29 January 2013

CHUPA


Mkazi wa jiji ambaye (hakutaja jina), akiwa amebeba chupa tupu za maji zilizotumika kwa lengo la kuziuza, kama alivyokutwa na mpigapicha wetu.  Pamoja na kujipatia kipato kwa kazi hiyo pia uokotaji wa chupa hizo kunaliweka jiji safi. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment