanyukikatikae neo laKijiji cha Tunga maleng
akweny e shambalangunak iwandah ichonin atarajia kukije ng akwenye eneo
lashambahilohi vyon inawa ombawa nanchi katik avijij ivyotendani yawilayaya
Iringa waunde vikundi vya watu 50.
“Ili waweze
kupatiwa mizinga na ninawaomba viongozi wote wa serikali, mkoa, wilaya na
hususani wa vijijini waniunge mkono kwa kuwa kupitia sekta hii ya kufuga nyuki
na kuvuna asali wananchi wanaweza kupata kipato kikubwa zaidi,” alifafanua
Abri.
Aidha,
aliongeza kuwa wazo lake la kujikita katika kufuga nyuki liliibuka baada ya
Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuhimiza kuwa ufugaji wa nyuki ni kilimo ambacho ni
rafiki wa mazingira na kinaweza kuleta utajiri mkubwa kwa wananchi.
Red emp ta
Magin gamk aziwa kijijichaMakifukat ikatar afayaIdod iwilay ayaIr ing aVijijini
ali semak uwa,jit iha dazak amandahuyozin ap aswakuigw a nawatu weng
ineilikuhar akishamaen deleoIringa Vijijini.
“Tunamshukuru
sana Bw. Halfu Abrikwakuwekezaki wandac ha kusin dika asali kati kawilaya
yaIringaVij ijini, angewezak wenda kuwek ezamahali pengine popotekatikamik oami
ngine.
“Lak iniba doameona kuwa ipo haj akubwa ya kuwaw
ezeshawa kazi waw ilayay aIringakiuchum ikwakuf anyashughuliambazoni rafiki
wamaz ingira, t unaamin i kuwakutokana na kiwanda hicho vijana weng iwatapataaj ira,
masoko yaasaliy atakuwep onauchumiwa wananchi un aweza kukkasi,” alisemamamah
uyo
No comments:
Post a Comment