31 December 2010

Tajiri nambari moja duniani atua Arusha

*Awasili uwanjani KIA na ndege nne binafsi
*Yuko na wafanyabiashara wakubwa hamsini
*Pesa yake ni bajeti ya Tanzania mara nane


Na Said Njuki, Arusha
 
TAJIRI namba moja duniani, Bw. Mukesh Ambani (53) (pichani) raia wa India amewasili nchini jana alfajiri kimyakimya kwa safari ya

Wanasheria wajipanga kupinga Dowans

Na John Daniel

SAKATA ya malipo ya mabilioni ya walipa kodi kwa Kampuni ya Dowans limeingia katika hatua mpya baada ya jopo la wanasheria kuungana na kuanza kupitia vifungu vya sheria kwa lengo la kupinga hukumu hiyo iwapo itasajiliwa katika

Kortini kwa kuua wazazi wao

Na Bazil Makungu, Ludewa

WAKAZI wa Madunda Wilaya ya Ludewa, mkoani Iringa, Bw. Tito Willa (29) na mkewe Bi. Theopista Mtitu (29) juzi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa makosa mawili ya kuwaua

Aliyesahaulika mkasi tumboni afariki dunia

Na Waandishi Wetu

MGONJWA aliyefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na kudaiwa kusahaulika mkasi tumboni, Scolastika Rwambo (43), mkazi wa Kigogo, alifariki usiku wa kuamkia jana hospitalini hapo.Kwa mujibu wa msemaji wa

Mbwete abeza vyuo vya bweni

Na Charles Mwakipesile, Mbeya

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini, Prof. Tolly Mbwete ameishangaa na kuibeza mikakati ya serikali kuhusu kujenga vyuo vikuu vya bweni kila kanda kwa kuwa mpango huo ni kupoteza mabilioni ya Watanzania bila faida.Akizungumza wakati

Serikali ya Mapinduzi haijafutwa-Balozi Seif

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa haijafuta jina la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, bali imebadilisha mfumo wa muundo wa serikali.Balozi Seif alitoa tamko hilo

Mahakama ya Rufaa yakataa kubatilisha uamuzi

Na Grace Michael

MAHAKAMA ya Rufaa nchini imekataa kubatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu na kutoa dhamana kwa washtakiwa wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi katika Bahari ya Hindi eneo la Tanzania na badala yake imeamuru kurejeshwa kwa ombi hilo

Yanga yasaka bil. 4.5

Na Elizabeth Mayemba

KLABU ya soka ya Yanga inatafuta sh.bilioni 4.5 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Kaunda na jengo la Mtaa wa Mafia, Kariakoo Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana,  Msemaji wa klabu hiyo, Louis Sendeu, alisema

...Kuitangaza nafasi ya Mpangala

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa klabu ya Yanga unatarajia kuitangaza nafasi ya Meneja wa timu hiyo mwakani.Kwa sasa nafasi hiyo inashikiliwa na Emmanuel Mpangala, ambaye katika uongozi uliopita alikuwa Katibu wa Kamati ya Mashindano.Habari za

Waziri Nahodha aikuna BASATA

Na Addolph Bruno

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limeguswa na kauli ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mheshiwa Shamsi Vuai Nahodha ya kuzitaka idara za Serikali kutumia sanaa katika kutoa elimu kwa Umma.Akizungumza Ofisini kwake jana

Lady Jay Dee aibuka na maji

Na Amina Athumani

MSANII maarufu wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady Jay Dee',  amezindua bidhaa yake mpya ya maji yanayojulikana kwa jina la Jay Dee.Akizungumza Dar es Salaam jana,  wakati wa uzinduzi wa bidhaa hiyo ya

'Chelsea' waua shabiki wa Arsenal

KAMPALA, Uganda

JESHI la Polisi katika Wilaya ya Bundibugyo nchini Uganda, linawasaka mashabiki watatu wa timu ya Chelsea kwa kumpiga na kumuua shabiki wa Arsenal.Kamanda wa Polisi wa Wilaya hiyo, Dennis Namuwoza, alimtaja marehemu kuwa

AC Milan yatangaza dau la Ronaldinho

MILAN, Italia

TIMU ya AC Milan, imetangaza dau la euro milioni 8 ili iweze kumuachia nyota wake Ronaldinho.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, raia wa Brazil kwa sasa yupo mwaka wa mwisho katika mkataba wake na vinara hao wa

Ancelotti adai kupumua

LONDON, England

KOCHA Carlo Ancelotti, amekiri akisema kwamba ni faraja kubwa kwake kurejea tena katika njia ya ushindi, baada ya Chelsea kuondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bolton, usiku wa kuamkia jana.Hadi inapata ushindi huo, Blues ilikuwa

30 December 2010

Mzee wa Vijisenti hukumu ya 'furaha'

*Atamba 'pigeni picha mimi Rais wa Afrika'

Na Rehema Maigala
UMATI mkubwa ulifurika jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kusikiliza hukumu dhidi ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Bw. Andrew Chenge na kuhitimishwa kwa ndugu na marafiki kufurahia maamuzi.Baada ya hukumu kusomwa na

Wakamatwa wakinadi nyeti za baba yao

Na Cresensia Kapinga,Songea

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limewakamata ndugu wawili wakitafuta soko la viungo vya binadamu walivyotarajia kupita kwa kumuua baba yao mzazi.Vijana hao walikamatwa wakitafuta soko hilo kwa mfanyabiashara maarufu wa mafuta katika

Ajali yauwa watano Same

Na Martha Fataely, Same

WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 10 kujeruhiwa vibaya baada ya magari mawili madogo kugongana uso kwa uso katika eneo la Mabilioni-Hedaru wilayani Same, Mkoa wa  Kilimanjaro.Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa

EWURA yasitisha bei ya maji kupanda Kahama

Na Patrick Mabula, Kahama

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesimamisha kusudio la Mamlaka ya Majisafi na Majitaka ya Wilaya ya Kahama (KUWASA) juu ya ombi lake la kutaka kuongeza gharama ya akra ya maji kwa wateja wake.Katika kikao

Polisi waoafanya vizuri wazawadiwe-Nahodha

Na Peter Mwenda

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Bw. Shamsi Vuai Nahodha ameliagiza Jeshi la Polisi kuendeleza mpango wa kuzawadia na kutunuku maofisa na askari waliotekeleza majukumu yao kwa umakini na uadilifu.Akizungumza wakati wa gwaride la

Warundi 200 warudi nyumbani

Na Prosper Kwigize, Kigoma

WAKIMBIZI 200 wa Burundi waliokuwa wakiishi katika Kambi  ya Mtabila, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wamerejeshwa nchini mwao baada ya kuhamasishwa na kupewa vitu mbalimbali ikiwemo fedha tasilimu, vyombo vya ndani na

Bundi bado airandia Yanga

Na Elizabeth Mayemba

BUNDI ameanza kuranda tena ndani ya klabu ya Yanga, baada ya kundi la wanachama wenye nguvu ndani ya klabu hiyo, kupanga kumwandikia barua Mwenyekiti wa klabu hiyo, Llyod Nchunga ili aachie ngazi.Hatua hiyo imekuja siku chache, baada ya

Simba B yatakata Uhai Cup

Na Mohamed Akida

TIMU ya vijana wenye umri wa miaka 20 ya Simba B, juzi ilikalia usukani wa kundi B katika michuano ya Uhai Cup inayoshirikiha timu za vijana za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuifunga Toto Afrika mabao 3-1 inayofanyika

Mtibwa Sugar yaipiga Majimaji 4-0

Na Addolph Bruno

TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Mtibwa, jana iliianza vyema michuano ya Uhai Cup baada ya kuifunga Majimaji mabao 4-0.Michuano hiyo inashirikisha timu za vijana za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania, inachezwa katika

Balotelli: Mambo shwari Man City

LONDON, England

MSHAMBULIAJI, Mario Balotelli amesema kwamba anajisikia furaha akiwa  Manchester City na akajitetea kuhusu kutoshangilia, wakati anapofunga mabao.Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya Italia, juzi aliifungia mabao matatu katika mchezo ambao

Abramovic kuwakodi The Black Eyed Peas

LONDON, England

BILIONEA na mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich amepanga kukodi wanamuziki wa bendi ya The Black Eyed Peas kwa ajili ya kuburudisha wakati wa mwaka mpya.Tajiri huyo wa Chelsea mwenye miaka 44, rafiki yake wa kike, Dasha Zhukova mwenye

29 December 2010

Fukuto la Katiba mpya

CUF waandamana Dar
*Polisi wawatawanya kwa mabomu
*wenyewe wawapiga chenga ya mwili
*Wawasilisha rasimu yao wizarani


Rabia Bakari na Athumani Mpochi
MABOMU risasi na ving'ora vilitawala baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam jana polisi walipojaribu kuzima

Ulimi wamponza Mwanasheria Mkuu

Na Waandishi Wetu

KAULI mbili tata za Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema kuhusiana na suala la malipo ya sh. bilioni 185 kwa kampuni ya Dowans na kupinga kuandikwa upya kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimepokelewa kwa

Ngeleja abeza msimamo wa TUCTA

Na John Daniel

WAZIRI wa Nishati na Madini, Bw. William Ngeleja amekejeli tishio la Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), kutaka kuandamana kupinga ongezeko la bei ya umeme na kueleza kuwa Watanzania si wajinga kuburuzwa na watu wenye

Vuai akemea kampuni binafsi kuzima moto kwa milioni 5/-

Na Peter Mwenda

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Bw. Shamsa Vuai Nahodha ameshangazwa na utaratibu wa Kampuni ya Night Support kutoza sh. milioni 5 kwa huduma ya kuzima moto nyumba yenye thamani ya sh. milioni 10 .Akizungmza katika ziara yake

Polisi waua watuhumiwa wa ujambazi Manyara

Na Mohamed Hamad Babati, Manyara

JESHI la Polisi Mkoa wa Manyara limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili kwa tuhuma za ujambazi wakati walipojaribu kuwatoroka polisi baada ya kukamwatwa.Kamanda wa Polisi mkoani Manyara, Bi. Parmena Sumari alisema majambazi hao

Kazi ni kufukua 'panya' watafuna mapato-Malla

Na Peter Saramba, Arusha

KAZI kubwa ya madiwani wa Manispaa ya Arusha  kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo ni ukusanyaji na kudhibiti watu wanaotafuna mapato ya halmashauri na

Wachezaji Yanga kulipwa fedha zao

Na Mwandishi Wetu

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kuwalipa wachezaji wake deni lao Januari 10, mwakani na kuwataka kusitisha mgomo waliodhamiria kuufanya.Hatua hiyo imefikiwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, iliyokutana

Yanga, African Lyon hakuna mbabe

Na Addolph Bruno

TIMU za vijana za soka za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu za Yanga na African Lyon wenye umri chini ya miaka 17, jana zilitoka suluhu katika mfululizo wa mechi za mashindano ya Kombe la Uhai, iliyofanyika asubuhi katika Uwanja wa

Momba amnyuka Mashali kwa pointi

Na Amina Athumani

BONDIA Said Momba, juzi alimtwanga kwa pointi Charles Mashali katika pambano lisilo la ubingwa lililofanyika katika Ukumbi wa Manzese Texas, Dar es Salaam.Pambano hilo ambalo lilikuwa ni la raundi 6, liliandaliwa na Rama Jah na

Chelsea yamvimbisha kichwa Wenger

LONDON, England

KWA kile kinachoonekana ni kuvimba kichwa, kocha wa Arsenal, Arsene Wenger anaamni kwamba kikosi chake kwa sasa kimekomaa baada ya mafanikio kilichoyapata dhidi ya Chelsea.Kabla ya mechi hiyo iliyochezwa usiku wa

Jay-Z atumia milioni 499/- kumnunulia zawadi Beyonce

NEW YORK Marekani

RAPA Jay- Z kwa mara nyingine tena ameonesha jeuri ya fedha kwa kutumia pauni 220,000, ambazo kwa fedha za Kitanzania zaidi ya sh. milioni 499 kwa kununua zawadi za Krismasi kwa ajili ya mkewe Beyonce Knowles.Mwanamuziki huyo

28 December 2010

Mbivu, mbichi za Dowans wiki ijayo

*Mwanasheria mkuu amaliza kupitia hukumu
*Waziri Ngeleja ajiandaa kutoa taarifa rasmi


John Daniel na Grace Michael
SIKU moja baada ya wananchi kuja juu na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kumtaja kwanza mmiliki wa Kampuni ya Dowans kabla ya kulipwa mabilioni ya walipa kodi, serikali imeahidi kutoa taarifa rasmi juu ya

CUF kuandamana licha ya polisi kuzuia

Rabia Bakari na Lead Kassopa

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeazimia kufanya maandamano leo ya kutoa rasimu ya mapendekezo ya katiba serikalini, licha ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuyazuia.Akizungumza na gazeti hili, Naibu Katibu Mkuu Bara, Bw. Julius Mtatiro alisema

Mwanasheria Mkuu apinga katiba mpya

Grace Michael na Rabia Bakari

WAKATI Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika akiwasilisha hoja binafsi ya mabadiliko ya katiba mpya, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema amesema kuwa haiwezekani kuandikwa upya na badala yake

Tofauti ya kura 1% yamliza Seif

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho kukaa chini na kutafakari kwa namna gani waliikosa asilimia moja ya kura, ambayo iliwapatia

Mahabusu wagoma, wavua nguo

Na Muhidin Amri, Songea

MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji wamegoma kupanda gari la polisi kurudi gerezani na baadhi yao kuvua nguo kwa madai ya kucheleweshewa upelelezi wa kesi zao zinazazowakabili.Tukio hilo lilitokea jana pale

CHADEMA yampongeza Jaji Chande

Na Mwandishi wetu

SIKU moja baada ya uteuzi wa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania, Mohamed Chande, kisha kuapishwa jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa pongezi, kikimuahidi ushirikiano, lakini kikitoa tahadhari pia.Akizungumza

Mtoto wa miezi mitano aibwa Temeke

Na Leah Kassopa

MWANAMKE mmoja asiyefahamika aliiba mtoto wa miezi mitano, Twaha Masudi katika eneo la Mtoni Relini Wilaya ya Temeke, Desemba, 26 mwaka huu.Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Bw. David Misime alisema

Wajumbe WDC wamsusia diwani wa CHADEMA

Na Said Njuki, Arusha
 
WAJUMBE wa Kamati ya Maendeleo ya Kata (WDC) ya Elerai wamemkataa mwenyekiti wa kamati hiyo, Bw. John Bayo kwa sababu ni diwani kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Bw. Bayo ambaye pia ni

Wachezaji Yanga kutolewa 'kafara'

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kuwaadhibu baadhi ya wachezaji wake wanaodaiwa kuwa ni vinara wa mgomo wa mazoezi yaliyofanyika Ijumaa katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Wachezaji hao licha ya kugoma

AFC yaichapa Polisi 2-0, Uhai Cup

Na Mohamed Akida

TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya AFC Arusha jana iliinza vyema michuano ya Uhai Cup, baada ya kuifunga timu ya vijana ya Polisi Tanzania mabao 2-0, katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume.Michuano

Mtibwa yatamba kunyakua Mapinduzi CUP

Na Addolph Bruno

TIMU ya soka ya Mtibwa Sugar, imetamba kutwaa tena ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 'Mapinduzi Cup' ambalo michuano yake itaanza kutimua vumbi Januari 2, mwakani mjini Zanzibar.Akizungumza kwa simu jana, Kocha Msaidizi wa

Teena Marie afariki Dunia

LOS ANGELES, Marekani

MWANAMUZIKI Teena Marie, ambaye alikuwa akifahamika kama "Ivory Queen of Soul" amefariki Dunia, Jumapili akiwa na umri wa miaka 54.
Nyota huyo alitamba na nyimbo zake kama 'Lovergirl,' 'Square Biz,'  na

27 December 2010

'Mwenye Dowans atajwe kabla ya kulipwa'

Na Waandishi Wetu

SAKATA la malipo ya sh. bilioni 185 kwa Kampuni ya DOWANS iliyorithi mikoba ya kampuni hewa ya Richmond imezidi kuchafua hali ya hewa baada ya wananchi kumtaka Rais Jakaya Kikwete kumtaja hadharani mmiliki wa kampuni hiyo

Othman Chande jaji mkuu

Na Grace Michael

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania kushika nafasi inayoachwa wazi na Jaji Augustino Ramadhan anayestaafu.Jaji Ramadhan anastafu kwa mujibu wa

Wasomi UDSM wamuaga Jaji Ramadhani wakidai katiba

Na Mwandishi Wetu

MWANGWI wa kilio cha ama kufanyika kwa marekebisho makubwa ya msingi ama kuwa na katiba mpya kabisa nchini, unazidi kusikika kila kukicha ambapo sasa imeelezwa kuwa Watanzania wawe makini katika kuijadili katiba ya sasa, ili kuepuka

M'kiti aliyechomewa nyumba achangia mil 16/-

Na Heckton Chuwa, Moshi

JUMLA ya shilingi milioni 16.25 zimekusanywa kumsaidia Mwenyekiti wa Kijiji cha Kiraracha, Kata ya Marangu Magharibi mkoani Kilimanjaro, Bw. Andrea Lekule, aliyechomewa nyumba yake na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa

Ghasia aagiza anayeambukiza Ukimwi abanwe

Na Martha Fataely, Moshi

MWENYEKITI wa baraza la wafanyakazi wa ofisi ya taifa ya takwimu ameagizwa kumchukulia hatua za kisheria mtumishi mmoja ambaye anadaiwa kuwaambukiza Ukimwi kwa makusudi watumishi wa taasisi hiyo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya

Imamu kortini kwa wizi wa nyaya

Na Yusuph Mussa, Lushoto

IMAMU wa mwalimu wa dini wa Kijiji cha Mkuzi, Kata ya Kwai wilayani Lushoto Bw. Amir Kijangwa (47) amefikishwa mahakamani akituhumiwa kuiba Nyaya za umeme zenye uzito wa kilo 19 huku zikiwa na thamani ya sh. 285,000.Akisoma

Kijiji chadai hakina maji tangu uhuru

Na Raphael Okello, Rorya

WAKAZI wa Kijiji cha Panyakoo, Kata ya Goribe wilayani Rorya mkoani Mara wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwapatia huduma ya maji ya mifugo na matumizi ya majumbani tangu uhuru na kusababisha kufuata huduma hizo katika nchi jirani ya

Mwakingwe ataka ushirikiano Majimaji

Na Addolph Bruno

KIUNGO mpya wa Majimaji, Ulimboka Mwakingwe amewataka wachezaji na vongozi wa klabu hiyo  kushirikiana ili waweze kufanya vizuri mzunguko wa pili Ligi Kuu Tanzania Bara.Ulimboka ambaye ameichezea Simba kwa muda mrefu ni

Yanga watulizwa na posho za X-Mass

Na Zahoro Mlanzi

HALI ndani ya Klabu ya Yanga, inaonekana kutengemaa baada ya uongozi wa klabu hiyo kuwapoza wachezaji wao waliokuwa wamegoma kwa kuwapa posho za sikukuu ya Krismasi.Wachezaji hao walimgomea Kocha wao, Kostadin Papic

Maonesho ya Red Ribbon yakusanya milioni 24

Na Mwandishi Wetu

JUMLA ya sh. milioni 24 zimepatikana katika maonesho ya mavazi ya Red Ribbon  2010 yaliyofanyika kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununua gari la watoto yatima wanaoishi na virusi vya ugonjwa wa Ukimwi, Tanzania Mitindo House (TMH).Fedha

Shiboli aanza kujiboshoa

Na Shaban Mbegu

BAADA ya kufanikiwa kufunga bao katika mechi waliyoibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya AFC Leopards,  mshambuliji mpya wa timu ya Simba, Ally Ahmed 'Shiboli',  ametamba kuwa, huo ni mwanzo mzuri kwake.Shiboli amesajiliwa na

Chelsea, Arsenal kazi nzito leo

LONDON,England

MIAMBA ya soka inayofukuzana kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal na Chelsea, inakutana leo katika mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Emirates, London.Miamba hiyo inakutana kila mmoja akiwa katika mazingira

24 December 2010

Krismasi Gizani

Na Peter Mwenda

SIKU moja kabla ya sikukuu ya Krismasi Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mgawo mwingine wa umeme katika mikoa yote iliyoungwa katika gridi ya taifa kutokana na upungufu wa umeme.Meneja Mawasiliano wa

Sijapewa sumu-Zitto

Na Mwajabu Kigaza, Kigoma

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema kuwa hajapewa sumu kama ilivyokuwa imedaiwa huku akisisitiza kuwa hakuna binadamu anayeweza kufanya hivyo.Pia mbunge huyo

CHADEMA yatoa masharti mgogoro wa mameya

Na Reuben Kagaruki

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa masharti ya kumaliza mgogoro ya uchaguzi wa mameya katika maeneo yote yenye utata vinginevyo kitaitisha maandamano ya amani nchi nzima ifikapo Januari 5, mwaka huu.Katika

Mwendesha pikipiki achomwa moto bure

Na Jovither Kaijage, Ukerewe

MWENDESHA pikipiki mmoja ameuawa na wananchi katika  wilaya ya Ukerewe, Mwanza baada ya kugongwa na baiskeli, katika ajali iliyosababisha kifo cha mtu mmoja kati ya wawili waliokuwa wamepanda baiskeli hiyo.Mwendesha

Mwandishi kortini kwa kupokea rushwa

Na Muhidin Amri, Songea

MWANDISHI wa habari wa kujitegemea mkoani Ruvuma, Bw Kwirunus Mapunda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Ruvuma kujibu kosa la kushawishi na kupokea rushwa ya sh. 200,000,  Mwandesha Mashitaka wa

Faru kulindwa kwa mitambo maalumu

Na Reuben Kagaruki

WIZARA ya Maliasili na Utalii itawawekea mitambo ya kisasa zaidi faru wanne waliobaki baada ya mwenzao kuuawa na majangili ili kuratibu mwenendo wa wanyama hao kila siku.Mbali na hatua hiyo, pia wizara hiyo

Hali ndani ya Yanga si Shwari

*Wachezaji watishia kugomea mazoezi

Na Elizabeth Mayemba
HALI imeonekana kuwa si shwari ndani ya Yanga, baada ya wachezaji wa timu hiyo kutishia kugoma kufanya mazoezi, endapo hawapalipwa fedha zao za usajili.Habari za uhakika zilizopatikana Dar es Salaam jana kutoka kwa

Simba kuwakosa nyota wake kesho

Na Elizabeth Mayemba

WACHEZAJI wa kimataifa wa Simba Emmanuel Okwi, Patrick Ochan na Joseph Owino kesho hawatacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya AFC Leopards ya Kenya utakaochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Akizungumza

Twanga Pepeta kufanya mambo leo Tabata

Na Mwandishi Wetu

Bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta' imewaomba wapenzi wao kujitoteza kwa wingi leo usiku kwenye onesho lao la Mkesha wa Krismasi, litakalofanyika katika Ukumbi wa  Da’ West Park Tabata.Akizungumza

Real Madrid yaiadhibu Levante 8-0

BARCELONA, Hispania

WACHEZAJI Cristiano Ronaldo na Karim Benzema, usiku wa kuamkia jana waliibuka mashujaa baada ya kuifungia Real Madrid mabao matatu kila mmoja yaliyoifanya timu hiyo, kuibuka na ushindi mnono wa mabao 8-0 dhidi ya

23 December 2010

Ngeleja atetea umeme kupanda

*Asema lengo si kutafuta malipo ya DOWANS

Na Rose Itono
WAZIRI wa Nishati na Madini Bw. William Ngeleja ametetea kupanda kwa bei ya umeme kuwa ni kutokana na kupanda kwa gharama za endeshaji na si kulipa fidia ya kampuni ya Dowans kama inavyodaiwa.Juzi Shirika la Umeme nchini (TANESCO) lilipata

Mmiliki Palm Beach kurudi mahakamani

Na Grace Michael

SIKU moja baada ya kutekelezwa kwa agizo la Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka la kuvunja uzio uliowekwa katika eneo la wazi kwenye kiwanja namba 1006 kilichopo Palm Beach, Dar es Salaam, anayedai

TCRA yaonya kampuni za simu kuvujisha siri

Na Peter Mwenda

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonya tabia ya wenye makampuni ya simu na wananchi kuvunja kanuni ya utunzaji wa siri za mawasiliano binafsi ya watumiaji wa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi kuchapishwa katika

Halmashauri zatakiwa kutenga maegesho

Na Jumbe Ismailly, Singida

BODI ya Barabara ya Mkoa wa Singida imezikumbusha halmashauri za wilaya ya manispaa mkoani hapa wajibu wao wa kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya maegesho ya magari makubwa ili kupunguza msongamano kwenye maeneo ya

Hakimu ataka madiwani kutumia katiba

Na Patrick Mabula, Kahama

HAKIMU wa Mahakama ya Wilaya ya Kahama, Bi. Lilian Rugarabamu amewataka madiwani kufanya kazi kwa kufuata misingi ya katiba ya nchi wanapotekeleza majukumu ya kazi zao katika kuihudumia jamii.Bi. Rugarabamu alisema

Pinda aenda mapumziko ya krismasi

Na Mwandishi Maalumu

WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amesema Tanzania haina budi kubadili mwelekeo na kuwasaidia kwa nguvu zote wakulima wadogo ikiwa ndiyo njia ya uhakika na ya haraka ya kuondoa umasikini nchini.Bw. Pinda alikuwa akizungumza katika kijijiji cha

FRAT yaizulia jambo TFF

*Ni kuhusu beji za FIFA

Na Zahoro Mlanzi

SIKU moja baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kutangaza waamuzi 14 kupewa beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), imebainika miongoni mwao 'wamebebwa' kupewa beji hizo kutokana na

AFC Leopard kutua na 'Maproo' sita

Na Zahoro Mlanzi

TIMU ya soka ya AFC Leopards ya Kenya, inatarajia kutua nchini leo ikiwa na wachezaji 20, huku sita wakiwa wa kimataifa kwa ajili ya kuumana na Simba katika mchezo utakaopigwa keshokutwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Mbali na

Padre John kufunga kozi ya ukocha

Na Addolph Bruno

PADRE John Eyeble kutoka Chicago, Marekani kesho anatarajia kufunga kozi ya makocha wa ngumi ambayo inafanyika katika Uwanja wa ndani wa Taifa, Dar es Salaam.Kozi hiyo iliyoandaliwa na Shirikisho la

Eto'o: Mimi si bora kuliko wengine

CAIRO, Misri

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o amekataa kwamba yeye ndiye mchezaji bora kuliko wote barani Afrika, licha ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji bora wa mwaka mara nyingi.Mshambuliaji huyo

Manchester United mbioni kuuzwa

LONDON, Uingereza

HATIMA ya baadaye ya klabu ya Manchester United, imeingia mashakani baada ya mtu muhimu kwenye klabu hiyo kusema wamiliki wake familia ya Glazer wataiuza.Aliyekwua mtendaji wa Old Trafford, Mike Edelson alisema: "Hakuna siri katika

22 December 2010

Nyota ya Liyumba yafifia

Na Grace Michael

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania jana ilitupilia mbali rufani ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya

Weakleaks yaihusisha Tanzania na uranium DRC

Na mwandishi wetu

BAADA ya tovuti inayovujisha siri nyeti za Serikali za nchi mbalimbali duniani kuanika siri za Taasisi ya Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), mtandao huo wa WeakLeaks umefichua siri nyingine nzito kudai kuwa  Tanzania ni kitovu cha

Jaji anusa rushwa kesi ya rada

Na Willibroad Mathias

KESI ya mkataba tata kati ya Tanzania na Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya kijeshi ya BAE System ya Uingereza imeingia katika sura mpya baada ya Jaji wa Mahakama ya Southwark Crown kunusa rushwa katika mgawo kwa mawakala wa

Waliopangishwa kinyemela NHC wapewa tahadhari

Na Peter Mwenda

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC)limewataka wapangaji ambao wamepangishwa na wateja wa shirika isivyo halali, wajitokeze ili kupewa mikataba halali.Mkuu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma wa NHC, Bi. Suzan Omari alisema jana kuwa

Nahodha, Kwambwa watinga UDOM

Na Pendo Mtibuche, Dodoma

SIKU moja baada ya kutokea kwa mgomo na kufanyika kwa  maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na kusababisha vurugu zilizopelekea polisi kuwatawanya kwa virungu na mabomu ya machozi, Waziri wa Mambo ya

Mtandao Tigo wageuka kero kwa wateja

Na Job Ndomba

WATUMIAJI wa simu za mkononi kwa mtandao wa Tigo juzi na jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kukosa mawasiliano kwa saa kadhaa.
Tukio hilo lilianza juzi mchana na kuzua usumbufu mkubwa miongoni mwa watumiaji wa

TFF yaziweka kitako Simba, Yanga

Na Zahoro Mlanzi

SIKU moja baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kutoa ratiba ya mashindano ya kimataifa, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limezitaka Klabu za Simba na Yanga zijiandae mapema ili zifike mbali katika

Tanzania, Kenya zatoka sare

KIGALI, Rwanda

TIMU ya taifa ya vijana wenye miaka chini ya 17 ya Tanzania (Serengeti Boys), juzi ilitawala mchezo wao dhidi ya Kenya, lakini ilibanwa na kutoka sare ya mabao 2-2, katika Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda. Serengeti Boys ilipoteza

Washindi BSS wapata zawadi zao

Na Mwali Ibrahim

KAMPUNI ya Benchmark Production, jana imewakabidhi zawadi washindi sita wa kinyang'anyiro cha kusaka vipaji vya muziki  'Bongo Star Search', kilichomalizika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam, Mkurugenzi wa

Tevez akubali yaishe Man City

MANCHESTER, England

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Carlos Tevez amefuta barua yake ya maombi ya kutaka kuondoka ndani ya klabu hiyo, hivyo kurejesha hali ya utulivu ndani ya City inayofukuzia ubingwa wa nchi hiyo.Manchester City ilitangaza

Wenger asisitiza kuachana na majina makubwa

 LONDON, Uingereza

KOCHA Arsene Wenger, amesisitiza kuwa hataki kununua wachezaji wenye majina, wakati akiwa kocha wa Arsenal.Alisema Gunners, haitaweza kujiweka kwenye hatari ya madeni muda mfupi, baada ya kuanza kuonesha mafanikio kwa

21 December 2010

Kikwete, Hoseah watajwa WikiLeaks

*Hoseah adaiwa kumchongea Kikwete Marekani
*Ni kuwa anakwepa kushtaki mapapa wa rushwa


Na Mwandishi Wetu

SIRI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kushindwa kuwaburuza mahakamani mapapa wa

Mwaka mpya umeme bei juu

Na Grace Michael

FURAHA ya Watanzania kusherehekea kuanza kwa mwaka mpya wa 2011 imetumbukia nyongo baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kuruhusu Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupandisha

Serikali ilaani vurugu Ivory Coast-CHADEMA

Na Mwandishi Wetu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka Serikali ya Tanzania kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia unaofanywa na Bw. Laurent Gbagbo na wafuasi wake

Ajali zaua sita Mbeya, Mtwara

Na Waandishi Wetu

WATU sita wamekufa na wengine 41 katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mtwara na Mbeya jana.Ajali ya kwanza ilitokea baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Landrover 110 kupinduka na kushika moto katika Kijiji cha

CHADEMA kuchagua 'meya' wao Arusha

Na Glory Mhiliwa, Arusha

MADIWANI wa Manispaa ya Arusha kupitia CHADEMA wanadaiwa kufanya mpango wa kumchagua meya wao huku wakijiandaa kwenda mahakamani kupinga uchaguzi uliofanywa na wenzao wa vyama vya CCM na TLP.Hatua hiyo

Mahabusu wagoma kushuka ndani ya gari

Na Rehema Maigala

MAHABUSU 20 waliofikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jana asubuhi waligoma kushuka kutoka kwenye basi la mahabusu ikiwa ni ishara ya kuonesha kuchoshwa na vitendo vya mashahidi wa upande wa mashitaka kutokufika mahakamani

Askari Polisi mbaroni kwa ujambazi

Na Florah Temba, Moshi

WATU watatu akiwemo Askari Polisi F.3486 PC Jakson Deodatus wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Kilimanjaro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za uporaji wa sh. milion 7.6 mali ya Kampuni ya Machare Investment.Akizungumza na

Utitiri wa makanisa kuzua balaa

Na Anneth Kagenda

UTITIRI wa makanisa nchini umesababisha baadhi ya viongozi wa dini kuanza kutofautiana huku kila mmoja akijitahidi kuvutia kwake na kushawishi wananchi kusali kwenye kanisa lake jambo ambalo badae linaweza kuleta madhara makubwa.Hayo

West Ham yamnyatia Adebayor

LONDON, Uingereza

KLABU ya West Ham, iko katika foleni ya kutaka kumsaini mshambuliaji, Emmanuel Adebayor katika kipindi cha dirisha dogo Januari, mwakani.Hammers inataka kumsaini nyota huyo wa Manchester City, kutoka Togo kwa kuwa

Mourinho alia na waamuzi Hispania

MADRID, Hispania 

KOCHA Jose Mourinho, ameitaka timu ya Real Madrid kumsaidia ili kukabiliana na waamuzi baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa baoa 1-0 dhidi ya Sevilla, ikiwa nyumbani licha ya beki wake Ricardo Carvalho, kutolewa nje ya uwanja mapema kipindi cha

Ligi RBA sasa kufanyika mwakani

Na Amina Athumani

MASHINDANO ya ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), yamesongezwa tena Januari 2 mwakani baada na timu kushindwa kukamilisha usajili wa wachezaji.Awali mashindano hayo yalipangwa kuanza Novemba 27, mwaka

Papic amtetea Mwape kuvurunda

Na Elizabeth Mayemba

KOCHA Mkuu wa Yanga, amewashangaa masabiki wanaombeza mshambulaji mpya wa timu hiyo, Mzambia Davies Mwape na kuwataka wasimtoe kasoro kwa mechi moja.Baadhi ya mashabiki wa soka wamekuwa na mtazamo tofauti kwa

Uhuru Selemani apaa India

Na Elizabeth Mayemba

MCHEZAJI wa Simba, Uhuru Selemani ameondoka nchini jana kwenda nchini India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa goti aliloumia katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Bara na hivyo kushindwa kuitumikia timu yake kwa

20 December 2010

Lowassa: Mjadala wa Katiba ulete upendo

*Asema jambo muhimu kwa ustawi wa taifa lolote
*Ataka taifa liombewe wakati wote wa mjadala
*Mnyika kuomba bunge liweke utaratibu Februari


Na Waandishi Wetu

MJADALA juu ya Tanzania kuwa na katiba mpya umezidi kuchukua sura mpya baada ya jana kutolewa angalizo kuwa ulete upendo huku

Ndege yaanguka, mgonjwa afariki

Na Rashid Mkwinda, Mbeya

NDEGE ndogo ya kukodi iliyokuwa ikimuwahisha mgonjwa mahututi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeanguka porini na kusababisha kifo cha mgonjwa huyo na kujeruhi wengine wawili.Bwana Godfrey Mpoli alikuwa amelazwa katika

Polisi wadaiwa kuua mtuhumiwa

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

ASKARI Polisi wa Kituo Kidogo cha Mirongo jijini hapa wanadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo wakati wakimshinikiza aeleze alikokuwa ameficha fedha alizotuhumiwa kuiba dukani kwa tajiri wake, Mtaa wa Uhuru mjini hapa.Tukio hilo

Wataka mameya wachaguliwe na wananchi

Na Yusuph Mussa, Lushoto

BAADHI ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto wameshauri ili kukabiliana na vitendo vya rushwa kwenye nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri, kura zipigwe na wananchi wote badala ya madiwani wachache.Wakizungumza

Diwani: Wengi hatujawahi kuona katiba

Na Suleiman Abeid, Meatu

WAKATI mjadala wa kuishinikiza mabali ya katiba, madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu mkoani Shinyanga wameomba kupatiwa nakala ya katiba kila mmoja kwa kuwa wengi wao hawaifahamu.Walisema wakipatiwa nakala hiyo

Watumishi, wanasiasa watakiwa kushirikiana

Na Muhidin Amri, Namtumbo

WATUMISHI wa idara za serikali na viongozi wa vyama vya siasa wametakiwa kushirikiana ili kusimamia kikamilifu shughuli za maendeleo zinazofanywa na wananchi.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Savery Maketta alipokuwa

Rais Mugabe atishia kulipiza kisasi kwa kampuni za Marekani

HARARE,Zimbabwe

KAMPUNI za Ulaya na Marekani zinazoendesha shughuli  zake nchini Zimbabwe zinakabiliwa na tishio la kuchukuliwa hatua na serikali, iwapo vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa hilo, havitaondolewa.Vitisho hivyo vimo katika hotuba kali ya

UN yajibu vitisho vya Rais Gbagbo

NEW YORK,Marekani

UMOJA wa Mataifa (UN) umejibu vikali hatua ya kuwafukuza wanajeshi wa umoja huo nchini Ivory Coast huku mzozo kuhusu uchaguzi wa urais wa mwezi uliopita ukizidi kutokota.Rais Laurent Gbagbo ambaye amekataa kuondoka madarakani baada ya

Stewart: Nimepata somo Yanga

Na Zahoro Mlanzi

KOCHA Mkuu wa Azam FC, John Stewart, amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga, umempa mwanga wa kujua aanze vipi kupanga mikakati yake kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.Timu hizo zilikutana juzi kwenye Uwanja wa

Tanzania yapanda viwango vya netiboli duniani

Na Amina Athumani, Kibaha

TANZANIA imepanda viwango vya kimataifa vya mchezo wa Nnetiboli vinavyotolewa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (IFNA), kutoka nafasi ya 24 hadi nafasi ya 20.Pia, imepanda kutoka nafasi ya nne hadi nafasi ya tatu kwa ubora wa

Mashabiki wa TP Mazembe wazua vurugu

LUBUMBASHI, DRC

GHASIA zimezuka katika mji wa Lubumbashi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya timu ya TP Mazembe kushindwa katika fainali ya kuwania Kombe la Dunia kwa klabu mjini, Abu Dhabi, usiku wa kuamkia jana

17 December 2010

Makanisa yataka katiba mpya

  •Yasema wakati wa NEC kuvunjwa umefika
•Yataja dosari zilizojitokeza Uchaguzi Mkuu
•Yaonya wanasiasa kuchanganya ahadi na haki
•Yakosoa CCM kuingiza Kadhi kwenye Ilani


Na John Daniel
JUMUIYA ya Kikristo Tanzania (CCT) imeitaka Serikali kuhakikisha inakamilisha haraka utaratibu wa kuandikwa Katiba mpya ili kukidhi mazingira yaliyopo ndani ya nchi.Akisoma tamko la Jumuiya hiyo Dar es Salaam jana, kuhusu  kasoro zilizojitokeza

Majambazi yateka kijiji yaua Mfanyabiashara

Na Faida Muyomba,Chato

WA T U k u m i w a n a o s a d i k i w a kuwa majambazi wamemuua kwa risasi mfanyabiashara mmoja na kujeruhi wengine kadhaa katika kata ya Buselesele wilayani Chato, mkoani Kagera kisha kuwapora zaidi ya sh. milioni 7. Majambazi hayo

Waziri apokewa na mgogoro mzito TRL

Na Rehema Mohamed.

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemtaka Waziri wa Miundombinu Bw. Omary Nundu kutoa ufafanuzi kuhusu Menejimenti ya Kampuni ya RITES ya India kuendelea kufanya kazi na kukusanya mamilioni ya fedha zinazotokana

Jaji Mkuu agoma kujitoa kesi ya 'samaki wa Magufuli'

Na Grace Michael

JAJI Mkuu wa Tanzania Augustino Ramadhan amegoma kujitoa katika usikilizaji wa rufaa iliyowasilishwa na washtakiwa wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi haramu ya kutaka marejeo ya uamuzi wa dhamana uliotolewa na Mahakama Kuu ya

Pinda awataka Mwaziri kusimamia haki za mtoto

Na Glory Mhiliwa, Arusha

MAWAZIRI wa nchi za Maziwa Makuu wenye dhamana ya  kuongoza Wizara za Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto wametakiwa kuhakikisha wanasimamia kikamilifu haki za wanawake na watoto dhidi ya unyanyasaji, unyanyapaa  na

Ilala, Kisarwe kupata umeme Jumanne

Na Peter Mwenda

WAKAZI wa baadhi ya maeneo Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam na Kisarawe Mkoa wa Pwani wanatarajiwa kupata tena umeme, Jumanne baada ya kutengemaa kwa transifoma inayosambaza umeme katika eneo hilo.Kuharibika transifoma hiyo

Waliotajwa kuhusika na ghasia Kenya wadai hawana hatia

NAIROBI,Kenya

MUDA mfupi  baada ya Mwendesha mashtaka Mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC)Bw. Luis Moreno Ocampo kuwataja watu sita wanaoshukiwa kuwa wahusika wakuu katika ghasia zilizozuka baada ya  baada ya uchaguzi wa

Odinga ampiga 'tafu'Rais Museveni kusaka kura

KAMPALA,Uganda

KATIKA ishara ya kuonesha mshikamano,Waziri Mkuu wa Kenya, Bw. Raila Odinga juzi  aliungana na Rais  Yoweri Museveni katika mbio za kusaka kura katika Wilaya ya Iganga iliyopo Mashariki mwa nchi hiyo.Habari kutoka nchini

Marekani yaishtaki BP uvujaji mafuta Ghuba ya Mexico

NEW YORK,Marekani

SERIKALI ya  Marekani kwa mara ya kwanza imewasilisha ombi la kuishtaki kampuni kubwa ya mafuta nchini Uingereza  BP pamoja na kampuni nyingine nane, kuilipa fidia ya mabilioni ya dola kwa uharibifu kutokana na kuvuja kwa mafuta katika Ghuba ya

Mwalusako: Niombeni radhi

*Atoa siku saba, vinginevyo...

Na Elizabeth Mayemba
SAKATA la ufujaji wa fedha za usajili sh.milioni 100, zilizotolewa na mdhamini Mkuu wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji, limezidi kuchukua sura mpya, baada ya Katibu Mkuu wa klabu hiyo Lawrence Mwalusako kutaka aombwe radhi ndani ya

Netiboli Morogoro wakumbwa na ukata

Na Lilian Justice, Morogoro

CHAMA cha Netiboli  Mkoani Morogoro 'CHANEMO', kinakabiliwa matatizo mbalimbali likiwemo la kutokuwa na fedha na vifaa vya mchezo huo.
Matatizo hayo yanawafanya washindwe kushiriki kwa wakati mashandano ya kombe la Taifa la

Dodoma, Morogoro, Mwanza zaanza vizuri netiboli Taifa

Na Amina Athumani, Kibaha

TIMU ya netiboli ya Mkoa wa Dodoma, jana imeanza vema mashindano ya Taifa kwa kuifunga Mtwara mabao 43-19, mchezo uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari ya Filbert Bay, Kibaha, Pwani.Hadi mapumziko, Dodoma ilikuwa

Heineken Golf kuanza kesho

Na Elizabeth Mayemba

MASHINDANO ya Heineken Golf Challenge yanatarajiwa kuanza kuchezwa kesho katika viwanja vya Lugalo, Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, nohodha wa klabu ya Golf ya Lugalo,  Samuel Hagu, alisema maandalizi ya mashindano hayo

Mzungu kurekodi sauti ya Nyerere kwa kuigiza

Na Tumaini Maduhu

MSANII chipukizi na mchekeshaji Simon Mzungu, anatarajia kuandaa sauti ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ikiwa ni njia mojawapo ya kumenzi.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, alisema sauti hiyo itabeba ujumbe

16 December 2010

SAKATA LA VIWANJA DAR

Tibaijuka akwaa kisiki

*Maagizo aliyotoa juzi kurudisha maeneo yapingwa
*Wahusika watumia barua Ofisi ya Rais kujitetea
*Wasema Mwanasheria Mkuu wa Serikali naye alibariki
*Watishia kumburuta mahakamani endapo atavunja uzio
*Yeye asema hakukurupuka, atasimamia maamuzi yake


Na Grace Michael
SIKU moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kuamuru kuvunjwa ukuta wa kiwanja

CUF yazinduka matokeo Uchaguzi Mkuu

*Yatuhumu Tume ya Uchaguzi kwa uchakachuaji
*Yataka Watanzania kuungana kudai katiba mpya
*Yavunja na kupanga upya safu yake ya juu

  
Na Tumaini Makene
ZIKIWA zimepita takribani wiki nne tangu kutangazwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu yaliyompatia ushindi Rais Jakaya Kikwete, Chama cha

Jaji amuonya Manji kesi ya Mengi

Na Mwandishi Wetu

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imemwonya mfanyabiashara wa jijini Dar es Salaam Bw. Yusuf Manji kuacha kuchelewesha usikilizaji wa kesi dhidi yake kwa kubadilisha mawakili kila inapopangwa kuanza kusikilizwa.Onyo hilo lilitolewa jana na Jaji wa

Mawasiliano hafifu kuzorotesha maendeleo Ukonga

Na Mwandishi wetu

MBUNGE wa  Jimbo la Ukonga Bi. Eugen Mwaiposa  amesema kuna mawasiliano hafifu baina ya watendaji na wenyeviti wa serikali za mitaa hivyo kuzorotesha maendeleo ya mitaa.Akizungumza jijini Dar es Salaam katika semina ya kukumbushana majukumu

Morogoro waomba Manispaa izuie biashara ya vyakula

Ramadhan Libenanga, Morogoro

WANANCHI wa Manispaa ya Morogoro wameiomba uongozi wa halmashauri hiyo kupiga marufuku uuzaji wa vyakula barabarabani kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya maeneo mjini  hapa.Wakizungumza na mwandishi wa

Wajawazito watakiwa kupima afya mapema

Na Lilian Justice,morogoro

WITO umetolewa kwa akina mama wajawazito kupima afya mapema kubaini endapo wamepata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili wasaidiwe na wataalamu wa huduma ya afya kwa kupatiwa dawa ya kuzuia maambukizi  kwa mtoto.Wito huo ulitolewa hivi

Papic: Mwape, Kijiko mtawaona Jumamosi

Na Elizabeth Mayemba

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Yanga, Mserbia Kostadin Papic,  amesema kwamba, uwezo wa wachezaji wake wapya Mzambia Davies Mwape na Juma Seif 'Kijiko', utaonekana Jumamosi wakati timu hiyo itakapojipima na Azam FC.Timu hizo mbili zinakutana

Future Century, Vannedrick kudhamini ligi Zanzibar

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

KAMPUNI ya Future Century kwa kushirikiana na Kampuni ya Vannedrick zote za Dar es Salaam,  zinatarajia kudhamini Ligi Kuu ya Zanzibar msimu ujao.Lengo la kudhamini ni kuweza kuendeleza na kukuza vipaji vya vijana katika mchezo wa soka, ambao

Hall atangazwa rasmi Azam FC

Na Addolph Bruno

UONGOZI wa klabu ya Azam FC jana,  ulimtambulisha rasmi Kocha Stewart Hall,  kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu.Kocha huyo amechukuliwa kuinoa Azam FC, baada ya klabu hiyo kusitisha makataba na aliyekuwa

TP Mazembe yaweka rekodi, yatinga fainali Kombe la Dunia

ABU DHAB, Falme za Kiarabu

MABINGWA  wa Afrika,  TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC),  wamefuzu fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Duniani baada ya kuwafunga mabingwa wa Amerika ya kusini,  Internacional kutoka Brazili mabao 2-0 mjini

Mashoga waiwakia FIFA kuhusu ngono Uarabuni

LONDON, Uingereza
WANAHARAKATI wa haki za mashoga wamemjia juu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Sepp Blatter, baada ya kusema kuwa, mashoga wanatakiwa kuacha kufanya mapenzi watakapokwenda katika fainali za Kombe la Dunia 2022

15 December 2010

Tibaijuka kumekucha!

*Arudisha maeneo Palm Beach na Ocean Road Dar
*Aamuru kuta zivunjwe na zitengenezwe bustani
*Eneo la Joseph Mungai,Msasani nalo lachukuliwa
*Apiga marufuku maeneo kutumika kinyume na ramani
*Atumia usafiri wa 'daladala' kutembelea maeneo


Na Grace Michael

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka ameagiza uongozi wa Manispaa ya Ilala kuvunja kuta

Askari magereza ajimiminia risasi kichwani, afa

Na Daud Magesa, Mwanza

ASKARI mmoja wa Jeshi la Magereza katika Gereza Kuu la Butimba Jijini Mwanza, amekufa papo hapo baada ya kujimiminia risasi tatu kichwani kwa kutumia bunduki aina ya Sub Machine Gun (SMG). Akizungumza jana na waandishi wa

Katiba mpya Tanzania sasa haikwepeki-Tendwa

Na Tumaini Makene

WAKATI madai ya kuwepo kwa haja ya Tanzania kuwa na katiba mpya yakizidi kushika kasi kila kukicha kutoka kwa watu na makundi mbalimbali ndani ya jamii nchini, Msajili wa Vyama vya Siasa, Bw. John Tendwa naye ameweka bayana kuwa suala hilo

Sifanyi biashara ya mbao – Dkt. Chami

Na Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya gazeti hili kuandika habari kuhusu baadhi ya viongozi akiwemo Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami kupewa vibali vya kuvuna magogo katika msitu wa serikali wa Sao Hill mkoani Iringa, kiongozi huyo amekanusha

Washtakiwa wavua nguo mahakamani

Na Rabia Bakari

WASHTAKIWA watatu katika kesi ya wizi wa kutumia silaha wamefanya kioja cha aina yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuvua nguo kwa sababu zilizodaiwa kuwa ni kupinga hukumu ya kuachiwa huru, kisha kukamatwa tena.Kioja

Simba, Yanga 'dugu moja'

*Zapanga kushirikiana kimataifa

Na Elizabeth Mayemba

TIMU za Simba na Yanga zimepanga kushirikiana katika michuano ya kimataifa ili waweze kufanya vizuri na kuipeperusha vema bendera ya taifa katika michuano hiyo.Simba inawakilisha nchi katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, baada ya

TASWA yaipongeza Stars, Wambura, Osiah

Na Zahoro Mlanzi
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimetoa pongezi kwa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara kwa kutwaa ubingwa wa Chalenji kwa mwaka huu.Si kwa timu hiyo, chama hicho pia kimetoa pongezi kwa

Yanga, Simba zafukuzia Uwanja wa Taifa

Na Elizabeth Mayemba

VIONGOZI wa Simba na Yanga,  wameendelea kuhaha ili waweze kuutumia Uwanja wa Taifa au wa Uhuru, katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili.Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa klabu ya Yanga, Louis Sendeu, alisema

Julio akabidhiwa Serengeti Boys

Na Zahoro Mlanzi

KOCHA wa zamani wa Klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelu,  'Julio',  ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuinoa timu ya Taifa ya vijana wenye miaka chini ya 17 (Serengeti Boys).Kocha huyo baada ya kuondoka Simba, alikwenda

SHIMMUTA yaipongeza Kilimanjaro Stars

Na Amina Athumani

SHIRIKISHO la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA),  limewapongeza wachezaji wa timu ya Kilimanjaro Stars kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji katika michuano ya CECAFA iliyomalizika

Miss Tanzania aanza ziara ya kijamii Arusha

Na Mwandishi Wetu

MNYANGE wa Tanzania 2010, Genevieve Mpangala, atawaongoza warembo walioshiriki mashindano ya Miss Tanzania 2010 katika ziara ya shughuli za jamii katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.Akizungumza jijini jana, Mkurugenzi wa

Fainali za Bongo Star Search Ijumaa

Addolph Bruno

FAINALI za mashindano ya kusaka na kukuza vipaji kwa vijana 'Bongo Star Search', zinatarajiwa kufanyika Ijumaa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Benchmark Production, ambao

14 December 2010

Ajifungua wapacha watano Shinyanaga

*Ni mimba yake ya kumi
*Sasa afikisha watoto 13


Na Patrick Mabula, Kahama

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Bulungwa Kata ya Bulungwa, Wilayani Kahama Bi. Shija Maige (33) amejifungua watoto watano, kati yao

Mchungaji, waumini kupimwa akili

Na Theonestina Juma, Ngara

MCHUNGAJI wa Kanisa la Pentekoste wilayani Ngara, Bi. Anna Mulengera (40) na waumini wake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ngara na kuamriwa kupimwa akili baada ya kudai watadhaminiwa kwa damu ya Yesu katika

Mbaroni kwa kumpora askari bunduki

Na Salim Mhando

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata watuhumiwa watatu wa ujambazi wanaodaiwa kupora silaha ya askari aliyekuwa lindoni katika tawi la Benki ya Akiba, Mwananyamala jijini Dar es Salaam.Watuhumiwa hao

Siogopi kuchongewe kwa rais-DC

Na Yusuph Mussa, Korogwe

MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Bw. Erasto Sima amesema pamoja na Rais Jakaya Kikwete kutembea na majina 'mkononi' ya Ma-DC wapya anaotarajia kuwatangaza wakati wowote, hataogopa kutimiza wajibu wake kwa

Kikwete awapokea mabalozi wa Sweden, Norway

Na Mwandishi Maalumu

Rais Jakaya Kikwete jana asubuhi katika Ikulu ya Dar es Salaam alipokea Hati za Utambulisho za Mabalozi kutoka Sweden na Norway na kufanya nao mazungumzo yanayohusu ushirikiano baina ya nchi zao na Tanzania.Wote kwa nyakati tofauti

Mnyika aanza kukusanya kero za wananchi

Na Tumaini Makene

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Bw. John Mnyika ameanza kusaka hoja za kuwasilisha bungeni, kwa kukutana na makundi ya watu mbalimbali katika eneo lake, kabla ya bunge la Februari mwakani, ambapo ameanza na kundi la wasomi kutoka vyuo

TANESCO Iringa kudhibiti wanaolihuhujumu

Na Eliasa Ally, Iringa

SHIRIKA la Umeme nchini(TANESCO) Mkoa wa Iringa limeanza kudhibiti uhujumu, ubadhilifu wa mali na wizi mbalimbali kwa baadhi ya wafanyakazi shirika hiloShirika hilo tayari limewafukuza wafanyakazi, na mwengine 10 wamefunguliwa

Kikwete awapongeza Kili Stars

*Afikiria zawadi ya kuwapa

Na Amina Athumani

RAIS Jakaya Kikwete amesema anafikiria zawadi ya kuwapa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars',  kutokana na furaha kubwa waliyoileta kwa Watanzania baada ya kunyakuwa ubingwa wa

Chove azidi kumtesa Kilinda

Na Addolph Bruno

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya JKT Ruvu, inayoshiriki Ligi Kuu Bara, Charles Kilinda, amesema kuondoka kwa kipa Jackson Chove aliyekwenda Azam FC, ni pengo kubwa kwa timu yakeKipa huyo alisajiliwa na Azam mwanzoni mwa msimu wa

Poulsen awashukuru mashabiki wa soka

Na Zahoro Mlanzi

BAADA ya kuiwezesha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', kutwaa ubingwa wa Chalenji 2010, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Jan Poulsen,  amewashukuru mashabiki na wachezaji kwa ushirikiano waliompa na kutamba, Tanzania ikiwezeshwa,  inaweza.Ubingwa

Tevez atishia kuachana na soka

LONDON, Uingereza

CARLOS Tevez ataachana na soka kama klabu ya Manchester City haitamruhusu kuhama mwezi ujao.Mshambuliaji huyo kutoka Argentina anataka kuondoka huku akisema kuwa, hakuna kiasi cha fedha ambacho kinaweza kuzuia abakie.Gazeti la

Ancelotti aridhishwa na kiwango

LONDON, England

KOCHA Carlo Ancelotti ameridhishwa na kiwango cha  Chelsea ilichoonesha katika mchezo ambao timu hiyo walitoka sare ya bao  1-1 na Tottenham, baada ya kuchechemea katika siku za hizi karibuni.Blues imeshindwa kupata ushindi katika mechi

13 December 2010

Zitto, Shibuda waundiwa kamati

Na Mwandishi Wetu

WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikitarajiwa kutoa msimamo wa chama hicho juu ya masuala mbalimbali ikiwemo hali ya kisiasa nchini na ndani ya chama hicho, imeelezwa kuwa Mbunge wa

Afa ajalini akienda harusini

Na Yusuph Mussa, Korogwe

MTU mmoja amekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wanasafiria kwenda harusini Dar es Salaam wakitokea Arusha, kupinduka katika kijiji cha Kasiga, Kata ya Mazinde, tarafa ya Mombo wilayani Korogwe.Mganga

Ofisa usalama adaiwa kuingilia uchaguzi

Na Patrick Mabula, Chato

MADIWANI wateule wa Hamashauri ya Wilaya ya Chato wamemtuhumu Ofisa Usalama wa Taifa wa Wilayani hiyo, Bw. Cusbert Madondola kuwa ameingilia uchaguzi wa kumpata mwenyekiti unaotarajiwa kufanyika wiki hii.Baadhi madiwani

Dhambi ya ubaguzi yaitafuna CCM Zanzibar

Na Emmanuel Kwitema

MFANYABIASHARA maarufu na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar, Bw. Mohamed Raza amekitahadharisha chama hicho kuwa kitatoweka visiwani humo endapo hakitarekebisha mapungufu yaliyojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa

Muuguzi mbaroni kwa kunyanyasa mjamzito

Na Damiano Mkumbo, Singida

MUUGUZI mmoja wa Hospitali ya Mkoa wa Singida, Bi. Tatu Hassani (50) amekamatwa na polisi baada ya kufanya vitendo vya kumnyanyasa na kutukana mwanamke aliyetaka msaada wakati wa kujifungua.Hayo yalibainishwa juzi na

Wailamu watakiwa kuepuka mgawanyiko kisiasa

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya kiislamu mkoani Shinyanga wameshauriwa kujiepusha na ushabiki wa kisiasa ambao unaweza kusababisha mgawanyiko mkubwa miongoni mwa waumini wake kwa misingi vya vyama vya kisiasa.Ushauri huo

Exim Bank yapata tuzo ya NBAA

Na Mwandishi Wetu, Arusha

BENKI ya Exim imeibuka mshindi wa jumla kwa Utayarishaji  mzuri wa mahesabu kwa mwaka 2009 katika hafla ya Tuzo za kila mwaka zinazoandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) iliyofanyika

CBE Mwanza yahitaji mamilioni kulipa fidia

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

CHUO cha Elimu ya Biashara nchini (CBE) kinahitaji Sh. milioni 243,264,846 ili kulipia fidia ya ardhi katika eneo la Kiseke jijini hapa kwa ajili ya kupanua chuo hicho katika Kampasi ya Mwanza.Hayo yalisemwa juzi na Mkuu wa Chuo hicho, Dkt. Wycliffe

Rahaaa, utamu

*Kili kidedea Chalenji

Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', jana imetwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji 2010,  baada ya kuichapa Ivory Coast bao 1-0, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Bao pekee lililoipa ubingwa Kili Stars,  lilifungwa na

Wambura amrithi Kaijage TFF

Na Zahoro Mlanzi

KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limewateua Angetile Osiah kuwa Katibu Mkuu na Boniface Wambura kuwa Ofisa Habari wa shirikisho hilo.Akizungumza Dar es Salaam jana, Rais wa shirikisho hilo, Leodeger Tenga, alisema

Alliance One mabingwa Morogoro Vijijini

Na Nickson Mkilanya, Morogoro,

MABINGWA wa soka wa zamani wa Mkoa wa Morogoro, timu ya kiwanda cha kusindika tumbaku cha Alliance One Morogoro, imefanikiwa kutwaa ubingwa wa soka Ligi ya Taifa Wilaya ya Morogoro vijijini.Katibu wa Chama cha Mpira Wilaya ya

Maili Moja yaichapa Back Town 7-0

Na John Gagarini, Kibaha

TIMU ya Maili Moja United ya Kibaha, imeisambaratisha timu ya Back Town kwa mabao 7-0 kwenye mchezo wa Ligi ya Wilaya ya Kibaha, Pwani.Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Mwendapole ulikuwa wa upande mmoja hasa Back Town kuonesha

Chalinze walilia Ligi ya Taifa Mkoa

Na Omary Mngindo, Chalinze

WADAU wa Michezo wa Chalinze Mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa Chama Cha Mpira wa Miguu Pwani (COREFA) kuweka kituo cha Ligi ya Taifa ngazi ya mkoa katika mji huo.Wakizungumza na mjini hapa juzi, wadau hao Moses Monja na

Usaili Kisura wa Mara kesho

Na Daud Magesa, Mwanza

VIMWANA na wanawake wenye sifa za kuwania taji la  Kisura wa Tanzania linaloendeshwa na kampuni ya  Beautifully Tanzania Agency (BTA),  wametakiwa kujitokeza kwenye usaili utakaofanyika kesho mkoani Mara.Mratibu wa mashindano

10 December 2010

Chadema wasusa sherehe za Uhuru


WA K AT I Ra i s Jakaya Kikwete akiongoza maelfu y a Watanzania katika maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru wa Tanzania Bara, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hawakuonekana

Mafataki wakosa msamaha wa rais

Na Rehema Mohamed

RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa wapatao 3,563 katika siku ya maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru bila kuhusisha waliohusika na makosa ya kuwapa mimba watoto wa

Watanzania bado si huru-Shivji

Na Edmund Mihale

MHADHIRI sheria na wanaharakati wa haki za binadamu, Prof. Issa Shivji amesema Watanzania wanasheherekea kutimiza miaka 49 ya uhuru wakati wao

Ajali yaua sita Magu

Na Daud Magesa, Mwanza

WATU sita wamekufa na wengine 48 kujeruhiwa juzi baada ya basi kuacha njia na kupinduka wilayani Magu mkoani Mwanza.Ajali hiyo ilitokea katika barabara ya Musoma-Mwanza juzi, saa 9:45 katika

Elimu imeanza kuokoa mabinti kukeketwa

Na Grace Michael

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bi. Sophia Simba amesema elimu inayotolewa kuhusu madhara ya ukeketaji katika maeneo ya Kanda ya Ziwa ndio iliyofanikisha kuzima njama za

Mafuriko yaua mmoja Mwanga

Na Martha Fataely, Mwanga

MTU mmoja amekufa na mwingine kunusurika baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika milimani wilayani Mwanga usiku wa kuamkia

Wizi mtandao wa benki waibua utata

Na Mnaku Mbani

UTATA unazidi kuongezeka juu ya nani hasa ni wahusika wakuu wa uhalifu wa kupangwa wa fedha kwenye benki za Tanzania, baada ya viongozi wa Umoja wa Mabenki nchini kukanusha vikali

Vijana wanolewa kuchukia rushwa

Na Prosper Mosha

TAASISI isiyo ya kiserikali ya TAYCO inayojihusisha na masuala ya maadili kwa vijana na uongozi bora imetoa mafunzo kwa wanafunzi zaidi ya 200 wa shule za sekondari na vyuo kwa

EPZA yang'ara uwekezaji Afrika

Na Mwandishi Wetu 
    
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji Tanzania (EPZA) imepewa dhamana ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Kanda Huru za Uwekezaji Afrika (AFZA)

Kili Stars leteni raha leo

Na Zahoro Mlanzi

MACHO na masikio ya wadau wengi wa soka, leo yataelekezwa katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Kombe la Chalenji, kati ya wenyeji Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' itakayooneshana

Taifa Queens yazidi kung'ara Singapore

Na Amina Athumani

TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli ´Taifa Queens´ imeendeleza wimbi la ushindi katika mashindano ya Kimataifa yanayofanyika nchini Singapore, baada ya kuifunga India kwa

Jaydee, Machozi Band kuvamia Morogoro

Na Mwali Ibrahim

BENDI ya muziki wa dansi, Machozi Band inayoongozwa na msanii wa kizazi kipya, Judhith  Wambura ‘Lady Jaydee’ kesho inatarajiwa kuvamia mjini Morogoro kwa ajili ya

Ancelotti: Sihofii kibarua changu

LONDON, England

KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amesema ahofii kibarua chake licha ya timu hiyo kushuka kiwango chake katika siku za hivi karibuni.Kikosi hicho cha Stamford Bridge kwa sasa

08 December 2010

Wenje achangiwa samani za ofisi

*Ni baada ya Masha kudaiwa kuzihamisha
*Zitto apuunza madai mgawanyiko Chadema


Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

WANANCHI wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza juzi walichanga sh 179, 690 kwa ajili ya kununua samani za Ofisi ya Mbunge wa

Wanafunzi KCMC wasitisha mgomo

Na Martha Fataely, Moshi

ASKOFU wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Martin Shao ameutaka uongozi wa chuo kishiriki cha Tumaini cha KCMC kuwashirikisha wanafunzi wa chuo hicho katika majadiliano kuhusu kupanda kwa gharama za ada na michango mingine

Mbwete kutoa mhadhara wa kiprofesa keshokutwa

Na Edmund Mihale

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini, Profesa Tolly Mbwete keshokutwa anatarajia kutoa mhadhara wa kiprofesa ikiwa ni miaka ya mitatu baada ya kutunukiwa hadhi hiyo kitaaluma.Mhadhara huo ambao utakuwa ni wa kwanza kutolewa katika

Japan yatoa msaada wa mil 764/-

Na Agnes Mwaijega

SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa sh milioni 764 kwa ajili ya miradi ya maendeleo vijijini katika mikoa sita nchini.Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa chumba cha upasuaji katika Kituo cha Afya Mkuranga, mabweni ya wasichana Shule ya Sekondari

Wakana mashtaka ya kutakatisha fedha

Na Rabia Bakari

ALIYKUWA mhasibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.Justice Katiti na wenzake watatu wanaokabiliwa na tuhuma za kutakatisha fedha haramu, zaidi ya sh. bilioni 3.8 wamekubali maelezo yao binafsi na kukana

Taasisi ya India kuwanoa madaktari nchini

Na Reuben Kagaruki

TAASISI ya HCG Group ya nchini India imeahidi kutoa mafunzo kwa madaktari na wauguzi wa Tanzania kuhusu tiba ya saratani na imeonesha nia ya kushirikiana na Wizara ya Afya nchini kwa ajili ya kuanzisha vituo vya kutibu saratani mikoa yote

MICHUANO YA KOMBE LA CHALENJI Ethiopia, Ivory Coast zatangulia nusu fainali

*Kili Stars, Z'bar Heroes vitani leo

Na Elizabeth Mayemba

TIMU za Ivory Coast na Ethiopia, zimekuwa za kwanza kutangulia katika nusu fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea katika Uwanja wa Taifa, baada ya jana kupata ushindi kwenye mechi zao za

Neema nyingine yaingukia Chalenji

Na Zahoro Mlanzi

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, imejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa kutoa sh. milioni 190, ili kuongeza hamasa kwa mashabiki.Mashindano hayo pia yanadhaminiwa na

Taifa Queens yaanza vibaya Singapore

Na Amina Athumani

TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli 'Taifa Queens', imeanza vibaya michuano ya Kimataifa inayofanyika Singapore baada ya kufungwa 46-33 na Scotland.Akizungumza kwa simu jana akiwa nchini humo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Simone Mackinis alisema

Iniesta, Xavi, Messi kuwania tuzo ya FIFA

 Hispania

WACHEZAJI watatu wa Barcelona, Andres Iniesta, Xavi Hernandez na Lionel Messi wametajwa kwenye orodha ya mwisho ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka, inayotolewa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa

Khan atamba kuinua heshima ya Uingereza

LAS Vegas, Marekani

BONDIA Amir Khan, anaamini pambano lake la Jumamosi linaweza kuinua heshima ya Waingereza baada ya ya lile lililoboa mashabiki kati ya Audley Harrison, ambaye alipigwa mapema na David Haye.Bingwa huyo wa WBA wa uzani

07 December 2010

SAKATA LA UMEME

*Mafundi TANESCO waamriwa kukesha
*Kazi hiyo kukamilika ndani ya siku nane
*Transifoma ya Chalinze kuziba pengo Dar


Na Grace Michael
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw. David Jairo amemtaka mkandarasi na wataalamu wa TANESCO wanaoshughulikia uwekaji wa transfoma jipya katika Kituo cha Kupooza Umeme cha Kipawa, Dar es Salaam kufanya kazi hiyo usiku na mchana ili

Waua vikongwe, wawachoma moto

*Waliwatuhumu kuwa wachawi

Na Suleiman Abeid, Shinyanga
 JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia watu 10 wilayani Bukombe wakituhumiwa kuhusika na mauaji ya kikatili ya wakazi wawili wa kijiji cha Ibamba wilayani Bukombe akiwemo mwanamke kikongwe mwenye umri wa miaka 90 waliohisiwa kuwa ni

Wilaya ya 'Mnali' yashika mkia tena

Na Livinus Feruzi, Bukoba

WILAYA ya Bukoba mkoani Kagera ambayo mwaka jana baadhi ya walimu wake walichapwa viboko kwa matokeo mabaya imeendelea kushika nafasi ya mwisho kwa mwaka nne mfululizo, katika matokeo ya mtihani ya darasa la saba katika mkoa huo.Kwa miaka mitatu iliyopita

Mabinti 160 wakimbia kukeketwa

Na Tumaini Makene, Mara

WAKATI viongozi na taasisi mbalimbali wakianza kushtuka na kutoa kauli za kupinga vitendo vya ukeketaji vinavyoendelea mkoani Mara, watu wa maeneo hayo wanaendelea na shughuli hiyo bila wasiwasi wowote.Wakati shughuli hiyo ikiendeshwa kwa kasi

Tanzania yapaa baada ya mdororo

Na Peter Mwenda

SHIRIKA la Fedha la Umoja wa Mataifa (IMF) limesema Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake ambao ulishuka katika mdororo wa uchumi wa dunia lakini kwa sasa umeanza kupanda.Mwakilishi Mkuu wa IMF nchini, Bw. John Wakeman Linn alisema Tanzania

Nahodha asisitiza ulinzi shirikishi

Na Eckland Mwaffisi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha amesema kipaumbele cha Wizara hiyo kwa sasa ni kuimarisha dhana ya ulinzi shirikishi ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika masuala la ulinzi na usalama wa mali zao.Bw. Nahodha aliyasema

CCK yajiunga kilio cha katiba

Na Zamzam Abdul

CHAMA Cha Kijamii (CCK), kimeandaa waraka ambao utachambua kasoro zilizopo kwenye katiba na kuzifikisha kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Bi. Celina Kombani ili aweze kutoa hoja rasmi kwa nini Tanzania inahitaji katiba mpya.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa

Malalamiko ya wachinjaji yafanyiwa kazi

Na Rehema Mohamed

MANISPAA ya Ilala, Dar es Salaam, imeanza kushughulikia malalamiko yaliyotolewa wiki iliyopita na wachinjaji mifugo katika machinjio ya Vingunguti.Baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na uboreshwaji wa maeneo ya kuchinjia, choo, umeme na usafi wa

Kuziona Kili Stars, Z'bar Heroes 1,000/-

Na Zahoro Mlanzi

MASHABIKI wa soka nchini watalazimika kulipa sh. 1,000 kiingilio cha chini na sh. 5,000 kiingilio cha juu kuzishuhudia timu zao za Tanzania bara 'Kilimanjaro Stars' na Zanzibar'Zanzibar Heroes' zitakapocheza robo fainali ya michuano ya Chalenji.Timu hizo

Taifa Queens uwanjani leo Singapore

Na Amina Athumani

TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli 'Taifa Queens' leo saa 8 mchana itarusha karata yake ya kwanza katika michuano ya ufunguzi ya Kimataifa, inayofanyika nchini Singapore dhidi ya Scotland.Akizungumza kwa njia ya simu, Kaimu katibu Mkuu wa Chama cha

Dance Music kufanyika Desemba 20

Na Amina Athumani

MASHINDANO ya kuibua vipaji vya muziki wa dansi ya 'Dance Music Competition', yanatarajia kuanza Desemba 20 na 21 mwaka huu katika Ukumbi wa Africenter, Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mratibu wa mashindano hayo ambaye pia ni nguli wa

Klabu Bingwa Ulaya kuendelea tena leo

LONDON, England

MICHUANO ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya, inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali barani humo, huku baadhi ya vigogo vikiwa vimeshafuzu hatua ya mtoano.Katika mfululizo wa michuano hiyo,  Barcelona watakuwa wakiikaribisha

Ancelotti maji yamemfika shingoni

LONDON, Uingereza

CARLO Ancelotti amekiri anahisi kuwa katika wakati mgumu, kulinda kibarua chake.Mabingwa watetezi Chelsea, wamepungua makali yao ambapo katika mechi sita wameshinda moja tu.Kocha huyo wa Blues, amekiri kuwa hatima yake ya baadaye kwenye klabu hiyo, imeingia

06 December 2010

MGAWO WA UMEME

*Kafulila amtaka Ngeleja ang'oke
*Aandaa hoja binafsi ya kutokuwa na imani naye


Na Grace Michael

MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini, Bw. David Kafulila amesema anakusudia kuwasilisha hoja binafsi bungeni kwa kulitaka bunge kuazimia kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Nishati ya Madini, Bw. William Ngeleja kutokana na

Kanisa Katoliki lafafanua waliotengwa

Na Edmund  Mihale

KANISA Katoliki Jimbo la Sumbawanga limezungumzia sakata la kusimamishwa kwa baadhi ya waumini wa jimbo hilo na kudai kuwa adhabu hiyo ni kawaida kuchukuliwa kwa waumini wanaokwenda kinyume na imani ya kanisa hilo.Hatua hiyo ya kanisa hilo

Vita ya umeya CCM kuinufaisha CHADEMA

Na Charles Mwakipesile, Mbeya

VITA ya uteuzi wa mgombea wa CCM kuwania nafasi ya umeya Jiji la Mbeya tayari imeibua makundi ndani ya chama hicho na hivyo kuibua wasiwasi kuwa huenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinanufaika na mpasuko huo na kuibuka

11 wauawa na majambazi tangu Julai

Na Prosper Kwigize, Kigoma

JUMLA ya watu 11 wamepoteza maisha katika matukio 21 tofauti ya ujambazi wa kutumia silaha za kivita wilayani Kibondo mkoani Kigoma yanayotajwa kutokea katika kipindi cha mwezi July hadi Novemba mwaka huu. Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa

'Serikali za umoja wa kitaifa ni uroho'

Na Grace Michael

KUWEPO kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Zanzibar imedaiwa ni mpango wa baadhi ya viongozi wa kutaka kuendelea kuwemo madarakani milele.Akizungumza na Majira jana kwa njia ya simu Bi. Catherine Malila ambaye alijitambulisha kuwa ni mwananchi wa

Wakazi Kitunda wamlilia Magufuli

Na Grace Michael

WANANCHI wa Kata za Kitunda, Msongola, Kivule na Chanika ambao wanatumia barabara ya kutoka Mombasa kupitia Moshi baa, Dar es Salaam wameelekeza kilio chao kwa Waziri wa Miundombinu, Dkt. John Magufuli wakimuomba kuangalia kilichokwamisha

Shibuda awa kivutio mkunoni Sinyanga

Na Suleiman Abeid, Shinyanga
 
SIKU chache baada ya Jeshi la Polisi nchini kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa nchini, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga kimefanya mkutano mkubwa wa kihistoria uliohudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa

ROBO FAINALI CHALENJI

*Kili Stars, Rwanda uso kwa uso
*Zanzibar Heroes mdomoni mwa Uganda


Na Zahoro Mlanzi
WENYEJI wa michuano ya Chalenji, Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars sasa itakumbana na Rwanda 'Amavubi' katika mechi ya robo fainali itakayopigwa keshokutwa kwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Robo fainali nyingine itakayopigwa

'Usiku wa Club E Vegas' wanaoga Dar

Na Mwandishi Wetu

MASHABIKI wa muziki jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki walipata burudani ya aina yake katika Ukumbi wa Mlimani City, ambapo bendi za Malaika ya Afrika Kusini na African Stars 'Twanga Pepeta' ziliweza kutoa uhondo wa nguvu kwenye 'Usiku wa

Super D kushirki kozi ya ukocha BFT

Na Addolph Bruno

KOCHA wa Ngumi wa Klabu ya Ashanti, ambaye pia anatoa mafunzo ya kujitegemea, Rajabu Mhamila 'Super D' jana amepata msaada wa sh. 150,000 zitakazomwezesha kushiriki kozi ya 10 ya ukocha, iliyoandaliwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT).

Wenger amvulia kofia Nasri

LONDON,England

KOCHA Arsene Wenger amemwagia sifa mchezaji wake Samir Nasri kwa mabao aliyoifungia na kuifanya timu hiyo ikwee kileleni mwa Ligi Kuu na kuifanya tena iingie katika mbio za kuwani taji la michuano hiyo.Nasri juzi alipachika bao lake la 10 na 11 msimu huu na kuifanya timu

03 December 2010

Wabunge CHADEMA wamshtaki Zitto

*Waitaka Kamati Kuu imuhoji kwa kukiuka maamuzi
*Wamo pia wengine 9 waliokacha ufunguzi bunge


Na Edmund Mihale

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameiandikia barua Kamati Kuu ya chama hicho kuiomba imuite Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na wabunge wengine tisa ili wajieleze kwa nini walikiuka maamuzi halali ya

Mali zilizookolewa na polisi Mbeya 'zayeyuka'

Na Rashid Mkwinda, Mbeya

WAFANYABIASHARA wa Soko la Uhindini lililoungua moto usiku wa kuamkia jana jijini Mbeya wamelilaumu Jeshi la Polisi kuwa baadhi ya askari wa jeshi hilo wamehusika kupora mali zilizokuwa zinaokolewa wakati linateketea. Mwenyekiti wa Soko hilo, Bw. Emili Mwaituka alisema

Kanisa lachomwa moto Ngara

Na Theonestina Juma, Ngara

KANISA la Pentekoste ambalo waumini wake walikimbia nyumba zao na kuishi porini baada ya kukataa kunyunyiziwa dawa ya kuua mbu limechomwa moto na mwananchi mmoja mwenye hasira kwa madai kuwa serikali imeshindwa kumchukulia hatua mchangaji wa

Nyalandu: Kuchapa kazi kutajengea nchi heshima

Na Tumaini Makene

WATANZANIA wametakiwa kuamsha ari ya kufanya kazi kwa bidii, na kuondoa hofu, huku wakishirikiana na wawekezaji wengine kutoka nje kutumia fursa zilizopo kujiendeleza na kuiendeleza nchi ili kujenga upya taswira ya Tanzania kiuchumi.Wameambiwa kuwa

Wanafunzi wafa ajalini Mkuranga

Na John Gagarini, Kibaha

WANAFUNZI wawili wa sekondari wamekufa na watu wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kugonga mnazi.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Absalom Mwakyoma alisema kuwa ajali hiyo ilitokea

Kortini kwa kuuza kiwanja cha wakfu

Rehema Mohamed na Salim Mhando

WATU wanne wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka ya kujipatia sh. milioni 50 kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Bw. Suleiman Hamisi kwa kumuuzia kiwanja cha wakfu kinyume na utaratibu.Watuhumiwa hao ni

TCRA kuandaa umma kupokea mfumo wa digitali

Na Peter Mwenda

MAMLAKA ya mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuweka wazi mpango kazi wa kuandaa wananchi kuingia kwenye teknolojia mpya ya utangazaji wa digitali katika mkutano wake wa kutimiza miaka kumi kwa utangazaji nchini.Mkurugenzi wa

Harambee Stars yaaga Chalenji

*Yachapwa na Ethiopia 2-1
Na Elizabeth Mayemba

TIMU ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars' imeondolewa katika michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Challenge, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Ethiopia jana, katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Hii ni mechi ya pili kwa

'Shibori alicheza chini ya kiwango'

Na Zahoro Mlanzi

KOCHA Mkuu wa timu ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes', John Stewart,  amesema aliamua kumtoa mshambuliaji wake, Ali Ahmad Shibori kutokana na kucheza chini ya kiwango.Mchezaji huyo amejizolea umaarufu hivi kiribuni kutokana na kuonesha kiwango kizuri katika

Kaike akomaa Cheka, Maugo wazidunde Jamhuri

Na Mwali Ibrahim

PROMOTA wa pambano la Francis Cheka na Mada Maugo, Kaike Siraju amewashupalia mabondia hao kwa kuwataka kuzidunda katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro kama ilivyopangwa.Pambano hilo la fungua mwaka litakua la uzito wa kg. 72 ambapo, Cheka

Benitez atarajia kombe

ROME, Italia

KOCHA wa Klabu ya soka ya Internazionale Milan, Rafael Benitez anaamini kuwa timu yake inaweza kutwaa ubingwa wa Serie A na Klabu Bingwa ya Dunia katika msimu wake wa kwanza.Benitez anafurahishwa na uchezaji wa sasa wa timu yake, baada kufanya vibaya katika

Ipswich kuivaa Arsenal nusu fainali

LONDON, England

KLABU ya Ipswich itapambana na Arsenal katika mechi ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Ligi ya Uingereza, baada ya kuifunga Wes Brom bao 1-0 katika mechi ya robo fainali juzi.Ipswich iliweka pembeni jinamizi la kufanya vibaya katika mashindano ya

02 December 2010

Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

*Ni uamuzi wa Waziri Dkt. John Magufuli
*Akabidhiwa barua na Katibu Mkuu Chambo


Na John Daniel

HATIMAYE kasi na viwango katika utendaji kazi wa Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli umeanza kuonekana wazi baada ya kumwondoa rasmi aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Bw. Ephraem Mrema.Bw. Mrema ambaye

Mimi si waziri mpole-Kawambwa

Na Peter Mwenda

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa amesema yeye si waziri mpole kwa sababu ya kutotema cheche kama wenzake, bali ni mkali kwa utendaji wake wa kimya kimya.Akizungumza na wakurugenzi na wakuu wa taasisi zilizo chini ya

Polisi watakaoshindwa wajibu waondoke-Nahodha

Na Eckland Mwaffisi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha amewataka askari wote wa Jeshi la Polisi ambao watashindwa kusimamia haki na wajibu wa kazi yao kutafuta kazi nyingine ya kufanya ili kulinda heshma ya jeshi hilo kwa raia na nchi kwa

Dereva taksi apigwa risasi, aporwa gari

Na Rashid Mkwinda, Mafinga

DEREVA teksi aliyefahamika kwa jina la Nicolaus Mwaikambo(25) mkazi wa Kinyanambo mjini Mafinga ameuawa na watu wasiojulikana kwa kupigwa risasi katika shingo yake na kuweka jeraha lililotoboa shingo yake kumpora gari.Marehemu

Wakamatwa na nusu tani ya bangi

Na Benjamin Masese, Musoma

JESHI la Polisi mkoani Mara limewakamata watu watatu akiwemo mpiga picha wa kujitegemea wa kituo cha Televisheni cha ITV mjini Musoma kwa kukutwa na zaidi ya kilo mia tano za bangi.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Kamishina Msaidizi wa

Waliokosa viti maalumu waangua kilio

Na Patrick Mabula, Kahama

BAADHI ya Madiwani wa Viti Maalumu katika Wilaya ya Kahama wiki hii walijikuta wakiangua kilio baada ya  kukosa uteuzi kutokana na asilimia waliyopata katika uchaguzi uliomalizika Oktoba 31, mwaka huu.Madiwani hao ambao huingia kwenye

Walinzi Machinga Complex waishiwa uvumilivu

Na David John

WALINZI wanaolinda katika Soko Jipya la Karume wamelalamikia uongozi wa Shilikisho la Machinga Complex kutowalipa mishahara yao takribani miezi mitatu imepita.Walinzi hao ambao waliwakilishwa na mmoja wao ambaye alitinga katika Ofisi za

Zanzibar Heroes yatota

*Ivory Coats yainyuka 1-0

Na Zahoro Mlanzi

BAO pekee lililofungwa dakika ya 61 na mshambuliaji Kipre Bolou wa Ivory Coast, liliifanya timu hiyo kuondoka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes' katika mfululizo wa michezo ya Kombe la Chalenji.Mchezo huo uliopigwa

Yanga yamsajili Kijiko wa JKT Ruvu

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa Yanga, umewaongeza wachezaji wawili katika dirisha dogo la usajili lililofungwa juzi, kwa ajili ya kuongezea nguvu safu yake ya ushambuliaji.Wachezaji waliosajiliwa katika usajili huo ni Mzambia Davies Mwape na

Wachezaji Italia kuweka mgomo mwezi huu

ROME, Italia

WACHEZAJI wa Ligi Kuu ya soka ya Italia maarufu kama Serie A, wameleta mgogoro baada Chama cha Wachezaji Italia (AIC) kuitisha mgomo utaofanyikaa Desemba 11 na 12, mwaka huu.Mgomo huyo umekuja baada ya kuwepo mazungumzo kati ya

Marquez amtamani Pacquiao kwa raundi tatu

LAS VEGAS, Marekani
BAADA ya kufanikiwa kutetea taji lake la uzani wa Light, bondia Juan Manuel Marquez amesema yupo tayari kuzipiga walau kwa raundi tatu na bondia machachari, Manny Pacquiao.

01 December 2010

Tibaijuka awavaa mafisadi wa ardhi

*Ataka wajisalimishe haraka kabla hajachukua hatua
*Asema hababaiki na fedha zao, maana za mboga anazo


Na Gladness Mboma.

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amemwaga cheche kuhusiana na ufisadi wa ardhi na kuagiza kama kuna

Kamati Kuu yasogezwa mbele

Na John Daniel

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelazimika kuahirisha Kikao cha Kamati Kuu (CC) iliyotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam leo kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupata

Hatma ya Mrema mikononi mwa Magufuli

Na John Daniel

HATMA ya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Bw. Eprahim Mrema, sasa ipo mkononi mwa Waziri wa Ujenzi, Bw. John Magufuli huku kukiwa na matumaini

Wapangaji NHC wadaiwa bilioni 9/-

Na Peter Mwenda

SHIRIKA la Nyumba na Taifa (NHC) limetoa siku tisini kwa wapangaji wake wanaodaiwa kodi ya nyumba zinazofikia sh. bil. 9 walipe vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.Mkurugenzi wa

Wanaume watakiwa kuchunguza afya zao

Na Mwandishi Wetu

WANAUME wametakiwa kuwa na tabia ya kwenda kuchunguza afya zao kila mara ili kuepukana na ugonjwa wa saratani ya tezi dume ambao ukigundulika mapema kuna

Weil Bugando kuwa chuo kikuu kamili

Na Jovin Mihambi, Mwanza

CHUO Kikuu Kishiriki cha Sayansi ya Tiba, Weill Bugando, kimo mbioni kuwa Chuo Kikuu kinachojitegemea endapo mazungumzo kati ya uongozi wake na serikali

Kesi ya CHADEMA kupinga matokeo Desemba 20

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi ya

Kili Stars yachanua Chalenji

*Yaizabua Somali 3-0

Na Elizabeth Mayemba.

WENYEJI wa michuano ya Chalenji Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' jana imechanua katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kuifunga Somali mabao

Sherehe za Uhuru zaikwaza TFF

Na Mwandishi Wetu.

MECHI za awali za mashindano ya Kombe la Chalenji, zimeshindwa kupigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kama ilivyopangwa awali kutokana na maandalizi ya

Kozi ya ukocha wa kikapu kuanza leo

Na Amina Athumani

KOZI ya ukocha wa mpira wa kikapu, inatarajia kuanza leo katika viwanja vya Donbosco, Dar es Salaam ambayo itaendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Kimataifa la

Mourinho akiri Real Madrid kuboronga

MADRID, Hispania

KOCHA wa timu ya Real Madrid, Jose Mourinho amesema ilikuwa rahisi kuambulia kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Barcelona, kutokana na kuwa kikosi chake cha Blancos hakikucheza

Guardiola awapongeza wachezaji wake

MADRID, Hispania

KOCHA wa Barcelona, Pep Guardiola amewapongeza wachezaji wake kwa kucheza kwa kujituma na kuibuka na ushindi wa mabao 5-0, dhidi ya Real Madrid 5-0.Mechi hiyo