29 January 2013

MAKABURI


Baadhi ya watoto wakiwa wamepumuzika juu ya kaburi ya Mburahati, Dar es Salaam jana, Siku hizi imekuwa kawaida kwa watoto na watu wazima kufanya vijiwe na kucheza juu ya makaburi  tofauti na zamani walijenga heshima na kuogopa vifo. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment