29 January 2013

UKAMATAJI


Askari wa Jiji akifungua mnyororo katika gurudumu la gari lenye na za kibalozi T 25 CD 123, kama alivyokutwa Posta Mtaa wa Samora, Dar es Salaam jana. Ukamataji wa magari ya kibalozi unahitaji utaratibu maalumu. (Picha na Asia Mbwana)

No comments:

Post a Comment