Na Rachel Balama
WANANCHI wa maeneo mbalimbali Jijiji Dar es Salaam wamesikitishwa na mfumuko wa bei za bidhaa muhimu kwani hali hiyo inawaweka katika wakati mgumu
27 January 2012
SERIKALI IUNDE CHOMBO CHA KUDHIBITI BEI -GDSS
Na Rose Itono
WADAU wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitaka serikali kuwa na chombo maalumu cha kudhibiti bei za bidhaa ili kuwawezesha wananchi wa kumudu gharama za maisha.
WADAU wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitaka serikali kuwa na chombo maalumu cha kudhibiti bei za bidhaa ili kuwawezesha wananchi wa kumudu gharama za maisha.
SERIKALI, MADAKTARI WAFIKISHANA PABAYA.
Serikali, madaktari wafikishana pabaya
*Sasa wapashana kupitia vyombo vya habari pekee
*Wagonjwa wataabika, ndugu wahaha kuwahamisha
*Watangaza athari za mgomo ndani ya siku 12
*Sasa wapashana kupitia vyombo vya habari pekee
*Wagonjwa wataabika, ndugu wahaha kuwahamisha
*Watangaza athari za mgomo ndani ya siku 12
CHEKA,NYILAWILA KUPIMA UZITO LEO.
Na Mwali Ibrahim
MABONDIA Karama Nyilawila na Francis Cheka leo wanatarajia kupima uzito kwa ajili ya kujiandaa na pambano lao lisilo kuwa la ubingwa linalotarajia kufanyika kesho.
MABONDIA Karama Nyilawila na Francis Cheka leo wanatarajia kupima uzito kwa ajili ya kujiandaa na pambano lao lisilo kuwa la ubingwa linalotarajia kufanyika kesho.
26 January 2012
MAHAKAMA KUU KUANZA KUSIKILIZA KESI YA ALIYEKUA MGOMBEA URAIS WA BURUNDI.
Na Grace Ndossa
MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam itaanza kusikiliza kesi ya kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw. Alex Sinduhije Febuari 6 mwaka huu.
MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam itaanza kusikiliza kesi ya kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw. Alex Sinduhije Febuari 6 mwaka huu.
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM KUTOA MAAMUZI JUU YA PINGAMIZI LA DOWANS.
Na Grace Ndossa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema itatoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na Kampuni ya Dowans la kuitaka mahakama hiyo isiwape Tanesco kibali cha kukataa rufaa Febuari 16 mwaka huu .
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema itatoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na Kampuni ya Dowans la kuitaka mahakama hiyo isiwape Tanesco kibali cha kukataa rufaa Febuari 16 mwaka huu .
KATIBU MKUU TUCTA AWATAKA MADAKTARI KUTOKURUDI NYUMA KWA MADAI YAO.
Na Rehema Maigala
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicholaus Mgaya amewataka madaktari wasirudi nyuma katika maslahi ya kuomba haki yao mpaka pale kitakapoeleweka.
BENKI YA KCB YATOA MISAADA KWA HOSPITALI YA BUGURUNI NA CCBRT.
Na Rehema Mohamed
BENKI ya KCB Tanzania imetoa msaada wa mbalimbali vya hospitali katika hospitali ya Buguruni na CCBRT vyenye zaidi ya thamani ya sh.milioni 22.3
BENKI ya KCB Tanzania imetoa msaada wa mbalimbali vya hospitali katika hospitali ya Buguruni na CCBRT vyenye zaidi ya thamani ya sh.milioni 22.3
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia
Na Rehema Mohamed
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia na mpango wa sera ya afya ili kupunguza vivyo vya watoto ambavyo vinavyoweza kuzuilika.
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia na mpango wa sera ya afya ili kupunguza vivyo vya watoto ambavyo vinavyoweza kuzuilika.
AZAM FC YAINYWESHA AFRICAN LYON 2-1
Na Speciroza Joseph
TIMU ya Azam FC, jana ilitoka kifua mbele katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon, mabao 2-1 iliyopigwa Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya Dar es Salaam.
TIMU ya Azam FC, jana ilitoka kifua mbele katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon, mabao 2-1 iliyopigwa Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya Dar es Salaam.
25 January 2012
'Wafanyabiashara Mbeya acheni kuibia serikali'
Na Esther Macha, Mbeya
WAFANYABIASHARA wa Mbeya wameshauriwa kuacha kuibia serikali mapato baada ya kupangishwa na halmshauri na wao kupangisha watu wengine bila kulipa ushuru .
WAFANYABIASHARA wa Mbeya wameshauriwa kuacha kuibia serikali mapato baada ya kupangishwa na halmshauri na wao kupangisha watu wengine bila kulipa ushuru .
Uchumi kwa waathirika wa vipodozi kushuka
Na Esther Macha,
Mbeya
MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya chakula na dawa nchini (TFDA )Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Bw.Paul Sonda amesema mbali na athari za matumizi ya vipodozi vilivyopigwa marufuku kuna hatari ya uchumi kushuka kwa waathirika kutokana na gharama kubwa za matibabu
na wengine kupoteza maisha.
Vijana 1600 kupata ajira Namtumbo
Na Muhidini Amri
Ruvuma
KAMPUNI inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya Uran ya Mantra Tanzania Ltd iliyopo Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma imesema itatoa ajira kwa vijana 1600 kutoka vijiji mbalimbali baada ya kupatiwa kibali cha kuanza kazi ya uchimbaji.
Ruvuma
KAMPUNI inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya Uran ya Mantra Tanzania Ltd iliyopo Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma imesema itatoa ajira kwa vijana 1600 kutoka vijiji mbalimbali baada ya kupatiwa kibali cha kuanza kazi ya uchimbaji.
Kampuni zashauriwa kujiunga na 'Bacordes'
Na Agnes Mwaijega
KAMPUNI na wazalishaji wa bidhaa mbalimbali nchini wametakiwa kujiunga na mfumo mpya wa kuweka alama za utambulisho za mistari 'Bacordes' katika bidhaa zao ili kuongeza kiwango cha manunuzi ya bidhaa hizo.
KAMPUNI na wazalishaji wa bidhaa mbalimbali nchini wametakiwa kujiunga na mfumo mpya wa kuweka alama za utambulisho za mistari 'Bacordes' katika bidhaa zao ili kuongeza kiwango cha manunuzi ya bidhaa hizo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiangalia ukuta unaozuia maji ya Bahari kuingia kwenye makazi ya watu ulivyobomoka kutokana na mawimbi makali katika Mji wa Pangani Kivukoni, wakati wa ziara yake mkoani Tanga jana, ukuta huo ulijengwa miaka 100 iliyopita, kubomoka kwa ukuta huo kunatishia usalama wa wakazi wa eneo hilo. (Picha na Muhidin Sufiani-OMR)
CAF yairudishia TFF mzigo wa Simba, Yanga
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limesema halina matatizo na mechi za marudiano za kimataifa za Simba na Yanga, kusogea mbele ila Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), lizungumze na vyama vya soka vya nchi husika.
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limesema halina matatizo na mechi za marudiano za kimataifa za Simba na Yanga, kusogea mbele ila Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), lizungumze na vyama vya soka vya nchi husika.
MOTO wateketeza Nyumba na Baa katika maeneo tofauti jijini
Zourha Malisa
MOTO wateketeza Nyumba na Baa katika maeneo tofauti jijini Dar es Salaam ikiwemo Bw. Anna Lusiba (52),mkazi wa Mikocheni B, moto kuzuka ghafla.
MOTO wateketeza Nyumba na Baa katika maeneo tofauti jijini Dar es Salaam ikiwemo Bw. Anna Lusiba (52),mkazi wa Mikocheni B, moto kuzuka ghafla.
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam-yatoa Amri
Na Rehema Mohamed
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri ya kuitaka ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali na ofisi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kufika mahakamani hapo kwa ajili ya kuieleza Mahakama hiyo uhalali wa kumkamata na kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw.Alex Sinuhnje (46).
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri ya kuitaka ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali na ofisi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kufika mahakamani hapo kwa ajili ya kuieleza Mahakama hiyo uhalali wa kumkamata na kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw.Alex Sinuhnje (46).
24 January 2012
Equatorial Guinea waitia nguvu Gabon
LIBREVILLE, Gabon
USHINDI ilioupata Equatorial Guinea dhidi ya Libya umewatia matumaini wenyeji wenzao Gabon katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2012.
USHINDI ilioupata Equatorial Guinea dhidi ya Libya umewatia matumaini wenyeji wenzao Gabon katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2012.
Kocha Sudan adai wasiwasi uliwaponza
LIBREVILLE, Gabon
KOCHA wa Sudan, Mohamed Abdalla ametaja sababu kubwa iliyochangia timu yake kufungwa bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast ni kucheza kwa wasiwasi dhidi ya wapinzani wao.
KOCHA wa Sudan, Mohamed Abdalla ametaja sababu kubwa iliyochangia timu yake kufungwa bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast ni kucheza kwa wasiwasi dhidi ya wapinzani wao.
Kocha Libya asikitika kupoteza mechi
MALABO, Equatorial Guinea
KOCHA wa Libya, Marcos Paqueta amesema itakuwa vigumu kutosikitika baada ya kupoteza mechi kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Equatorial Guinea katika Kombe la Mataifa ya Afrika, Jumamosi.
KOCHA wa Libya, Marcos Paqueta amesema itakuwa vigumu kutosikitika baada ya kupoteza mechi kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Equatorial Guinea katika Kombe la Mataifa ya Afrika, Jumamosi.
Kocha Zambia ajiamini kuifunga Senegal
MALABO, Equatorial Guinea
KOCHA wa Zambia, Herve Renard ameanza kujiamini baada ya kuona timu yake ya Zambia ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Senegal katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Afrika Jumamosi.
KOCHA wa Zambia, Herve Renard ameanza kujiamini baada ya kuona timu yake ya Zambia ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Senegal katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Afrika Jumamosi.
Mshambuliaji Burkina Faso ahangaika kujiweka sawa
LIBREVILLE, Gabon
KOCHA wa Burkina Faso, Paulo Duarte amesema kuwa mshambuliaji, Alain Traore anahangaika kujiweka fiti kwa ajili ya michuno ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2012 iliyoanza Jumamosi.
KOCHA wa Burkina Faso, Paulo Duarte amesema kuwa mshambuliaji, Alain Traore anahangaika kujiweka fiti kwa ajili ya michuno ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2012 iliyoanza Jumamosi.
Doreen kushiriki mkutano wa uchumi duniani
Mwandishi wetu
NYOTA imeanza kung’ara kwa mbunifu wa mavazi anayekuja juu kwa kasi nchini, Doreen Estazia na lebo yake ya Estado Bird baada ya kualikwa kuhudhuria mkutano wa kujadili masuala ya Uchumi duniani (World Economic Forum) utakaonza kesho mjini Devos –Klosters, Uswisi.
NYOTA imeanza kung’ara kwa mbunifu wa mavazi anayekuja juu kwa kasi nchini, Doreen Estazia na lebo yake ya Estado Bird baada ya kualikwa kuhudhuria mkutano wa kujadili masuala ya Uchumi duniani (World Economic Forum) utakaonza kesho mjini Devos –Klosters, Uswisi.
Mchakato uchaguzi CHANETA kuanza Oktoba
Na Amina Athumani
MCHAKATO wa Mchaguzi Mkuu wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA), unatarajia kuanza Oktoba mwaka huu.
MCHAKATO wa Mchaguzi Mkuu wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA), unatarajia kuanza Oktoba mwaka huu.
TFF yaomba makato U/Taifa yapungue
*Twiga Stars kukipiga Wabunge
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeiandikia barua serikali kuomba ipunguze gharama za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi ya marudiano kati ya timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars) na Namibia, itakayochezwa Januari 29, mwaka huu.
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeiandikia barua serikali kuomba ipunguze gharama za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi ya marudiano kati ya timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars) na Namibia, itakayochezwa Januari 29, mwaka huu.
Yanga yaipa ahuweni Azam FC
Na Speciroza Joseph
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall amesema sare waliyoipata Yanga ya maboa 2-2 dhidi ya Moro United, imempa matumaini ya kukaa nafasi za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa uwiano wa pointi unazidi kupungua.
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall amesema sare waliyoipata Yanga ya maboa 2-2 dhidi ya Moro United, imempa matumaini ya kukaa nafasi za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa uwiano wa pointi unazidi kupungua.
TFF yaomba makato U/Taifa yapungue
*Twiga Stars kukipiga Wabunge
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeiandikia barua serikali kuomba ipunguze gharama za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi ya marudiano kati ya timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars) na Namibia, itakayochezwa Januari 29, mwaka huu.
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeiandikia barua serikali kuomba ipunguze gharama za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi ya marudiano kati ya timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars) na Namibia, itakayochezwa Januari 29, mwaka huu.
Migogoro ya ardhi inaweza kuepukika
Na Rachel Balama
ARDHI ni rasilimali ya msingi katika uhai wa maendeleo ya binadamu, wanyama, mimea na viumbe vyote. Nchi ya Tanzania ambayo uchumi wake unategemea kilimo kama sekta muhimu kukidhi mahitaji ya wananchi walio wengi.
ARDHI ni rasilimali ya msingi katika uhai wa maendeleo ya binadamu, wanyama, mimea na viumbe vyote. Nchi ya Tanzania ambayo uchumi wake unategemea kilimo kama sekta muhimu kukidhi mahitaji ya wananchi walio wengi.
Misaada kukatwa nchi zinazoendelea
*Tanzania ni ya 3 duniani kwa kupokea misaada
NCHI zinazoendelea duniani, zimetakiwa kujipanga kutokana na mdororo wa uchumi ambao umeanzia nchini Ugiriki na kusambaa katika nchi za Ulaya.
NCHI zinazoendelea duniani, zimetakiwa kujipanga kutokana na mdororo wa uchumi ambao umeanzia nchini Ugiriki na kusambaa katika nchi za Ulaya.
Makala-ukatili uliofanywa na mfanyabiashara mmoja maarufu mjini Arusha
Na Kassian Nyandindi, Nionavyo.
HIVI karibuni vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti juu ya
ukatili uliofanywa na mfanyabiashara mmoja maarufu mjini Arusha, juu ya
kumnyanyasa mtoto mwenye umri wa miaka 15.
HIVI karibuni vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti juu ya
ukatili uliofanywa na mfanyabiashara mmoja maarufu mjini Arusha, juu ya
kumnyanyasa mtoto mwenye umri wa miaka 15.
WATU wawili wamefariki jijini Dar es Salaam
Na Zena Mohamed
WATU wawili wamefariki jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mfanya biashara Bw. Aloyce Asenga (27),kunywa sumu.
WATU wawili wamefariki jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mfanya biashara Bw. Aloyce Asenga (27),kunywa sumu.
Wafanyabiashara wadaiwa kutumia leseni za wenzao
Na Theonestina Juma,
Bukoba
WAFANYABIASHARA wasio na leseni ya biashara ya kahawa wanadaiwa kufanya biashara ya zao hilo mkoani hapa kwa kupitia mgongo wa leseni za wafanyabiashara wa kahawa wenye kibali hicho.
Bukoba
WAFANYABIASHARA wasio na leseni ya biashara ya kahawa wanadaiwa kufanya biashara ya zao hilo mkoani hapa kwa kupitia mgongo wa leseni za wafanyabiashara wa kahawa wenye kibali hicho.
Madini ya shabaghafi, jasi yagundulika Singida
Na Thomas Kiani
Singida
WIZARA ya Nishati na Madini kupitia ofisi ya madini Kanda ya Kati Singida imeanza mchakato wa kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Singida kuhusu rasilimali za madini ziliyoko kwenye mkoa huo baada ya kugundua kuwepo kwa madini ya shaba na Jasi wilayani Iramba na Manyoni.
Singida
WIZARA ya Nishati na Madini kupitia ofisi ya madini Kanda ya Kati Singida imeanza mchakato wa kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Singida kuhusu rasilimali za madini ziliyoko kwenye mkoa huo baada ya kugundua kuwepo kwa madini ya shaba na Jasi wilayani Iramba na Manyoni.
NSSF yakusanya bil.16745/-
Na Queen Lema,
Arusha
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii(NSSF)mkoani Arusha umefanikiwa kukusanya sh. bilioni 16,745 kwa kipindi cha Julay hadi Desemba 2011 ambapo fedha hizo ni sawa na asilimia 92 ya lengo walilokusudia
Arusha
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii(NSSF)mkoani Arusha umefanikiwa kukusanya sh. bilioni 16,745 kwa kipindi cha Julay hadi Desemba 2011 ambapo fedha hizo ni sawa na asilimia 92 ya lengo walilokusudia
Ushirika washauri kushiriki katiba mpya
Na Heckton Chuwa,
Moshi
WADAU wa sekta ya ushirika nchini, wameshauriwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa katiba mpya hatua itayochangia kutoa maoni yao kuhusu masuala ya ushirika
Moshi
WADAU wa sekta ya ushirika nchini, wameshauriwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa katiba mpya hatua itayochangia kutoa maoni yao kuhusu masuala ya ushirika
23 January 2012
JKT wamuomba Amiri Jeshi Mkuu kuhamasisha uwajibikaji
Na Mwandishi Maalumu, Kigoma
VIJANA wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Operesheni ya Miaka 50 ambao wamehitimu
VIJANA wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Operesheni ya Miaka 50 ambao wamehitimu
Udhaifu wa tiba za asili wabainishwa
Na Mohamed Hamad, Arusha
WATANZANIA wameshauriwa kutumia madawa ya asili ambayo hayana kemikali yoyote
WATANZANIA wameshauriwa kutumia madawa ya asili ambayo hayana kemikali yoyote
Programu masoko kusaidia wakulima vijijini
kuwafikia wananchi milioni 15
Na Ibrahimu Hamidu
SERIKALI imeazimia kuinua sekata ya kilimo nchini ili kuongeza uzalishaji
Na Ibrahimu Hamidu
SERIKALI imeazimia kuinua sekata ya kilimo nchini ili kuongeza uzalishaji
Ruvuma yapaa kilimo cha mahindi, kahawa
Na Mwandishi Wetu
SEHEMU kubwa ya maisha ya Watanzania hutegemea kilimo, kwa kutambua hivyo
SEHEMU kubwa ya maisha ya Watanzania hutegemea kilimo, kwa kutambua hivyo
Serikali yahimiza wananchi kutunza miradi ya maendeleo
Na Mwandishi Wetu, Mwanga
WANANCHI wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kulinda na kutunza
WANANCHI wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kulinda na kutunza
kosefu wa huduma za afya waongeza idadi ya vifo
Na Florah Temba, Moshi Vijijini
IDADI ya wagonjwa wanaofariki dunia katika Hospitali ya TPC
IDADI ya wagonjwa wanaofariki dunia katika Hospitali ya TPC
Uzembe wa viongozi wadaiwa kuwanyima haki wananchi
Na Zuhura Semkucha, Shinyanga
VYAMA vya siasa hapa nchini vimetupiwa lawama kwa kuwakumbatia viongozi wenye
VYAMA vya siasa hapa nchini vimetupiwa lawama kwa kuwakumbatia viongozi wenye
Viti maalumu CCM watakiwa kuiga wenzao wa CHADEMA
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
WABUNGE wa viti Maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuiga mfano
WABUNGE wa viti Maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuiga mfano
Afya ya Asamoah yazidi kuimarika
FRANCEVILLE, Gabon
MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan anaendelea kupona majeraha ya nyama za paja yanayomkabili
MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan anaendelea kupona majeraha ya nyama za paja yanayomkabili
Ilala yaamisha taka zilizokaa muda mrefu
Heri Shaaban
TAKATAKA zilizokuwa zimetelekezwa katika eneo la shule ya msingi Kisukuru Kimanga
TAKATAKA zilizokuwa zimetelekezwa katika eneo la shule ya msingi Kisukuru Kimanga
Wanawake waandamana kupinga kuvuliwa suruali Malawi
BLANTYRE, Malawi
WATU takriban watu 3,000 juzi walikusanyika Blantyre nchini Malawi wakiandamana kupinga
WATU takriban watu 3,000 juzi walikusanyika Blantyre nchini Malawi wakiandamana kupinga
Jk,Tibaijuka watendaji hawa mnawaona?
Na Gladness Mboma
SERIKALI imekuwa ikipiga kelele kuhusu ujenzi holela hasa jijini Dar es Salaam,
SERIKALI imekuwa ikipiga kelele kuhusu ujenzi holela hasa jijini Dar es Salaam,
Sumari kuagwa leo Dar
Na Waandishi Wetu
MWILI wa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CCM) Bw. Jeremiah Sumari, unatarajiwa kuagwa leo
MWILI wa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CCM) Bw. Jeremiah Sumari, unatarajiwa kuagwa leo
CUF waanzisha 'changia Pemba'
Na Peter Mwenda, Pemba
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekubaliana na wananchi waliotoka Kisiwa cha Pemba kuchanga sh. 100
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekubaliana na wananchi waliotoka Kisiwa cha Pemba kuchanga sh. 100
CHADEMA yajibu mapigo
*Yakana kutumiwa na Ujerumani
*Dkt. Slaa asema mpaka kieleweke
*Sengerema wamvaa Ngeleja
Na Zena Mohamed
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekanusha tuhuma dhidi yao kwamba
*Dkt. Slaa asema mpaka kieleweke
*Sengerema wamvaa Ngeleja
Na Zena Mohamed
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekanusha tuhuma dhidi yao kwamba
katizaji ruti daladala mfupa ulioshinda Polisi
Na Rose Itono
TABIA ya madereva wa daladala kukatisha ruti imekuwa ikiwasumbua wananchi kwa kuwaongezea mzigo
TABIA ya madereva wa daladala kukatisha ruti imekuwa ikiwasumbua wananchi kwa kuwaongezea mzigo
Zitto airarua serikali
Na Salim Nyomolelo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)imeishutumu serikali
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)imeishutumu serikali
Kuna tatizo la viongozi wasiowajibika
Na Peter Mwenda
SERIKALI inajitahidi kuondolea wananchi wake kero mbalimbali katika sekta
SERIKALI inajitahidi kuondolea wananchi wake kero mbalimbali katika sekta
20 January 2012
Mapya yaibuka mgogoro CUF
*Wakili ataka Maalim Seif akamatwe, afungwe jela
*Awasilisha ombi la kuitwa mahakamani na wenzake
*Ni wale walioshiriki kikao cha kumtimua mteja wake
*Hamad asema CUF haina tofauti na kioo kilichopasuka
Rachel Balama na Grace Ndossa
MBUNGE wa Wawi, Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Hamad Rashid Mohammed
*Awasilisha ombi la kuitwa mahakamani na wenzake
*Ni wale walioshiriki kikao cha kumtimua mteja wake
*Hamad asema CUF haina tofauti na kioo kilichopasuka
Rachel Balama na Grace Ndossa
MBUNGE wa Wawi, Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Hamad Rashid Mohammed
Bei mpya ya umeme sasa 'kichefuchefu'
*CTI yatoa tamko, wanaharakati waipinga, NCCR kuandamana
Agnes Mwaijega na Rose Itono
SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), limetoa tamko la kupinga ongezeko la bei ya umeme
Agnes Mwaijega na Rose Itono
SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), limetoa tamko la kupinga ongezeko la bei ya umeme
Serikali, madaktari, wafikishana pabaya
Na Rehemu Maigala
MVUTANO kati ya madaktari na Serikali, sasa umechukua sura mpya na kuonekana sawa na mchezo wa kuigiza
MVUTANO kati ya madaktari na Serikali, sasa umechukua sura mpya na kuonekana sawa na mchezo wa kuigiza
Katiba Mpya iwanufaishe wananchi katika ardhi, mazingira
Na Peter Mwenda
ASILIMIA 70 ya Watanzania wanategemea ardhi, mazingira na maliasili ili wanufaike hivyo Katiba Mpya
ASILIMIA 70 ya Watanzania wanategemea ardhi, mazingira na maliasili ili wanufaike hivyo Katiba Mpya
Tapeli aliyejifanya Katibu wa CCM ashikiliwa Polisi
Zena Mohamed na Zourha Malisa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia Bw. Leonard Mwihilo
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia Bw. Leonard Mwihilo
Kuna tatizo la viongozi wasiowajibika
Na Peter Mwenda
SERIKALI inajitahidi kuondolea wananchi wake kero mbalimbali katika sekta mbalimbaliikiwemo Afya, Elimu, Kilimo na Miundombinu.
SERIKALI inajitahidi kuondolea wananchi wake kero mbalimbali katika sekta mbalimbaliikiwemo Afya, Elimu, Kilimo na Miundombinu.
Watoto wanastahili kuendekezwa kielimu
Na Rachel Balama
WATOTO ndio rasilimali yenye thamani kwa vile wao ndio wanaokabidhiwa
WATOTO ndio rasilimali yenye thamani kwa vile wao ndio wanaokabidhiwa
Africa Lyon yaitibua TFF
Na Zahoro Mlanzi
SIKU moja baada ya timu ya African Lyon kulituhumu Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
SIKU moja baada ya timu ya African Lyon kulituhumu Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Papic ataka moja kuivaa Zamaleki
Na Zahoro Mlanzi
KOCHA Mkuu wa mabingwa soka Tanzania Bara, Kostadin Papic ameutaka uongoza wa klabu
KOCHA Mkuu wa mabingwa soka Tanzania Bara, Kostadin Papic ameutaka uongoza wa klabu
TBL yatoa pamba Yanga, Simba SC
Na Zahoro Mlanzi
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yao ya Kilimajnaro Lager
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yao ya Kilimajnaro Lager
19 January 2012
Madaktari kugoma
*Ni baada ya madai yao kutosikilizwa ndani ya saa 72
*Waliopo mikoani waagizwa kujiandaa na mgomo huo
*Dkt. Nkya kuokoa 'jahazi' leo, serikali yapewa masharti
Na Rehema Maigala
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimewataka wanachama wake wote nchini,
*Waliopo mikoani waagizwa kujiandaa na mgomo huo
*Dkt. Nkya kuokoa 'jahazi' leo, serikali yapewa masharti
Na Rehema Maigala
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimewataka wanachama wake wote nchini,
Nchambi amshtaki Waziri Ngeleja Ofisi Kuu CCM
Na Rachel Balama
MBUNGE wa Kishapu, mkoani Shinyanga, Bw. Suleiman Nchambi, amemshtaki Waziri wa Nishati na Madini,
MBUNGE wa Kishapu, mkoani Shinyanga, Bw. Suleiman Nchambi, amemshtaki Waziri wa Nishati na Madini,
Mgomo wa malori
Waajiri wanaoghushi mikataba kufikishwa mahakamani
Na Mwandishi Wetu, Tunduma
WAMILIKI wa magari makubwa ya mizigo yaendayo nje ya nchi
Maiti ya jambazi Arusha yazua 'kasheshe'
Ndugu wasusa mwili mochari, wachukuliwa na Mchungaji
Na Richard Konga, Arusha
NDUGU wa jambazi sugu aliyeuawa na polisi Januari 13
Na Richard Konga, Arusha
NDUGU wa jambazi sugu aliyeuawa na polisi Januari 13
KINAPA watangaza vita kwa majangili
Na Florah Temba, Kilimanjaro
HIFADHI ya Taifa ya Kilimanjaro (KINAPA) inakabiliwa na changamoto
HIFADHI ya Taifa ya Kilimanjaro (KINAPA) inakabiliwa na changamoto
Gama aandaa mtego wa kuwatia hatiani wahamiaji haramu KCMC
Na Heckton Chuwa, Kilimanjaro
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw.Leonidas Gama, ameagiza uongozi wa Wilaya ya Moshi na Hospitali ya Rufaa ya KCMC,
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw.Leonidas Gama, ameagiza uongozi wa Wilaya ya Moshi na Hospitali ya Rufaa ya KCMC,
'Soko linaharibika watendaji acheni tabia ya kukaa ofisini'
Na Theresia Victor, Dodoma
UMOJA wa Wafanyabiashara wa Soko la Sabasaba lililopo katika Manispaa ya Dodoma
UMOJA wa Wafanyabiashara wa Soko la Sabasaba lililopo katika Manispaa ya Dodoma
Bendera mgeni rasmi pambano la Cheka
Na Mwali Ibrahim
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera anatarajia kuwa mgeni rasmi katika pambano
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera anatarajia kuwa mgeni rasmi katika pambano
African Lyon yaipa TFF siku 30
Na Amina Athumani
KLABU ya soka ya African Lyon, imelipa siku 30 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
KLABU ya soka ya African Lyon, imelipa siku 30 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
RT yasogeza mbele Uchaguzi Mkuu
Na Andrew Ignas
SHIRIKISHO la Riadha nchini Tanzania (RT) limesogeza mbele tarehe uchaguzi
SHIRIKISHO la Riadha nchini Tanzania (RT) limesogeza mbele tarehe uchaguzi
Twiga Stars yanogewa kukaa jeshini
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), inatarajia kuingia kambini leo
TIMU ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), inatarajia kuingia kambini leo
Cirkovic ashusha presha Simba
Na Zahoro Mlanzi
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Milovan Cirkovic anaonekana sasa kushusha presha
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Milovan Cirkovic anaonekana sasa kushusha presha
Madega aipa 'dawa' Yanga kuiua Zamaleki
Na Zahoro Mlanzi
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Iman Madega ameitaka timu hiyo kufanya maandalizi ya nguvu kabla haijacheza na Zamaleki
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Iman Madega ameitaka timu hiyo kufanya maandalizi ya nguvu kabla haijacheza na Zamaleki
18 January 2012
Mtema aagwa Dar,
wabunge 50 kuongoza mazishi yake
Na Peter Mwenda
MAKAMU wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Wwaziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda, jana waliongoza mamia ya wananchi
Na Peter Mwenda
MAKAMU wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Wwaziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda, jana waliongoza mamia ya wananchi
Sakata la Posho:
Bunge lachongea
mihimili mingine
Ndugai asema watumishi wake wanalipwa zaidi ya wabunge
Awavaa viongozi wa dini, adai posho wanazolipwa ni kubwa
Azungumzia sakala la Hamad Rashid, David Kafulila, Jairo
Na Waandishi Wetu
SAKATA la nyongoza ya posho za wabunge kutoka sh. 70,000 hadi 200,000, limechukua sura mpya
mihimili mingine
Ndugai asema watumishi wake wanalipwa zaidi ya wabunge
Awavaa viongozi wa dini, adai posho wanazolipwa ni kubwa
Azungumzia sakala la Hamad Rashid, David Kafulila, Jairo
Na Waandishi Wetu
SAKATA la nyongoza ya posho za wabunge kutoka sh. 70,000 hadi 200,000, limechukua sura mpya
Profesa Mwandosya arudi India
*Dkt. Mwakyembe aonekana ofisini mara moja
Na Gladness Mboma
WAZIRI wa Maji, Profesa Mark Mwandosya, ameondoka nchini juzi kwenda India
Na Gladness Mboma
WAZIRI wa Maji, Profesa Mark Mwandosya, ameondoka nchini juzi kwenda India
Dawa bandia za malaria zaongeza madhara
LONDON,Uingereza
WANASAYANSI katika Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza
WANASAYANSI katika Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza
MECKI kuchaguana Januari 28
Na Martha Fataely, Moshi
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Kilimanjaro (MECKI),
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Kilimanjaro (MECKI),
Mwekezaji A to Z aomba wizara kuwapunguzia gharama
Na Mwandishi Wetu, Arusha
WIZARA ya Kazi na Ajira imeombwa kuunga mkono na kutetea viwanda vya nguo
WIZARA ya Kazi na Ajira imeombwa kuunga mkono na kutetea viwanda vya nguo
Waigomea halmashauri wakitaka ipunguze ushuru
Na Esther Macha, Mbeya
Wafanyabiashara wa Soko la Soweto mkoani Mbeya jana waligoma
Wafanyabiashara wa Soko la Soweto mkoani Mbeya jana waligoma
Ofisi ya madini mbioni kukamilika Singida
Na Thomas Kiani, Singida
WIZARA ya Nishati na Madini imekusudia kukamilisha jengo la ofisi ya madini Kanda ya Kati Singida ambalo litagharimu sh.milioni 870 hadi litakapokamilika mapema mwaka huu.
WIZARA ya Nishati na Madini imekusudia kukamilisha jengo la ofisi ya madini Kanda ya Kati Singida ambalo litagharimu sh.milioni 870 hadi litakapokamilika mapema mwaka huu.
Arusha waomboleza kifo cha mdau wa maendele
Na Pamela Mollel, Arusha
OFISA Maendeleo ya Jamiii wa Manispaa ya Arusha, Bw. David Ndauka amefariki
dunia juzi jioni
OFISA Maendeleo ya Jamiii wa Manispaa ya Arusha, Bw. David Ndauka amefariki
dunia juzi jioni
Yanga kupitisha 'fagio la chuma'
Lengo ni kubana matumizi
Na Amina Athumani
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kupunguza matumizi kwa kuwaacha baadhi ya wachezaji na kubakiza 25 pekee, badala ya 30.
Na Amina Athumani
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kupunguza matumizi kwa kuwaacha baadhi ya wachezaji na kubakiza 25 pekee, badala ya 30.
Mkwassa aitolea uvivu serikali
Na Zahoro Mlanzi
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), Charles Mkwassa ameamua kuivaa serikali na kuitaka isaidie kwa kiasi kikubwa timu hiyo na si kukabidhi bendera na kuondoka.
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), Charles Mkwassa ameamua kuivaa serikali na kuitaka isaidie kwa kiasi kikubwa timu hiyo na si kukabidhi bendera na kuondoka.
17 January 2012
Kill Music Award yazinduliwa
Na Victor Mkumbo
KAMPUNI ya Bia Tanzania TBL, kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA), jana wamezindua rasmi mchakato wa kutafuta na kuwapa tuzo wasanii wa Tanzania waliofanya vizuri katika kazi zao za muziki kwa mwaka 2011.
KAMPUNI ya Bia Tanzania TBL, kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA), jana wamezindua rasmi mchakato wa kutafuta na kuwapa tuzo wasanii wa Tanzania waliofanya vizuri katika kazi zao za muziki kwa mwaka 2011.
TOC yaishangaa BFT kuishupalia Dar
Na Amina Athumani
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), inashangwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kwa kushindwa kuuneza mchezo wa ngumi nchi nzima na badala yake kuishupalia Dar es Salaam pekee, wakati shirikisho hilo ni kongwe hapa nchini.
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), inashangwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kwa kushindwa kuuneza mchezo wa ngumi nchi nzima na badala yake kuishupalia Dar es Salaam pekee, wakati shirikisho hilo ni kongwe hapa nchini.
Moratti athibitisha kumtaka Tevez
ROME, Italia
RAIS wa Inter Milan, Massimi Moratti amethibitisha kuwa sasa wametuma ofa ya pauni milioni 25 kwa ajili ya mchezaji wa Manchester City, Carlos Tevez.
RAIS wa Inter Milan, Massimi Moratti amethibitisha kuwa sasa wametuma ofa ya pauni milioni 25 kwa ajili ya mchezaji wa Manchester City, Carlos Tevez.
Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani (aliyevaa nguo nyeusi), akimbana kwa maswali
Mwenyekiti wa Kijiji cha Manga-Mtindiro Sakina Mkomwa kuhusu fedha zake alizotoa kwa
ajili ya wananchi kuvuka katika mto Mkomazi baada ya kivuko cha kuvukia wananchi
hao, kusombwa na maji kufuatia mafuriko yalitoyotokea mwishoni mwa mwaka jana kwenye
milima ya Pare wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
16 January 2012
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Samuel Sitta (kushoto) na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa (kulia), wakimfariji Bw. Estaratus Mtemanyenza, ambaye ni Baba wa Marehemu, Mbunge wa Viti Maalum, Regia Mtema, nyumbani kwao Tabata Chang'ombe, Dar es Salaam jana. (Picha na Peter Mwenda)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uratibu na Mahusiano na Mbunge wa Bunda, Bw. Stephen Wassira, akizungumza na umati wa wananchi wa mji wa Bunda hivi karibuni, wakati akifafanua hatua kwa hauta kuhusu mchakato wa mswaada wa katiba mpya ulivyofanyika hadi kusainiwa na Rais. Wa pili kushoto ni mbunge wa Musoma Vijijini Bw. Nimrod Mkono na Ofisa Tarafa ya Serengeti Bw. Justine Rukaka. (Picha na Nyakasagani Masenza)
PST yamsimamisha Agapeter
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Masumbwi Tanzania (PST), limemsimamisha Makamu wa Rais wa shirikisho hilo, Agapeter Mnazareth kutokana na kudaiwa kufanikisha pambano lisilo la ubingwa kati ya Karama Nyilawila na Fransic Cheka.
SHIRIKISHO la Masumbwi Tanzania (PST), limemsimamisha Makamu wa Rais wa shirikisho hilo, Agapeter Mnazareth kutokana na kudaiwa kufanikisha pambano lisilo la ubingwa kati ya Karama Nyilawila na Fransic Cheka.
BMT yatakiwa kuwawezesha mabondia
Na Andrew Ignas
BONDIA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ngumi za Ridhaa Tanzania, Michael Yomba yomba amelitaka Balaza la Michezo la Taifa (BMT), kuhakikisha linatafuta njia mbadala ya kuwawezesha mabondia wao.
BONDIA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ngumi za Ridhaa Tanzania, Michael Yomba yomba amelitaka Balaza la Michezo la Taifa (BMT), kuhakikisha linatafuta njia mbadala ya kuwawezesha mabondia wao.
Ward, Laura wasubili droo michuano Australia
Melbourne, Australia
WACHEZA tenis James Ward na Laura Robson, wamepenya hatua za awali ya michuano ya Wazi ya Australia na sasa wanasubili droo kubwa ya michuano hiyo.
WACHEZA tenis James Ward na Laura Robson, wamepenya hatua za awali ya michuano ya Wazi ya Australia na sasa wanasubili droo kubwa ya michuano hiyo.
Nyilawila atamba pesa mbele, mataji nyuma
Na Mwali Ibrahim
BONDIA Karama Nyilawila ameibuka na kudai kitendo cha kunyang'anywa mkanda wake wa Ubingwa wa Dunia wa WBF, na waandaaji wa mashindano hayo hakimsumbui kwani yeye anachoaangalia ni pesa.
BONDIA Karama Nyilawila ameibuka na kudai kitendo cha kunyang'anywa mkanda wake wa Ubingwa wa Dunia wa WBF, na waandaaji wa mashindano hayo hakimsumbui kwani yeye anachoaangalia ni pesa.
Botswana yatishia 'nyau' vigogo CAN 2012
GABORONE,Botswana
TIMU ya Taifa ya Botswana, imesema itafanya maajabu makubwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika zitakazofanyika kuanzia mwishoni mwa wiki hii katika nchi za Guinea ya Ikweta na Gabon, huku ikizitahadharisha timu zitakazokutana nazo kukaza buti.
TIMU ya Taifa ya Botswana, imesema itafanya maajabu makubwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika zitakazofanyika kuanzia mwishoni mwa wiki hii katika nchi za Guinea ya Ikweta na Gabon, huku ikizitahadharisha timu zitakazokutana nazo kukaza buti.
Mtoto wa Wacko Jacko aanza 'mbwembwe'
LAS VEGAS, Marekani
WAHENGA walisema mtoto wa nyoka ni nyoka.
BINTI wa mwanamuziki aliyekuwa mfalme wa Pop, Michael Jackson (Wacko Jacko), Paris ameonekana kuanza kufuata nyayo za baba yake kwa kuigiza uchezaji wake ikiwemo mtindo wa kusimama kwa kutumia vidole vya mguuni wakati akicheza mpira wa magongo.
WAHENGA walisema mtoto wa nyoka ni nyoka.
BINTI wa mwanamuziki aliyekuwa mfalme wa Pop, Michael Jackson (Wacko Jacko), Paris ameonekana kuanza kufuata nyayo za baba yake kwa kuigiza uchezaji wake ikiwemo mtindo wa kusimama kwa kutumia vidole vya mguuni wakati akicheza mpira wa magongo.
Nando atajwa kikosi cha Angola
LUANDA,Angola
MCHEZAJI Nando Rafael ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Angola kwa ajili ya fainali za Mataifa ya Afrika, lakini huenda hasicheze kwenye fainali hizo za mwezi huu zitakazofanyika katika nchi za Guinea ya Ikweta na Gabon.
MCHEZAJI Nando Rafael ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Angola kwa ajili ya fainali za Mataifa ya Afrika, lakini huenda hasicheze kwenye fainali hizo za mwezi huu zitakazofanyika katika nchi za Guinea ya Ikweta na Gabon.
Ndoa ya Kobe Bryant hatarini kusambaratika
NEW York Marekani
MCHEZAJI nyota wa mpira wa kikapu, Kobe Bryant na mkewe Vanessa wako mbioni kutengana.
MCHEZAJI nyota wa mpira wa kikapu, Kobe Bryant na mkewe Vanessa wako mbioni kutengana.
Ferguson akoshwa na Scholes
LONDON, Uingereza
KOCHA Alex Ferguson amempongeza mchezaji mkongwe Paul Scholes aliyemrejesha katika kikosi cha Manchester United kwa kucheza vizuri na kufunga bao la kwanza katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bolton juzi.
KOCHA Alex Ferguson amempongeza mchezaji mkongwe Paul Scholes aliyemrejesha katika kikosi cha Manchester United kwa kucheza vizuri na kufunga bao la kwanza katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bolton juzi.
Villa-Boas roho kwatu kwa Gary Cahil
LONDON, Uingereza
KOCHA Andre Villas-Boas amefurahishwa kwa kuwasili mlinzi Gary Cahill wakati ambao Chelsea inajianda kumtambulisha rasmi mchezaji huyo waliyemsaini kutoka Bolton.
KOCHA Andre Villas-Boas amefurahishwa kwa kuwasili mlinzi Gary Cahill wakati ambao Chelsea inajianda kumtambulisha rasmi mchezaji huyo waliyemsaini kutoka Bolton.
Kocha Zambia atamba kuwa na kikosi kizuri
LUSAKA,Zambia
KOCHA wa timu ya Taifa ya Zambia, Herve Renard, amesema kuwa uwezo wa kikosi chake hauwezi kupimwa kwa matokeo ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Afrika Kusini katika mtanange uliofanyika Jumatano mjini Johannesburg.
KOCHA wa timu ya Taifa ya Zambia, Herve Renard, amesema kuwa uwezo wa kikosi chake hauwezi kupimwa kwa matokeo ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Afrika Kusini katika mtanange uliofanyika Jumatano mjini Johannesburg.
Zambia yatabiliwa makubwa CAN 2012
JOHANNESBURG,A.Kusini
MCHAMBUZI wa masuala ya soka katika televisheni ya Super Sport, Thomas Kenaite, amesema kuwa timu ya Taifa za Zambia ina nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (CAN) 2012.
MCHAMBUZI wa masuala ya soka katika televisheni ya Super Sport, Thomas Kenaite, amesema kuwa timu ya Taifa za Zambia ina nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (CAN) 2012.
'Mbaya' wa DMX akana kumshambulia
NEW YORK Marekani
MTU ambaye alidaiwa kuwa alijaribu kumshambulia rapa DMX alipokuwa jukwaani wiki iliyopita, ameamua kusafisha jina lake kwa kusema kuwa hakutaka kumshambulia mwanamuziki huyo.
Mtu huyo aliuambia mtandao wa TMZ kwamba alichotaka kufanya usoni ni kutaka kumkumbatia kutokana na kukunwa na muziki wake.
Jamaa huyo aliyetambulika kwa jina la Andy Roy alipanda jukwaani wakari rapa DMX alipokuwa akitumbuiza Alhamisi katika eneo la Long Beach, alisema alikuwa akitaka kumpongeza nyota huyo kwa kumkumbatia.
Roy ambaye ametoka jela, alitaka kumkumbatia kuonesha kuwa wako pamoja ambapo DMX naye alitoka jela siku za karibuni.
Kwa mujibu wa Andy, ilikuwa hakuaelewaka na kuongeza kuwa, "DMX ni mgonjwa!
MTU ambaye alidaiwa kuwa alijaribu kumshambulia rapa DMX alipokuwa jukwaani wiki iliyopita, ameamua kusafisha jina lake kwa kusema kuwa hakutaka kumshambulia mwanamuziki huyo.
Mtu huyo aliuambia mtandao wa TMZ kwamba alichotaka kufanya usoni ni kutaka kumkumbatia kutokana na kukunwa na muziki wake.
Jamaa huyo aliyetambulika kwa jina la Andy Roy alipanda jukwaani wakari rapa DMX alipokuwa akitumbuiza Alhamisi katika eneo la Long Beach, alisema alikuwa akitaka kumpongeza nyota huyo kwa kumkumbatia.
Roy ambaye ametoka jela, alitaka kumkumbatia kuonesha kuwa wako pamoja ambapo DMX naye alitoka jela siku za karibuni.
Kwa mujibu wa Andy, ilikuwa hakuaelewaka na kuongeza kuwa, "DMX ni mgonjwa!
Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dkt. Namala Mkopi, akisisitiza tamko la chama hicho, Dar es Salaam jana, lililoitaka Serikali kuwarudisha kazini na kuwalipa mshahara, Madaktari wanafunzi waliofukuzwa katika muda wa saa 72, kuanzia jana. Kulia ni Mjumbe wa Baraza la Madaktari Tanzania, Dkt. Faida Emil, Chama hicho pia kilimsimamisha uanachama, Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Deo Mtasiwa.
Samatta, Ochan ruksa kucheza CAF
Na Zahoro Mlanzi
HATIMAYE mshambuliaji wa timu ya taifa (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samatta amepata Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) baada ya timu yake kuomba kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Mbali na kukubali kutoa hati hiyo, lakini TFF imetoa sharti la kuitaka timu hiyo ndani ya siku 30 baada ya kupokea ITC, ihakikishe inalipa fedha za kuendeleza mfuko wa timu, ambazo ni asilimia 5 za uhamisho wake kwenda kwa timu ambazo mshambuliaji huyo alipitia.
Akizungumza Dar es Salam jana, Ofisa Habari wa shirikisho hilo, Boniface Wambura alisema wamepokea maombi ya ITC ya Samatta, ambayo tayari wameshaituma Congo.
"Tulipokea maombi hayo na pia si Samatta tu, ikumbukwe hata Patrick Ochan naye hakuombewa hivyo wameomba ITC mbili za wachezaji hao na tayari tumeshazituma, hivyo wanaweza kucheza michuano yoyote," alisema Wambura na kuongeza;
"Lakini kwa upande wake Samatta, pamoja na kutolewa kwa ITC yake kama sheria za FIFA vinavyoekekeza katika kifungu cha nne cha utaratibu wa uhamisho, bado TP Mazembe wana deni kwa upande wa timu ambazo mchezaji huyo alipitia," alisema.
Alisema kutokana na hilo wanatakiwa kulipa asilimia tano ya mfuko wa kuendesha timu alizopitia ndani ya siku 30, baada ya kupokea hati ya Samatta, vinginevyo wakishindwa kufanya hivyo kwa wakati watachukua hatua itakayostahili.
Wambura alisema fedha hizo, zitakwenda kwa timu ya Kimbangulile na Mbagala Market ambayo sasa ni African Lyon ambapo fedha hizo zitagawanywa kulingana na jinsi sheria inavyoelekeza.
Samatta alijiunga na timu hiyo akitokea Simba kwa uhamisho wa zaidi ya sh. milioni 180 pamoja na Ochan, lakini kwa ada tofauti za uhamisho ambapo uhamisho huo uliweka rekodi nchini.
HATIMAYE mshambuliaji wa timu ya taifa (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samatta amepata Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) baada ya timu yake kuomba kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Mbali na kukubali kutoa hati hiyo, lakini TFF imetoa sharti la kuitaka timu hiyo ndani ya siku 30 baada ya kupokea ITC, ihakikishe inalipa fedha za kuendeleza mfuko wa timu, ambazo ni asilimia 5 za uhamisho wake kwenda kwa timu ambazo mshambuliaji huyo alipitia.
Akizungumza Dar es Salam jana, Ofisa Habari wa shirikisho hilo, Boniface Wambura alisema wamepokea maombi ya ITC ya Samatta, ambayo tayari wameshaituma Congo.
"Tulipokea maombi hayo na pia si Samatta tu, ikumbukwe hata Patrick Ochan naye hakuombewa hivyo wameomba ITC mbili za wachezaji hao na tayari tumeshazituma, hivyo wanaweza kucheza michuano yoyote," alisema Wambura na kuongeza;
"Lakini kwa upande wake Samatta, pamoja na kutolewa kwa ITC yake kama sheria za FIFA vinavyoekekeza katika kifungu cha nne cha utaratibu wa uhamisho, bado TP Mazembe wana deni kwa upande wa timu ambazo mchezaji huyo alipitia," alisema.
Alisema kutokana na hilo wanatakiwa kulipa asilimia tano ya mfuko wa kuendesha timu alizopitia ndani ya siku 30, baada ya kupokea hati ya Samatta, vinginevyo wakishindwa kufanya hivyo kwa wakati watachukua hatua itakayostahili.
Wambura alisema fedha hizo, zitakwenda kwa timu ya Kimbangulile na Mbagala Market ambayo sasa ni African Lyon ambapo fedha hizo zitagawanywa kulingana na jinsi sheria inavyoelekeza.
Samatta alijiunga na timu hiyo akitokea Simba kwa uhamisho wa zaidi ya sh. milioni 180 pamoja na Ochan, lakini kwa ada tofauti za uhamisho ambapo uhamisho huo uliweka rekodi nchini.
James Kibosho apata ulaji Twanga
Na Mwandishi Wetu
MPIGA ngoma wa bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta', James Kibosho, amerithi mikoba ya aliyekuwa mwimbaji wa bendi hiyo, Charles Gabriel 'Chaz Baba' aliyetangaza kujiengua wiki hii na kuhamia Mashujaa Musica.
Mmoja wa wanamuziki nguli wa Twanga Pepeta, Khamis Kayumbu 'Amigolas' juzi usiku alimtangaza Kibosho kuwa ndiye kiongozi wa kupanga muziki jukwaani (Stage Master), nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Chaz Baba.
Tangazo hilo la Amigolas, lilipokewa kwa hoi hoi, nderemo na vifijo kutoka kwa mashabiki wa Twanga Pepeta waliofika katika Ukumbi wa Maisha Klabu, Dar es Salaam.
Twanga Pepeta hivi sasa inatamba na albamu yake ya 11 ya Dunia Daraja yenye nyimbo za Kauli, Kiapo cha Mapenzi, Umenivika Umasikini, Mtoto wa Mwisho, Dunia Daraja na Penzi la Shemeji.
Albamu zilizopita za bendi hiyo ni Kisa cha Mpemba (1999), Jirani (2000), Fainali Uzeeni (2001), Chuki Binafsi (2002), Ukubwa Jiwe (2003), Mtu Pesa (2004), Safari 2005 (2005), Password (2006), Mtaa wa Kwanza (2007) na Mwana Dar es Salaam (2009).
MPIGA ngoma wa bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta', James Kibosho, amerithi mikoba ya aliyekuwa mwimbaji wa bendi hiyo, Charles Gabriel 'Chaz Baba' aliyetangaza kujiengua wiki hii na kuhamia Mashujaa Musica.
Mmoja wa wanamuziki nguli wa Twanga Pepeta, Khamis Kayumbu 'Amigolas' juzi usiku alimtangaza Kibosho kuwa ndiye kiongozi wa kupanga muziki jukwaani (Stage Master), nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Chaz Baba.
Tangazo hilo la Amigolas, lilipokewa kwa hoi hoi, nderemo na vifijo kutoka kwa mashabiki wa Twanga Pepeta waliofika katika Ukumbi wa Maisha Klabu, Dar es Salaam.
Twanga Pepeta hivi sasa inatamba na albamu yake ya 11 ya Dunia Daraja yenye nyimbo za Kauli, Kiapo cha Mapenzi, Umenivika Umasikini, Mtoto wa Mwisho, Dunia Daraja na Penzi la Shemeji.
Albamu zilizopita za bendi hiyo ni Kisa cha Mpemba (1999), Jirani (2000), Fainali Uzeeni (2001), Chuki Binafsi (2002), Ukubwa Jiwe (2003), Mtu Pesa (2004), Safari 2005 (2005), Password (2006), Mtaa wa Kwanza (2007) na Mwana Dar es Salaam (2009).
13 January 2012
WATU watatu wamefariki jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti
Na Zena Mohamed
WATU watatu wamefariki jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti,likiwemo la watoto Swahiba Mussa (6) na Salima Rashid (5),wakazi wa Mbweni Teta kutumbukia kwenye kisima cha maji cha asili.
WATU watatu wamefariki jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti,likiwemo la watoto Swahiba Mussa (6) na Salima Rashid (5),wakazi wa Mbweni Teta kutumbukia kwenye kisima cha maji cha asili.
Ulinzi Shirikishi
Na David John
JESHI la Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke limesema kuwa katika kuimarisha suala zima la Ulinzi shirikishi limukusudia kuazisha Uperesheni fufua, imarisha vikundi vya ulinzi shirikishi ili kupambana na uharifu.
JESHI la Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke limesema kuwa katika kuimarisha suala zima la Ulinzi shirikishi limukusudia kuazisha Uperesheni fufua, imarisha vikundi vya ulinzi shirikishi ili kupambana na uharifu.
Wakuu wa miradi wapigwa msasa
Na Pamela Mollel,
Arusha
SERIKALI imeazimia kuboresha mfumo wa usimamizi wa fedha za umma na kutekeleza mipango iliyojiwekea kikamilifu ikiwa ni pamoja na kufanya maboresho makubwa kupitia mfumo wa fedha(IMFS) ili kupunguza changamoto zilizojitokeza kwa miaka kumi ya utekelezaji wa mfumo wa 'Epicor 9.05' kwenye
baadhi halmashauri zake.
Arusha
SERIKALI imeazimia kuboresha mfumo wa usimamizi wa fedha za umma na kutekeleza mipango iliyojiwekea kikamilifu ikiwa ni pamoja na kufanya maboresho makubwa kupitia mfumo wa fedha(IMFS) ili kupunguza changamoto zilizojitokeza kwa miaka kumi ya utekelezaji wa mfumo wa 'Epicor 9.05' kwenye
baadhi halmashauri zake.
Kijiji kutumia mil 60/- kujenga zahanati
Na Thomas Kiani
Singida
UJENZI wa Zahanati ya kisasa katika Kijiji cha Nsonga Kata ya Kaselya wilayani Iramba mkoani Singida unahitaji sh. milioni 60 pamoja na nguvu kazi ya wakazi wa eneo hilo na serikali.
Singida
UJENZI wa Zahanati ya kisasa katika Kijiji cha Nsonga Kata ya Kaselya wilayani Iramba mkoani Singida unahitaji sh. milioni 60 pamoja na nguvu kazi ya wakazi wa eneo hilo na serikali.
Wafanyabiashara waomba mfumo wa ushuru
Na Damiano Mkumbo
Singida
WAFANYABIASHARA wa mji wa Singida wameishauri Halmashauri ya Manispaa hiyo kuwapa mfumo mzuri wa kukusanyaji wa ushuru mbalimbali ili kuondoa usumbufu.
Singida
WAFANYABIASHARA wa mji wa Singida wameishauri Halmashauri ya Manispaa hiyo kuwapa mfumo mzuri wa kukusanyaji wa ushuru mbalimbali ili kuondoa usumbufu.
Chama cha ushirika chatoa mkopo mil 572.4/-
Na Damiano Mkumbo
Singida
CHAMA cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha Tumaini Manyoni mjini kimetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 572.4 kwa wanachama wake katika kipindi cha kuanzia mwaka 2004 na 2011.
Singida
CHAMA cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha Tumaini Manyoni mjini kimetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 572.4 kwa wanachama wake katika kipindi cha kuanzia mwaka 2004 na 2011.
BONDIA Karama Nyilawila aibuka
Na Mwali Ibrahim
BONDIA Karama Nyilawila ameibuka na kudai kitendo cha kunyang'anywa mkanda wake wa ubingwa wa Dunia wa WBF, na waandaaji wa mashindano hayo hakimsumbui kwani yeye anachoa angalia ni pesa.
BONDIA Karama Nyilawila ameibuka na kudai kitendo cha kunyang'anywa mkanda wake wa ubingwa wa Dunia wa WBF, na waandaaji wa mashindano hayo hakimsumbui kwani yeye anachoa angalia ni pesa.
WANANCHI wa Jimbo la Newala mkoani Mtwara
Na Rachel Balama
WANANCHI wa Jimbo la Newala mkoani Mtwara wameomba kupatiwa elimu kuhusu ununuzi wa hisa ili wapate ufahamu na kuweza kununua hisa hizo kutoka katika benki ya Wananchi wa Newala iliyoanzishwa hivi karibuni.
WANANCHI wa Jimbo la Newala mkoani Mtwara wameomba kupatiwa elimu kuhusu ununuzi wa hisa ili wapate ufahamu na kuweza kununua hisa hizo kutoka katika benki ya Wananchi wa Newala iliyoanzishwa hivi karibuni.
Athali za Mfumuko wa Bei
Na Makumba Mwemezi
Mwaka 2012 huwenda ukawa mgumu zaidi kwa watanzania hasa wenye kipato cha chini, kutokana na Serikali kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umepelekea benki za biashara kupandisha viwango vya riba za mikopo kutoka wastani wa asilimia 23 Mwishoni mwa mwaka jana hadi wastani wa asilimia 45 kuanzia Januari Mwaka huu.
Mwaka 2012 huwenda ukawa mgumu zaidi kwa watanzania hasa wenye kipato cha chini, kutokana na Serikali kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umepelekea benki za biashara kupandisha viwango vya riba za mikopo kutoka wastani wa asilimia 23 Mwishoni mwa mwaka jana hadi wastani wa asilimia 45 kuanzia Januari Mwaka huu.
Athali za Mfumuko wa Bei
Na Makumba Mwemezi
Mwaka 2012 huwenda ukawa mgumu zaidi kwa watanzania hasa wenye kipato cha chini, kutokana na Serikali kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umepelekea benki za biashara kupandisha viwango vya riba za mikopo kutoka wastani wa asilimia 23 Mwishoni mwa mwaka jana hadi wastani wa asilimia 45 kuanzia Januari Mwaka huu.
Mwaka 2012 huwenda ukawa mgumu zaidi kwa watanzania hasa wenye kipato cha chini, kutokana na Serikali kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umepelekea benki za biashara kupandisha viwango vya riba za mikopo kutoka wastani wa asilimia 23 Mwishoni mwa mwaka jana hadi wastani wa asilimia 45 kuanzia Januari Mwaka huu.
Naipongeza serikali kuruhuru wanafunzi kurudia mitihani
Na Rachel Balama
DESEMBA 14, mwaka jana serikali ilitangaza matokeo ya darasa la saba ambayo kati ya wanafunzi 983,545 waliofanya mtihani huo, 567,767 sawa na asilimia 58.28 walifaulu huku ikifuta matokeo ya watahiniwa 9,736.
DESEMBA 14, mwaka jana serikali ilitangaza matokeo ya darasa la saba ambayo kati ya wanafunzi 983,545 waliofanya mtihani huo, 567,767 sawa na asilimia 58.28 walifaulu huku ikifuta matokeo ya watahiniwa 9,736.
BONDIA Maneno Osward 'Mtambo wa gongo'
Na Mwali Ibrahim
BONDIA Maneno Osward 'Mtambo wa gongo' amesema kuwa pambano lake kati ya Nasib Ismail litakalokuwa miongoni mwa mapambano ya utangulizi katika Francis Cheka na Kalama Nyilawila ndio litatumika kuwa mazoezi ya kumuadhibu Rashid Matumla.
Maneno na Matumla wanatarajia kupanda ulingoni Februari 25 katika pambano la marudiano litakalofanyika katika ukumbi wa PTA, Saba saba Dar es Salaam.
Mabondia hao wanarudiana baada ya kushindwa kutambiana katika pambano lao lisilo la ubingwa lilofanyika sikukuu ya Krismas, Mtonikijichi ambapo Maneno hakuridhishwa na matokeo hayo ya Droo ambapo pambano hilo litakuwa ni pambano lao la nne.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Maneno alisema pambano hilo la Janurai 28 litakuwa ni sehemu ya kuonyesha kiwango chake kwani hata bondia huyo atahakikisha anamtwanga vilivyo.
Alisema, kwa sasa anaendelea na mazoezi katika kambi yake iliyopo katika ukumbi wa kwa Rich uliopo Kongowe chini ya kocha wake Chaurembo Palasa ambaye nae atakuwa ni mmoja kati ya mabondia watakao wasindikiza Cheka na Nyilawila.
Mapambano ya utangulizi katika pambano lao hilo yatakuwa ni kati ya Mikidadi Abdalah na Shomari Mirundi, Abdalah Mohamed akiwa na Salehe Mkalekwa.
BONDIA Maneno Osward 'Mtambo wa gongo' amesema kuwa pambano lake kati ya Nasib Ismail litakalokuwa miongoni mwa mapambano ya utangulizi katika Francis Cheka na Kalama Nyilawila ndio litatumika kuwa mazoezi ya kumuadhibu Rashid Matumla.
Maneno na Matumla wanatarajia kupanda ulingoni Februari 25 katika pambano la marudiano litakalofanyika katika ukumbi wa PTA, Saba saba Dar es Salaam.
Mabondia hao wanarudiana baada ya kushindwa kutambiana katika pambano lao lisilo la ubingwa lilofanyika sikukuu ya Krismas, Mtonikijichi ambapo Maneno hakuridhishwa na matokeo hayo ya Droo ambapo pambano hilo litakuwa ni pambano lao la nne.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Maneno alisema pambano hilo la Janurai 28 litakuwa ni sehemu ya kuonyesha kiwango chake kwani hata bondia huyo atahakikisha anamtwanga vilivyo.
Alisema, kwa sasa anaendelea na mazoezi katika kambi yake iliyopo katika ukumbi wa kwa Rich uliopo Kongowe chini ya kocha wake Chaurembo Palasa ambaye nae atakuwa ni mmoja kati ya mabondia watakao wasindikiza Cheka na Nyilawila.
Mapambano ya utangulizi katika pambano lao hilo yatakuwa ni kati ya Mikidadi Abdalah na Shomari Mirundi, Abdalah Mohamed akiwa na Salehe Mkalekwa.
Katibu mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Na Goodluck Hongo
Katibu mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stargomena Tax. amekanusha madai yaliyotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Tanzania haitaki kuwa na mtangamano kuhusu uharakishwaji wa uundwaji wa shirikisho la kisiasa la Afrika ya Mashariki
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,Dkt. Tax alisema si kweli hata kidogo kwamba Tanzania haitaki kuwa na utengamano na jumuiya ya Afrika ya Mashariki na kwamba lawama hizi hazina msingi kwani nchi yetu inaamini jumuiya ina faida nyingi kuliko hasara
Alisema serikali imekuwa ikisisitiza kuwa mtangamano sharti uende hatua kwa hatua kama ilivyoainishwa katika mkataba wa uanzishwaji wa jumuiaya katika ibara ya 5 kifungu cha kwanza
Kwa msingi huo sharti kuimarisha na kutekeleza kikamilifu umoja wa forodha na soko la pamoja; na wakati huo huo kukamilisha majadiliano ya uanzishwaji wa umoja wa fedha.Hapa ndipo tutakapoweza kusema tuko tayari kujadiliana jinsi ya kuanzisha shirikisho la kisiasa
"Serikali yetu iko makini katika kutetea na kulinda maslahi ya wananchi wake na katika majadiliano yoyote ya mtangamano kama ambavyo nchi nyingine wanachama wa jumuiaya ya Afrika Mashariki wanavyolinda na kuteteta maslahi ya wananchi wake " alisema Dkt Tax.
Akizungumzia uhuru wa raia wa shirikisho la Afrika Mashariki kufanya kazi katika nchi nyingine alisema ibara ya kumi ya itifaki ya soko la pamoja inawahakikishia raia wa nchi wanachama kupata ajira katika nchi yoyote mwananchama.
Dkt Tax alizitaja baadhi ya fursa zitakazo patikana kuwa pamoja na walimu wa vyuo vya elimu ya juu, vyuo vikuu wenye shahada ya uzamivu kuanzia mwaka 2010,walimu wa shule za sekondari katika fani ya hisabati,fuzikia,baiolojia,walimu wa lugha za kigeni,walimu wa vyuo vya kilimo,ufundi stadi wenye kiwango cha elimu ya shahada ya pili katika fani husika.
Fursa zingine ni wahandisi wa madini,majengo,maafisa ugani katika sekta ya kilimo,wauguzi na wakunga ,kada ya waongoza ndege na kada ya upimaji ramani na kuwataka watanzania kuacha hofu juu ya shirikisho hilo kwa kuwa hata watanzania wengine wanafanyakazi katika nchi hizo za jumuiya kwa kufuata vigezo na masharti ya nchi husika na fursa zote hizi zimezingatia kuwa sekta hizo zinaupungufu wa wataalamu hao.
Akizungumzia uazishwaji wa sarafu moja ya Jumuiaya hiyo alisema mchakato wa ukusanyaji maoni unaendelea na zoezi hilo linaangaliwa kwa upana wake siyo kukurupuka katika kufanya maamuzi.
Alisema kuwa inapofikia hatua hiyo lazima pawepo na usawa katika nyanja ya uchumi , viwango vya kubadilisha fedha za kigeni, na baada ya kukamilika kwa hayo ndiyo nchi wananchama wanaweza kufikia maamuzi ya kuazisha sarafu ya pamoja.
Katibu mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stargomena Tax. amekanusha madai yaliyotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Tanzania haitaki kuwa na mtangamano kuhusu uharakishwaji wa uundwaji wa shirikisho la kisiasa la Afrika ya Mashariki
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,Dkt. Tax alisema si kweli hata kidogo kwamba Tanzania haitaki kuwa na utengamano na jumuiya ya Afrika ya Mashariki na kwamba lawama hizi hazina msingi kwani nchi yetu inaamini jumuiya ina faida nyingi kuliko hasara
Alisema serikali imekuwa ikisisitiza kuwa mtangamano sharti uende hatua kwa hatua kama ilivyoainishwa katika mkataba wa uanzishwaji wa jumuiaya katika ibara ya 5 kifungu cha kwanza
Kwa msingi huo sharti kuimarisha na kutekeleza kikamilifu umoja wa forodha na soko la pamoja; na wakati huo huo kukamilisha majadiliano ya uanzishwaji wa umoja wa fedha.Hapa ndipo tutakapoweza kusema tuko tayari kujadiliana jinsi ya kuanzisha shirikisho la kisiasa
"Serikali yetu iko makini katika kutetea na kulinda maslahi ya wananchi wake na katika majadiliano yoyote ya mtangamano kama ambavyo nchi nyingine wanachama wa jumuiaya ya Afrika Mashariki wanavyolinda na kuteteta maslahi ya wananchi wake " alisema Dkt Tax.
Akizungumzia uhuru wa raia wa shirikisho la Afrika Mashariki kufanya kazi katika nchi nyingine alisema ibara ya kumi ya itifaki ya soko la pamoja inawahakikishia raia wa nchi wanachama kupata ajira katika nchi yoyote mwananchama.
Dkt Tax alizitaja baadhi ya fursa zitakazo patikana kuwa pamoja na walimu wa vyuo vya elimu ya juu, vyuo vikuu wenye shahada ya uzamivu kuanzia mwaka 2010,walimu wa shule za sekondari katika fani ya hisabati,fuzikia,baiolojia,walimu wa lugha za kigeni,walimu wa vyuo vya kilimo,ufundi stadi wenye kiwango cha elimu ya shahada ya pili katika fani husika.
Fursa zingine ni wahandisi wa madini,majengo,maafisa ugani katika sekta ya kilimo,wauguzi na wakunga ,kada ya waongoza ndege na kada ya upimaji ramani na kuwataka watanzania kuacha hofu juu ya shirikisho hilo kwa kuwa hata watanzania wengine wanafanyakazi katika nchi hizo za jumuiya kwa kufuata vigezo na masharti ya nchi husika na fursa zote hizi zimezingatia kuwa sekta hizo zinaupungufu wa wataalamu hao.
Akizungumzia uazishwaji wa sarafu moja ya Jumuiaya hiyo alisema mchakato wa ukusanyaji maoni unaendelea na zoezi hilo linaangaliwa kwa upana wake siyo kukurupuka katika kufanya maamuzi.
Alisema kuwa inapofikia hatua hiyo lazima pawepo na usawa katika nyanja ya uchumi , viwango vya kubadilisha fedha za kigeni, na baada ya kukamilika kwa hayo ndiyo nchi wananchama wanaweza kufikia maamuzi ya kuazisha sarafu ya pamoja.
CHAMA cha mchezo wa Judo Tanzania (JATA)
Na Mwali Ibrahim
CHAMA cha mchezo wa Judo Tanzania (JATA) leo kinatarajia kupanga tarehe mpya ya uchaguzi mkuu wa chama hicho katika kikao cha pamoja na Baraza la Michezo Tanzania (BMT)
CHAMA cha mchezo wa Judo Tanzania (JATA) leo kinatarajia kupanga tarehe mpya ya uchaguzi mkuu wa chama hicho katika kikao cha pamoja na Baraza la Michezo Tanzania (BMT)
Mafunzo ya kujiepusha na madawa ya kulevya
Na Zena Mohamed
WANAFUNZI wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Chang'ombe Wilaya temeke jijini Dar es Salaam wamepewa elimu jinsi ya kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya na mtalaam wa somo la stadi za maisha Bw.Yuki Koga kutoka nchini Japan.
WANAFUNZI wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Chang'ombe Wilaya temeke jijini Dar es Salaam wamepewa elimu jinsi ya kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya na mtalaam wa somo la stadi za maisha Bw.Yuki Koga kutoka nchini Japan.
BENKI Kuu ya Tanzania (BOT)
BENKI Kuu ya Tanzania(BOT) imetakiwa kujiridhisha kuwa benki zilizopo nchini zinafanya biashara halali na siyo na kutunza fedha haramu.
Hayo yamebanishwa jana jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu hazina,Bw. Laston Msongole wakati wa semina ya kuwapatia ufahamu wa athari zitokanazo na biashara ya fedha haramu na ufadhili wa ugaidi ambayo huathiri uchumi wan chi husika.
Bw.Msongole alisema kuwa vyombo vya dola vikiwemo polisi, taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa PCCB pamoja na mamlaka ya mapato Tanzania TRA vimepewa changamoto nyingi katika mapambano dhidi ya biashara hiyo haramu.
Alisema kuwa biashara hiyo mbali na kuathiri uchumi wa taifa pia imekuwa ikisababisha kushamili kwa wimbi la uhalifu si Tanzania tu bali ni kwa dunia nzima.
Aliongeza kuwa, shughuli hizo ni za jinai na hazina tija kwa nchi yoyote kwa kuwa ni changamoto hivyo nguvu ya pamoja inahitajika ili kufanikisha vita hiyo.
Shughuli hizo haramu ambazo hufanyika nje ya mkondo halali wa mzunguko wa kifedha kutokana na wahusika kuhofia kubainika maovu yao.
"Miongoni mwa shughuli zinazopelekea kuwepo kwa fedha haramu ni pamoja na uuzaji wa dawa za kulevya, uuzaji wa silaha, rushwa na shughuli za ujambazi"alisema Bw.Msongole
"Unajuwa hii biashara ya fedha haramu imekuwa ikichangia kuporomoka kwa utawala bora na sheria, kuyumba kwa sekta ya fedha ambayo hupelekea uchumi kuporomoka, kuporomoka ushindani na kufukuza wawekezaji"aliongeza
Pia alisema kuwa michezo ya kamali ambayo huchezwa kwenye club za usiku hutumika kama njia halali ya kupitishia fedha chafu kwenye mzunguko halali wa kifedha.
"Watanzania muwe mnatoa taarifa kwa vyombo vya dola na mamlaka husika pindi mnawapobaini watu mwenye utajiri mkubwa tofauti na vipato vyao ili uchunguzi ufanyike kwa ajili ya kubaini chanzo cha mapato vyao"alisisitiza
Biashara ya fedha haramu na ufadhili wa ugaidi,ilianza miaka mingi lakini mwaka 2001 mara baada ya majengo ya biashara ya Marekani (WTO) kushambuliwa na magaidi wa kikundi cha Al-Qaida,nchi mbalimbali zilioanza kuitumia sheria ya kupinga biashara hiyo ambapo Tanzania ilianza rasmi kuitumia mwaka 2006 baada ya kuundwa kwa kitengo cha kushughulikia biashara hiyo kilichopo ndani ya Wizara ya Fedha.
Hayo yamebanishwa jana jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu hazina,Bw. Laston Msongole wakati wa semina ya kuwapatia ufahamu wa athari zitokanazo na biashara ya fedha haramu na ufadhili wa ugaidi ambayo huathiri uchumi wan chi husika.
Bw.Msongole alisema kuwa vyombo vya dola vikiwemo polisi, taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa PCCB pamoja na mamlaka ya mapato Tanzania TRA vimepewa changamoto nyingi katika mapambano dhidi ya biashara hiyo haramu.
Alisema kuwa biashara hiyo mbali na kuathiri uchumi wa taifa pia imekuwa ikisababisha kushamili kwa wimbi la uhalifu si Tanzania tu bali ni kwa dunia nzima.
Aliongeza kuwa, shughuli hizo ni za jinai na hazina tija kwa nchi yoyote kwa kuwa ni changamoto hivyo nguvu ya pamoja inahitajika ili kufanikisha vita hiyo.
Shughuli hizo haramu ambazo hufanyika nje ya mkondo halali wa mzunguko wa kifedha kutokana na wahusika kuhofia kubainika maovu yao.
"Miongoni mwa shughuli zinazopelekea kuwepo kwa fedha haramu ni pamoja na uuzaji wa dawa za kulevya, uuzaji wa silaha, rushwa na shughuli za ujambazi"alisema Bw.Msongole
"Unajuwa hii biashara ya fedha haramu imekuwa ikichangia kuporomoka kwa utawala bora na sheria, kuyumba kwa sekta ya fedha ambayo hupelekea uchumi kuporomoka, kuporomoka ushindani na kufukuza wawekezaji"aliongeza
Pia alisema kuwa michezo ya kamali ambayo huchezwa kwenye club za usiku hutumika kama njia halali ya kupitishia fedha chafu kwenye mzunguko halali wa kifedha.
"Watanzania muwe mnatoa taarifa kwa vyombo vya dola na mamlaka husika pindi mnawapobaini watu mwenye utajiri mkubwa tofauti na vipato vyao ili uchunguzi ufanyike kwa ajili ya kubaini chanzo cha mapato vyao"alisisitiza
Biashara ya fedha haramu na ufadhili wa ugaidi,ilianza miaka mingi lakini mwaka 2001 mara baada ya majengo ya biashara ya Marekani (WTO) kushambuliwa na magaidi wa kikundi cha Al-Qaida,nchi mbalimbali zilioanza kuitumia sheria ya kupinga biashara hiyo ambapo Tanzania ilianza rasmi kuitumia mwaka 2006 baada ya kuundwa kwa kitengo cha kushughulikia biashara hiyo kilichopo ndani ya Wizara ya Fedha.
PROMOTA kwenda mahakamani.
PROMOTA wa pamabano kati ya Francis Cheka na Karama Nyilawila Philemon Kiyando 'Don King' amesema yuko tayari kuwaburuza mahakamani Shirikisho la masumbwi Tanzania (PST) kama litasitisha pambano hilo.
sambamba na kuwaburuza mahakamani pia ataomba shirikisho hilo lifungiwe kutokana na kutomtendea haki kwa kumtaka Nyilawila kutokucheza pambano hilo ikiwa tayari ameishatumia gharama nyingi kuliandaa hadi sasa na kutaka kulisitisha wakati siku zimekaribia.
pambano hilo limepangwa kufanyika Januari 28 katika uwanja wa Jamuhuri, Morogoro likiwa katika uzito wa kg 72 raundi 12 lisilo la ubingwa.
Wakati mabondia wakiendelea kujifua Rais wa PST Emmanuel Mlundwa alitangaza pambano hilo kutokuwepo kutokana na Nyilawila kutakiwa kutetea ubingwa wake wa WBF nchini Ujeruman Februari 11 dhidi ya Mjeruman Erims Cagri.
Akizungumza na Majira Promota huyo alisema ameishatumia pesa nyingi sana kuandaa pambano hilo na tayari ameishalipia uwanja huo kwa ajili ya pambano itakuwaje liahirishwe bila kufahamishwa mapema kabla ajatumia gharama zote.
"Nimelipa mabondia, uwanja na nimeishafanya maandalizi makubwa sasa itakuwaje niahirishwiwe pambano hilo na nani tanilipa gharama zangu? mimi siwaelewi nanipotayari kuwapeleka mahakamani kwakunitia hasara kiasi kikubwa na wala sitahirisha pambano," alisema Kyando.
Alisema, kama wataweza waahirishe pamabano lao lakini pambano lake lipo palepale kama wataweza wamrudishie gharama zake zote alizotumia.
Alisema, wakati wote anaandaa pambano hilo ajapewa taarifa yoyote na PST hata kwa maandishi yeye amekuwa tu akiona kwa vyombo vya habari sasa kama ni msimamizi mzuri kwanini asimwite au amtumie barua ili asitishe maandalizi hayo.
Promota huyo alisema, yeye kama mdau wa michezo asingeweza kung'ang'ania Nyilawila acheze pmabano hilo kama tayari anapambano la kutetea ubingwa lakini bondia huyo alimfata na kumtaka amuandalie pambano kutokana na kukaa muda mrefu bila kupanda ulingoni kitu ambacho sio kizuri kwa mabondia.
"Nyilawila alikaa miezi 18 bila kupanda ulingoni na akaamua kuniomba nimuandalie nikaamua kumuandalia sasa iwaje gharama zote za maandalizi zitoke kwangu alafu ndio akatetee ubingwa huo mimi sikubali hata kidogo wao walikuwa wakimzungusha kumuandalia nimetumia gharama ndio wapitie mgongo uwo haiwezekani," alisema Kyando.
Kukaa muda mrefu kunamchangia kumshusha kiwango bondia na hasa ukizingantia anaenda kutetea ubingwa si atapigwa sana kwani hana mazoezi na mazoezi ya ndani tu hayamsaidii.
Alisema, pambano hilo pia lingemsaidia Nyilawila kufanya vyema kwani kama amekaa muda mrefu bila kupanda ulingoni hivyo angeweza kukutana na Cheka ingemsaidia kumpastamina na hata kuweza kutetea vyema mkanda wake huo.
Alisema, PST hawana utaratibu mzuri kwani wanawakandamiza mapromota wa Tanzania na hiyo inachangiwa na wivu na chuki badala ya kushirikiana na mapromota kwa ajili ya kukuza michezo kwa ajili ya kuwainua mabondia wa hapa nchini kwani hata mapambano ya nje wanayoenda kupigania wanalipwa kiasi kidogo cha fedha tofauti na hapa nyumbani.
"Hapa kunafitina fukani kwani hata mwaka 2006 ilishawahi kunitokea nikaamua kukaa kimya na kuacha kuandaa mapambano lakini Nyilawila alivyoniomba nikaamua kurudi tena," alisema.
Lakini kwa upande wa Nyilawila amedai hatoweza kupanda ulingoni kucheza pambano hilo na Cheka kama alivyoamriwa na PST ambao ndio wanamsimamia katika pambano lake hilo la nje.
sambamba na kuwaburuza mahakamani pia ataomba shirikisho hilo lifungiwe kutokana na kutomtendea haki kwa kumtaka Nyilawila kutokucheza pambano hilo ikiwa tayari ameishatumia gharama nyingi kuliandaa hadi sasa na kutaka kulisitisha wakati siku zimekaribia.
pambano hilo limepangwa kufanyika Januari 28 katika uwanja wa Jamuhuri, Morogoro likiwa katika uzito wa kg 72 raundi 12 lisilo la ubingwa.
Wakati mabondia wakiendelea kujifua Rais wa PST Emmanuel Mlundwa alitangaza pambano hilo kutokuwepo kutokana na Nyilawila kutakiwa kutetea ubingwa wake wa WBF nchini Ujeruman Februari 11 dhidi ya Mjeruman Erims Cagri.
Akizungumza na Majira Promota huyo alisema ameishatumia pesa nyingi sana kuandaa pambano hilo na tayari ameishalipia uwanja huo kwa ajili ya pambano itakuwaje liahirishwe bila kufahamishwa mapema kabla ajatumia gharama zote.
"Nimelipa mabondia, uwanja na nimeishafanya maandalizi makubwa sasa itakuwaje niahirishwiwe pambano hilo na nani tanilipa gharama zangu? mimi siwaelewi nanipotayari kuwapeleka mahakamani kwakunitia hasara kiasi kikubwa na wala sitahirisha pambano," alisema Kyando.
Alisema, kama wataweza waahirishe pamabano lao lakini pambano lake lipo palepale kama wataweza wamrudishie gharama zake zote alizotumia.
Alisema, wakati wote anaandaa pambano hilo ajapewa taarifa yoyote na PST hata kwa maandishi yeye amekuwa tu akiona kwa vyombo vya habari sasa kama ni msimamizi mzuri kwanini asimwite au amtumie barua ili asitishe maandalizi hayo.
Promota huyo alisema, yeye kama mdau wa michezo asingeweza kung'ang'ania Nyilawila acheze pmabano hilo kama tayari anapambano la kutetea ubingwa lakini bondia huyo alimfata na kumtaka amuandalie pambano kutokana na kukaa muda mrefu bila kupanda ulingoni kitu ambacho sio kizuri kwa mabondia.
"Nyilawila alikaa miezi 18 bila kupanda ulingoni na akaamua kuniomba nimuandalie nikaamua kumuandalia sasa iwaje gharama zote za maandalizi zitoke kwangu alafu ndio akatetee ubingwa huo mimi sikubali hata kidogo wao walikuwa wakimzungusha kumuandalia nimetumia gharama ndio wapitie mgongo uwo haiwezekani," alisema Kyando.
Kukaa muda mrefu kunamchangia kumshusha kiwango bondia na hasa ukizingantia anaenda kutetea ubingwa si atapigwa sana kwani hana mazoezi na mazoezi ya ndani tu hayamsaidii.
Alisema, pambano hilo pia lingemsaidia Nyilawila kufanya vyema kwani kama amekaa muda mrefu bila kupanda ulingoni hivyo angeweza kukutana na Cheka ingemsaidia kumpastamina na hata kuweza kutetea vyema mkanda wake huo.
Alisema, PST hawana utaratibu mzuri kwani wanawakandamiza mapromota wa Tanzania na hiyo inachangiwa na wivu na chuki badala ya kushirikiana na mapromota kwa ajili ya kukuza michezo kwa ajili ya kuwainua mabondia wa hapa nchini kwani hata mapambano ya nje wanayoenda kupigania wanalipwa kiasi kidogo cha fedha tofauti na hapa nyumbani.
"Hapa kunafitina fukani kwani hata mwaka 2006 ilishawahi kunitokea nikaamua kukaa kimya na kuacha kuandaa mapambano lakini Nyilawila alivyoniomba nikaamua kurudi tena," alisema.
Lakini kwa upande wa Nyilawila amedai hatoweza kupanda ulingoni kucheza pambano hilo na Cheka kama alivyoamriwa na PST ambao ndio wanamsimamia katika pambano lake hilo la nje.
Timu 30 za mchezo wa Darts
JUMLA ya timu 30 za mchezo wa darts zinatarajia kuchuana leo katika mashindano ya taifa ya mchezo huo yanayotarajia kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden uliopo Area C, Dodoma.
Subscribe to:
Posts (Atom)